GIUSEPPE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 5,239
- 6,225
Dogo kama unataka majibu ya kweli kweli hapa JF umeloba, ila kama ni furahisha baraza hapo powaaaaa. Hii ndo JF bwana kama ulikuwa hujui.Mkuu ulishawahi kusikia popote ugonjwa kama huu?? Maana nina stress hapa sijui nianzie wapi! ...asante kwa ushauri wa mwanzo