Kawa fuate walimu wako wakufariji.eti ulikuwa unafanya assignment kimzamzaa shame on you idiot.Yoyote yale ya kunifariji sio ya kuniumiza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawa fuate walimu wako wakufariji.eti ulikuwa unafanya assignment kimzamzaa shame on you idiot.Yoyote yale ya kunifariji sio ya kuniumiza
mhhh ukakasi nitaleta thread hatma za wanafunzi wanaodisko....Chuo ukifeli umeamua, hata uwe unasoma wind engineering
unasoma kozi gani?Chuo ukifeli umeamua, hata uwe unasoma wind engineering
kudisko si kufeli maisha.... bado nafasi anayo...Ulifikiri chuo ni sehemu ya michezo,hapo mkuu umeisha Disco live sioni namna ya kutoka tena.Pole sana
Kaka nafikiri hujakutana na kozi dume. Baadhi ya vyuo kuna kozi si kwamba hazieleweki.. ila ni kozi tata... mnaanza 100 mwaka wa nne mko 25Chuo ukifeli umeamua, hata uwe unasoma wind engineering
Kwangu mimi labda niseme ndio naona hivo, sijui kwa wengine ila mara nyingi naonaga vyuoni watu wanashoia na kufata mkumbo ndio maana wanadisco na kupata masup ya ajabuKaka nafikiri hujakutana na kozi dume. Baadhi ya vyuo kuna kozi si kwamba hazieleweki.. ila ni kozi tata... mnaanza 100 mwaka wa nne mko 25
unasoma darasa la ngapi?Kwangu mimi labda niseme ndio naona hivo, sijui kwa wengine ila mara nyingi naonaga vyuoni watu wanashoia na kufata mkumbo ndio maana wanadisco na kupata masup ya ajabu
Kwanza kozi dume ni kama ipi?
Niko na Bachelor degree hapa nilipo mkuu.unasoma darasa la ngapi?
kozi gani au chuo kipi maana nisije kuwa nabishana na mtu anayesoma open university au Udom bure.Niko na Bachelor degree hapa nilipo mkuu.
Electrical Engineeringkozi gani au chuo kipi maana nisije kuwa nabishana na mtu anayesoma open university au Udom bure.
I think you have been discontinued from your studies!Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma
Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana
Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa
Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke
Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE
Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi
Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana
Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma
Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana
Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa
Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke
Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE
Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi
Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana