Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

Vijana wengi mkishafika mjini huwa mnasahau kilichowaleta mjini.

Inabidi uwe serious na kinachokuweka mjini.

Nawaona wengi wao wakishafika vyuoni ni kuanza kushindana kwa mambo yasiyokuwa na umuhimu.

Unamkuta kijana kuanzia asubuhi hadi jioni kashikilia simu yupo instagramu anapost tu mipicha na kufuatilia Diamond kapost nini

Una bahati sana ingekuwa kuna ku-disco kwa semester, basi wewe wangekuvuna asubuhi na mapema.

Soma kijana, kisomo ndicho kinachokuweka hapo ulipo
 
pole kjna ndo mziki wa chuo huo noumaaaaaa[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
 
pole sana!! aisee wewe hukuwa serious kabisaa ila nimekutana na worse scenarios yako can be solved! jiandae vema na kwenda kufanya hizo sup guess ni mwezi wa 9, kama unajua umekosea wapi then unao uwezo wa kurekebisha na kufanya vitu vinavyoeleweka. the good thing umejitambua kilichobaki ni kufanya maamuzi.. jitahidi next sem usiate sup ili uwe makini na hayo ma5 tu! and sup mitihani yake huwa si migumu bado unayo nafasi!
 
Kwa idadi ya masomo uliyofeli kama hapo chuoni kwenu utaruhusiwa ku carry bas hicho sio chuo ni TAKA TAKA...
 
Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma

Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana


Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa

Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke


Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE


Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi


Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana
unasoma chuo gani? na uko mwaka wa ngapi? baada ya hapo nitakujuza cha kufanya
 
Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma

Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana


Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa

Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke


Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE


Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi


Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana
we ni noma.jifanyie tathmini then ufikie muafaka kama kweli elimu yadarasani inakufaa.wakati mwingine si kila mtu elimu ya darasani inamfaa.unaweza kuwekeza kwenye kitu kingine ukafanya vizuri zaidi kuliko elimu ya darasani.
 
Acha kabisa kukesha jf haswa kwenye jukwaa la MAPENZI.
 
sup 5 mbona kidogo hizo!!!!!!!
watu wanapata sup 10 na wanachomoa zote na maisha yanaendelea!!!!!!
kuna vyuo ukisoma kupata sup 5 kawaida sana maana kwa semister 1 watu wanakamatwa 200 kwa somo moja.
cha msingi ujiandae ukazichomoe, kuzikimbia sio suluhisho!!!!
hayo tuu!!?
 
Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa

Anza kuwaambia habari mbaya ya uongo (tunga uongo wowote ule). Mfano "wewe ni mjamzito" watashangaa na hawataelewa vizuri watauliza "inawezekana vipi kuwa mjamzito?" Ukizingatia jinsia yako (naamin wewe ni ME) watachanganyikiwa haswa.

Wakiwa kwenye peak ya kuchanganyikiwa waambie!
"Nilikuwa nawatania tu! Ukweli ni kwamba nimefeli vibaya sana UE chuoni"

Watashusha pumzi "hepheeeew, pole sana mwanangu"

PUMBAVU MKUBWA WE! MLIPOKUWA MNADANGANYANA KWAMBA CHUONI MAISHA NI FULL BATA NA KUUNGANISHA VIKOJOLEO, MATOKEO YAKE NDIO HAYO!!!
 
Nafikir masomo matano utakua umedisco mana kwa masomo nane unatakiwa usapu masomo manne kwa ufaulu Wa masomo matatu, chamsing hapo utambiwa mawili urudie mwako au kudisco nikushaur uwasiliane na viongoz Wa academic Wa chuo ngaz ya mwanafunz wajue jins yakukusaidia
Hawezi kudisco sasa hivi mpaka semester ijayo! Ila jamaa sijui anasoma BVM? ma-5?
 
Kuna uzi mmoja wa huyu dogo unahusu Maisha ya chuo bata sana kama sikosei..

Ndo bata hyo kaipata ,
 
e0f71ab0d6957983739dc3f89b08a43b.jpg
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kitakachokufanya udisco ni GPA na sio sup kwaiyo kama utafanya vizuri kwa semister ya pili utajiweka mahali pazuri.
Kuna mtu alipata sup nyingi kama wewe kwenye first semister watu wakamshauri aache chuo ila aliendelea lakini semister ya pili hakupata sup kwaiyo hakudisco kwa sasa yupo mwaka wa mwisho.
 
utakuwa na undugu na daudi bashite. sio kwa ukilaza huo
 
Back
Top Bottom