Nimepatwa na msiba, kwa atakayetaka kuja kuomboleza nami karibu

Nimepatwa na msiba, kwa atakayetaka kuja kuomboleza nami karibu

Ubafika shule ya msingi Kiurei?
Utanipitia hapa White Rose[emoji257]
[Inawezkana hua tunapishanaga njiani][emoji125]

Pole lakini kwa kufiwa mkuu, stay strong

Mkuu we ndo upo kwenye zile ofisi za kampuni za utalii?
 
Pole sana Mkuu, tutapeana updates nikiwahi kurudi nitajumuika
Asante Sana Mkuuu,nitaendelea kutoa Updates kwa njia ya Picha hapa kwa hii thread MKUU

uKIpata nafasi usiache kujumuika nitafarijika na nitafurahi pia,karibu Mkuu nakuombea ufanikishe.
 
Moshi mtazika wapi? Leo naenda moshi nipo kibo hapa nasubiri kapricon ije.
Moshi tutazika Uswaa! Ukipanda daladala za Uswaa (pale kwa sadala) utashuka kituo cha MAKARO kanisani K.K.K.T basi ukinipgia simu nitakufata Mkuu,Karibu.
 
Jamii Forum ni mtandao wa watu ni Jamii yenye watu wote kama tulivyo mitaani,Nimepatwa na MSIBA wa babu yangu mzaa MAMA (baba wa mama yangu) naelekea Arusha siku ya kesho Usiku mida ya saa 1 hivi nitaianza safari.

Nimetamani na nimejisikia kuomba mwana JF uliepo Arusha tujumuike pamoja kuelekea msibani (nyumbani kwetu) maziko yatafanyikia MOSHI siku ya JUMANNE lakini tumeanza kuwasili nyumbani kuanzia jana umauti ulipomchukua BABU.

Nawaomba wana JF mliopo ARUSHA tujumuike pamoja katika IBADA hii ya mwisho kwa BABU yangu,uwepo wako tu utakua faraja kwangu/mama/wajomba na watu wengine wa familia.

Nyumbani ni SAKINA mtaa wa Ilkiurei TRIPLE A ilipo ile njia inapandisha kule juuu huko ndio nyumbani,yeyote ulie karibu utakae weza jumuika pamoja nami karibu sana,tuianze safari pamoja.

Ombi langu ni Kampani yenu tu twende pamoja..kwa Wale mtakaoguswa tu katika hili.

Kwa atakaehitaji kuungana nami ARUSHA Tar 29 karibu sana nyumbani,Nipigie nitakuelekeza Nilipo au nitakufuata kukuleta nyumbani.

NAMBA ZANGU ZA SIMU kwa mtakaotamani kuungana nami Karibu PM.
Pole Sana mkuu
 
Back
Top Bottom