Nimepata ujauzito sijui ni wa nani

Retired Sister

Senior Member
Joined
Jan 11, 2013
Posts
182
Reaction score
224
Nilisafiri kwenda mkoa fulani kikazi nikafikia hoteli moja kubwa, nikiwa hotelini alikuja mpenzi wangu wa zamani kunisalimia, bahati mbaya tukasex tulipimana HIV kwa vile ana mke akaondoka, nikampigia mpenzi wangu mwingine huyu yupo single akaja nae akataka tusex nikakataa kabisa ila akawa amenishikilia kwa nguvu nae akanimwagia mbegu zake nje hatukusex kabisa ile ya penetration kwa sasa nina ujauzito miezi mitatu sijamueleza yoyote kati yao.

Nilivyorudi Arusha nina mpenzi wa kudumu nae tumeendelea ila najua mimba sio yake maana tunapishana mwezi toka niliposex nae na mimba ilipotokea.

Huyo mume wa mtu nae ananipenda sana na ameshaachana na mke wake sio kwa ajili yangu walikuwa na matatizo muda mrefu hata mimi sikutaka aachane na mkewe hawa wote wananitaka, hii mimba niipeleke kwa nani wote ni wanaume wazuri tu ila nimekwama kabisa.
 
Kila mmoja mwambie ni mimba yake, utakapojifungua atakaefanana nae ndo baba ake, mtoto akifanana na wewe hiyo sasa itakua kupatwa kwa mimba....

hahahahahhahahaahahahha...aseee wewe ni kwereeeeeeee
 
Hongera kwaa group sex yako, Huyo was kwanza ndo mwenyewe au kuna nth term nyingine umesahau!!!
 
Upo vizuri shost, hiyo mimba mpe mume wa mtu ndo yake halafu mume wa mtu anajua majukumu
 
[emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji26] [emoji26] [emoji25]
 
Mhhhh!! Yaani yako haitulii ni kuchapwa tu full time? Hao ni wale umetwambia na je wa siku moja moja?
 
Na wewe unategemea uolewe!!!!!! si ukitoka nyumbani kidogo tu utakuwa unawaita mabwana zako wa zamani wanakuja mnamalizana. Ni pm nije nikupe dawa ya kumgeuza mtoto afanane na mwanaume mmoja unaemtaka wewe kabla hajazaliwa.
 
Mmm aisee, unaupenda sana ulaya inaelekea.Tena retired sister,sikuelewi.Ila pole, ndio faida ya ulaya hiyo.Huo ni mzigo wako,beba jiwe hilo.Sasa ukimpa mtu ikatokea sio mzigo wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…