Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
- #641
Why motor is first connected in star mode before shifting into delta mode connection?Electrical Engineering
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Why motor is first connected in star mode before shifting into delta mode connection?Electrical Engineering
Sikuandika kuwa kudisco ni mwisho wa maisha ila asahau maisha ya chuokudisko si kufeli maisha.... bado nafasi anayo...
Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma
Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana
Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa
Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke
Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE
Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi
Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana
SijuiWhy motor is first connected in star mode before shifting into delta mode connection?
Ok ,mpo topic gani kwa sasa?Sijui
Duh wewe si ulijisifu Jf kuhusu course unayoenda kusoma,sijui ilikuaga MD..aisee sio kwa zile kashfa..vizuri sana na udisco ili iwe fundisho..Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma
Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana
Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa
Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke
Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE
Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi
Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana
Napenda sana watu wenye kumbu kumbu km ww, asante mkuu, njo tupashe moja mbili hapaUlisema nyie ni wajanja na hamfeli mnasoma weekdays na weekends mnakula bata na maksi ukataja. Nafkiri ushamba wa mitandao na kujiamini sana kumekuponza. Bora ukasomee ualimu au hamia cbe
Maisha ya chuo raha kusoma mwisho alhamis ,ijumaa mpaka j pili tunakesha club
Mkuu huyu jamaa tulishamnyoa. Nipatie ubavu wa mbusi ntafuneNapenda sana watu wenye kumbu kumbu km ww, asante mkuu, njo tupashe moja mbili hapa
Na sio hiyo tu,alianzisha thread nying za kashfa kuhusu course na kuhusu waliokosa vyuo...dah aise kama amepata hizo sap safi sana..Napenda sana watu wenye kumbu kumbu km ww, asante mkuu, njo tupashe moja mbili hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16] watu wanakumbukumbu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
unarudia tena makosa haya mzee....Sikuandika kuwa kudisco ni mwisho wa maisha ila asahau maisha ya chuo
Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma
Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana
Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa
Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke
Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE
Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi
Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup.Du utakuwa uliruka hatua,kaanze upya.
Nina jiwe langu kabatini bwa mdogo.Ok ,mpo topic gani kwa sasa?