shandaraiz
JF-Expert Member
- Jun 26, 2017
- 218
- 447
Kabla sijakushauri chochote, nipe maana ya hiyo ID yako kwanza
sent from servant of God
sent from servant of God
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa vyuo vingine ukisupp nusu ya course unazosoma unadisco mkuuHajadisco banaaaa mtu ku disco lazma awe na GPA <2.....unaweza ku supp masomo yote na ukabakia umesupp na wala sio kudisco kinachokulinda ni GPA
Ni pm mkuu.Usivunjike moyo me mwenyewe nili supp masomo yote juzi nilipokuwa nasomea cz y clinical medicine to b honest nilivunjika moyo ila nilipiga pindi ya kutosha na nilichomoa yote cha msingi nikuwa na imani tu kwamba kama umepangiwa kufaulu hy coz utafaulu tuuuuuu
kwa kawaida ukipata sup zaidi ya nusu ya kozi unazochukua hua ni disco ila inategemea na kipindi gani mnafanya hiyo mitihani kama kila baada ya semista mnafanya mitihani ya sup basi umedisco ila kama ni baada ya semista zote mbili basi jumlisha kozi zako zote kisha angalia kama unasup zilizozidi nusu ya hizo kozi umedisco kama ni nusu ama hazijazidi basi utakua na nafasi ya mwisho ya kusapuaWakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma
Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana
Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa
Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke
Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE
Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi
Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana
Mhhhh hapo si dhani
haiwezekan mtu awe na sup zote alafu asi disco kwa sababu gpa ya 2.0 ni average ya C so mtu anapo sup yote lazima atakuw chini ya 2.0Hajadisco banaaaa mtu ku disco lazma awe na GPA <2.....unaweza ku supp masomo yote na ukabakia umesupp na wala sio kudisco kinachokulinda ni GPA
Ila inabidi utambue kwamba zile continuous assesment hazikuwekwa buleeee......na Assigment.....halafu ili GPA iweze ku kokotolewa wanazingatia pia hzo Contins assesment na asigmnt....Na zungumza haya nikiwa na ushahidi maana nimemaliza chuo juzihaiwezekan mtu awe na sup zote alafu asi disco kwa sababu gpa ya 2.0 ni average ya C so mtu anapo sup yote lazima atakuw chini ya 2.0
unasoma chuo kipi na upo mwaka wa ngapi?Mkuu mimi nina sup 7 za semister 1 na 2... Sina presha... September naenda kuzichomoa zoote....
Ushauri.. Kabla hujafanya sup tambua ni wapi ulikosea na rekebisha haraka sana iwezekanavyo.....
Sent using Jamii Forums mobile app
inategemea na chuo ulichopo kuna vingiine hapo ume disko..Mkuu mimi nina sup 7 za semister 1 na 2... Sina presha... September naenda kuzichomoa zoote....
Ushauri.. Kabla hujafanya sup tambua ni wapi ulikosea na rekebisha haraka sana iwezekanavyo.....
Sent using Jamii Forums mobile app
HR- Human Resource bila shaka atakuwa anasoma mzumbe au tumainiKabla sijakushauri chochote, nipe maana ya hiyo ID yako kwanza
sent from servant of God
Shida iko kwenye zile tarakimu 666HR- Human Resource bila shaka atakuwa anasoma mzumbe au tumaini
hr 666 si human resource ni maana nyingine kbisa huyu bishoo awezi soma upuuz hrmShida iko kwenye zile tarakimu 666
sent from servant of God