Yaani mipango miji hapa Tanzania ni kizungkuti aisee. Miji yote ni uwanja wa fujo. Mimi huwa najiuliza hizo DC huwa wanafanya nini huku kwenye miji midogo inayokuwa kwa kasi?
Angalia pale mafinga, mji unakuwa ila sasa, shaghala bhaghala. Ona pale Iringa hapo stand ya zamani pogolo wamejenga hovyo. Yaani aaaa hata mitaa hakuna vurugu tu. Ona Makambako mji unajiendea tu, hamna mipango yoyote mji mbovu kama nini. Yaani tufike mahali hawa watendaji wawe ndio wasimamizi wa miji hii maana mmm. Angalia Mbeya napo hovyo kabisa.