Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

Harafu utakuta we ndo wa kwanza kumtaka nani hiii alete vyeti vyake wakati wewe yako yanakushinda
 
Hibi wasomi tufafanulieni hapa sup 5 kati ya 8 maana yake nini? We kutwa unashinda kutukana hapa.jf ulidhani hayo matusi watauliza katika test?
 
Kozi kubwa Kuliko IQ yako
Nakushauri uchague Kozi inayoendana na uwezo wako wa ubongo bila hivyo utadisco hadi disco zitakuzoea
 
Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma

Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana


Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa

Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke


Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE


Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi


Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana



USHAURI:
1.Nijambo la kawaida katika hali ya chuo kikuu
2.Kumbuka chuo kikuu ni tofauti na sekondari,zingatia maelekezo ya walimu wako
3.Zingatia vitabu rejea ambayo umepewa usome na walimu wako
4.Notes za mwalimu wako ndiyo mtihani wako
5.Assignment na mitihani katika chuo kikuu ni sehemu nyeti sana kuliko kitu chochote hata kama ina alama 1.
6.Kupuuza kazi ya mwalimu itakufanya "udisco"masomo yako maana watajua unapuuzia kwakuwa hamna viboko hapo
7.Usiache chuo komaa mpaka mwisho ili hata kama uta "carry" ilimradi umemaliza chuo
8.Kuanza chuo upya haimaanishi ndiyo kufanya vizuri kwani kila kozi ina ugumu wake
Zingatia haya
 
Mkuu ukitaka ushauri mzuri nini cha kufanya muone Paul Makonda MKUU wa mkoa wa dar es salaam anamaujanja dhidi ya haya mambo...

Please huyo jamaa atakusaidia na utafanikiwa malengo yako
 
Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma

Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana


Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa

Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke


Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE


Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi


Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana
Duh wewe si ulijisifu Jf kuhusu course unayoenda kusoma,sijui ilikuaga MD..aisee sio kwa zile kashfa..vizuri sana na udisco ili iwe fundisho..
 
Napenda sana watu wenye kumbu kumbu km ww, asante mkuu, njo tupashe moja mbili hapa
Na sio hiyo tu,alianzisha thread nying za kashfa kuhusu course na kuhusu waliokosa vyuo...dah aise kama amepata hizo sap safi sana..
 
Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma

Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana


Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa

Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke


Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE


Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi


Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup.Du utakuwa uliruka hatua,kaanze upya.
 
Back
Top Bottom