moto wa maji
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 4,151
- 2,979
Uliza kwa wenzio mkuu afu uje tena umpe ushauriAta sijui!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliza kwa wenzio mkuu afu uje tena umpe ushauriAta sijui!
Mkuu naona unafuata falsafa ya ufyetuaji kama tulivyoambiwaKwa kweli wanaume kazi tunayo, tunalea watoto wa wanaume wenzetu,
Yaani nimepanga kuanzia mwaka kesho naanza opereshen tia mimba yaan anaejichanganya nnae halafu nawageuzia kibao wote kua sio mimba yangu, nakusanya ela tu za kutosha kuwalainisha,
Na mpaka sasa nshaseti watatu nasubiri tuu mwanangu mchanga akuekue,
Nna hasira sana na ile takwimu ya mkemia mkuu wa serikali
Hahaahaa! Umeuwa mkuu.Mume wa mtu ndo mwenye kijusi..ila sasa jiandae kisaikolojia mana umeuwasha moto..muda mwingine muwe mnaangalia makabila ya kuwajaribu na hizo mimba kama kwetu wewe unaweza kuja zaa muhogo kwa mambo ya kujitakia
Kufanana sio kipimo cha baba wa mtoto mimi nilizaa mtoto ambaye baada ya mwaka tukapata jirani mpya amehamia mtaa wetu simjui masikini ya Mungu mwanangu alifanana sana yule kaka na walikua wanapatana haswaa maana Abeid wangu usipomuona nyumbani jioni basi yupo nyumba jirani kwa uyo kaka,Lakini hakua baba yake ni ufanano tu wa kibinadamu sasa hivi ndo karudisha sura ya dingi yake! Kwaiyo asiwabambikie kwa kigezo cha ufanano Duniani wawili wawili sawa sawa na Jike shupa + shiloleWe dada umekosea sana ila nkuambie tu subiri uzae utaona mtoto kafanana na nani mana kiukweli kwasaivi utapata ugumu kujua, mana nna mfano wa kweli wa kwangu mimi mwanamke wang alipata mimba yangu kwa stail hio hio ya kukojoa nje tena kesho yake tu akaanza dalili za mimba
one people different colours
kupatwa kwa baba kijacho on fleek
Hahhahh.... ntakupgia namba yko ninayoKila mmoja mwambie ni mimba yake, utakapojifungua atakaefanana nae ndo baba ake, mtoto akifanana na wewe hiyo sasa itakua kupatwa kwa mimba....
Majuto huja baada ya kitendo wajomba andaeni BesenUlipokuw umeitwa hotelini ukavua pichu ulituomba ushauri?c uliachia tu?ulipompigia wa pili ulitushirikisha?ulivyokuwa mnashauriana amwage wapi ulitushirikisha?una matatizo ndio unayaleta humu tukushauri?uliyekula naye mboga ule naye ugali mkavu,unatafuta nini wanaume wa tatu?au hyo papuchi yko ni nidiketa ina washa kila saa?Ushauri ukiwa na watatu wa nyumbani mpe papuchi hawa wa nje wape mini kabang!
ahahahhhahah daa we ulikuwaga mke wa nabii solomon nn,hekima zako hatarKila mmoja mwambie ni mimba yake, utakapojifungua atakaefanana nae ndo baba ake, mtoto akifanana na wewe hiyo sasa itakua kupatwa kwa mimba....
Teh teh teh! Siyo kupatwa kwa mtoto?Kila mmoja mwambie ni mimba yake, utakapojifungua atakaefanana nae ndo baba ake, mtoto akifanana na wewe hiyo sasa itakua kupatwa kwa mimba....
Mpe vidonge vyake akimeza sawa akishindwa mpige ki tofaliUkiambiwa we ni malaya utakataaa??? Mimba ni yako mwenyewe mana we ndio uliibeba...
Et mume wa mtu anakupenda nyoooo tafuta wako.....una uhakika km unapendwa...hovyoooo ukahaba tu wadada wengine mnaboa baadar eti nawe waja wataka husband material wkt wewe k ju uu juu
Anatuaibisha huyuMpe vidonge vyake akimeza sawa akishindwa mpige ki tofali
Kweli dada huyo anatia aibu wawili kwa usiku mmojaAnatuaibisha huyu
umenikumbusha wakati mnamzito nahudhulia clinic....kuna dada alikuwa na kadi 3 za clinic....kila kadi kuna jina tofauti la baba wa mtoto. kwahiyo ni yeye tu aamue.Kila mmoja mwambie ni mimba yake, utakapojifungua atakaefanana nae ndo baba ake, mtoto akifanana na wewe hiyo sasa itakua kupatwa kwa mimba....
Tena inaelekea siyo kwa usiku mmoja tu mkuu, baali ilikuwa bandika bandua, huyu anatoka, huyu anaingia!!!!!Kweli dada huyo anatia aibu wawili kwa usiku mmoja
Ana kihirizi huyo