Nimepata Tashtwiti Kuandika Juu Ya Usalama Barabarani Na Jeshi Letu La Polisi

Nimepata Tashtwiti Kuandika Juu Ya Usalama Barabarani Na Jeshi Letu La Polisi

Dialogist

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2014
Posts
1,167
Reaction score
1,872
Wanabodi Habarini...

Leo Nimesimamishwa Na Askari Wa Usalama Barabarani akwa Kosa La Kutofunga Mkanda. Nilipomuona Ananifata Nikajiongeze Kufunga Kumbe Kashaniona. Ikanibidi Nikiri Kosa Na Kuomba Kujirekebisha, Tukaongea Kikubwa Yakaisha.

Swali Ambalo Nilijiuliza Na Hata Yeye Nilimuuliza Hakua Na Jibu Na Nyinyi Nawauliza Pia Kama Mtakua Na Majibu, Je Kama Sisi Wa Gari Ndogo Tunapigwa Faini Kwa Sababu Ya Kutofunga Mkanda, Je Vipi Kuhusu Kwenye Daladala Mbona Hatufungi Mikanda??? Na Vipi Zile Gari Za Polisi Ambazo Wamemodifai Na Kuweka Viti Nyuma Kama Vya utalii, Je Nao Mbona Hawafungi Mikanda?? Au Sheria Imekaaje Wakuu?? Maana Hata Kwenye Mabasi Tunahimizwa Kufunga Mikanda.

Nawasilisha
Diologist
Nyamisati NdaniNdani
Jumamosi Ya Leo
 
Hata sijakuelewa
Kwani nini maana ya kufunga mkanda?
Madam/Sir...
Kufunga mkanda (kwenye gari) maana yake ni unachukua ile kamba ya kwenye gari ambayo ipo kama mkanda wa suruali na kuibana upande wa chini. Maana kwa juu ishabanwa na watengeneza gari.

Karibu kama umeelewa...
 
Swali zito sana, ni kweli mikanda iwekwe siti zote lakini mbona malori ya mchanga unakuta wamesimama wale vibarua na wao wafunge mkanda? Vipi kuhusu bodaboda nao wawe na mikanda kuna vitu vingine havihitaji
 
Swali zito sana, ni kweli mikanda iwekwe siti zote lakini mbona malori ya mchanga unakuta wamesimama wale vibarua na wao wafunge mkanda? Vipi kuhusu bodaboda nao wawe na mikanda kuna vitu vingine havihitaji
Ni vile tu wabongo hatujui kudadisi. Ila kimsingi sheria nyingi ni nadharia au uonevu tu...
 
Serikali na Askari traffic hawajali kufunga mikanda na usalama wa maisha ya watu, wao wanajali jinsi ya kuipata rushwa na kuvimba matumbo yao tu.
 
Wanabodi Habarini...

Leo Nimesimamishwa Na Askari Wa Usalama Barabarani akwa Kosa La Kutofunga Mkanda. Nilipomuona Ananifata Nikajiongeze Kufunga Kumbe Kashaniona. Ikanibidi Nikiri Kosa Na Kuomba Kujirekebisha, Tukaongea Kikubwa Yakaisha.

Swali Ambalo Nilijiuliza Na Hata Yeye Nilimuuliza Hakua Na Jibu Na Nyinyi Nawauliza Pia Kama Mtakua Na Majibu, Je Kama Sisi Wa Gari Ndogo Tunapigwa Faini Kwa Sababu Ya Kutofunga Mkanda, Je Vipi Kuhusu Kwenye Daladala Mbona Hatufungi Mikanda??? Na Vipi Zile Gari Za Polisi Ambazo Wamemodifai Na Kuweka Viti Nyuma Kama Vya utalii, Je Nao Mbona Hawafungi Mikanda?? Au Sheria Imekaaje Wakuu?? Maana Hata Kwenye Mabasi Tunahimizwa Kufunga Mikanda.

Nawasilisha
Diologist
Nyamisati NdaniNdani
Jumamosi Ya Leo
Inafikirisha!
Kutofunga mkanda hakupaswi kuwa na faini.
 
Acha ubishi boss funga mkanda epuka kifo Kwa ajali.
Mapolisi wao wameapa kulinda ardhi hii, watu wake na Mali zao. Kwahiyo usijali sana kuhusu wao.
 
Wanabodi Habarini...

Leo Nimesimamishwa Na Askari Wa Usalama Barabarani akwa Kosa La Kutofunga Mkanda. Nilipomuona Ananifata Nikajiongeze Kufunga Kumbe Kashaniona. Ikanibidi Nikiri Kosa Na Kuomba Kujirekebisha, Tukaongea Kikubwa Yakaisha.

Swali Ambalo Nilijiuliza Na Hata Yeye Nilimuuliza Hakua Na Jibu Na Nyinyi Nawauliza Pia Kama Mtakua Na Majibu, Je Kama Sisi Wa Gari Ndogo Tunapigwa Faini Kwa Sababu Ya Kutofunga Mkanda, Je Vipi Kuhusu Kwenye Daladala Mbona Hatufungi Mikanda??? Na Vipi Zile Gari Za Polisi Ambazo Wamemodifai Na Kuweka Viti Nyuma Kama Vya utalii, Je Nao Mbona Hawafungi Mikanda?? Au Sheria Imekaaje Wakuu?? Maana Hata Kwenye Mabasi Tunahimizwa Kufunga Mikanda.

Nawasilisha
Diologist
Nyamisati NdaniNdani
Jumamosi Ya Leo
Mkanda ni Kwa ajili ya usalama wako..

Usipofunga unageuka Mtaji kwa Askari kama ilivyokutokea. Yeye hajakukamata Kwamba umehatarisha maisha yako, bali amekukamata ili aingize kipato aidha Serikalini au Mfukoni mwake..

No body cares..
 
Mimi nikikumbushwa jambo ambalo ni Kwa ajili ya usalama wangu huwa hata sihoji zaidi ya kushukuru tu. Kufunga mkanda au kuvaa helmet ni kwa ajili yangu mwenyewe Ile faini ni Ili siku nyingine nisisahau.
 
Back
Top Bottom