Nimependa maadhimisho ya miaka miwili ya kifo cha Hayati Magufuli

Nimependa maadhimisho ya miaka miwili ya kifo cha Hayati Magufuli

TikTok2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2022
Posts
1,816
Reaction score
3,150
Leo ilikuwa ni siku ya kumbukumbu ya siku iliyotangazwa kifo cha mpendwa Rais wetu Hayati Magufuli ukweli wa kilitokea lini tuachane nayo.

Kilichonifurahisha leo
ni namna ambavyo siku hiyo imeadhimishwa kwa misa maalum ya kumuombea badala ya kufanyika kiserikali kitu ambacho kingejaza wanafiki watupu.

Napongeza wazi hilo liwe endelevu na Mungu awasimamie familia.

Tunamshukuru Mungu Kwa maisha ya Hayati Magufuli.

Sisi wote ni mavumbi na wote tutarudi mavumbi ni suala la muda tu.

Mungu ni wetu sote.
 
Leo ilikuwa ni siku ya kumbukumbu ya siku iliyotangazwa kifo cha mpendwa Rais wetu Hayati Magufuli ukweli wa kilitokea lini tuachane nayo.

Kilichonifurahisha leo
ni namna ambavyo siku hiyo imeadhimishwa kwa misa maalum ya kumuombea badala ya kufanyika kiserikali kitu ambacho kingejaza wanafiki watupu.

Napongeza wazi hilo liwe endelevu na Mungu awasimamie familia.

Tunamshukuru Mungu Kwa maisha ya Hayati Magufuli.

Sisi wote ni mavumbi na wote tutarudi mavumbi ni suala la muda tu.

Mungu ni wetu sote.
Bi salute kwa mzee baba hatutetereki!
 
Leo ilikuwa ni siku ya kumbukumbu ya siku iliyotangazwa kifo cha mpendwa Rais wetu Hayati Magufuli ukweli wa kilitokea lini tuachane nayo.

Kilichonifurahisha leo
ni namna ambavyo siku hiyo imeadhimishwa kwa misa maalum ya kumuombea badala ya kufanyika kiserikali kitu ambacho kingejaza wanafiki watupu.

Napongeza wazi hilo liwe endelevu na Mungu awasimamie familia.

Tunamshukuru Mungu Kwa maisha ya Hayati Magufuli.

Sisi wote ni mavumbi na wote tutarudi mavumbi ni suala la muda tu.

Mungu ni wetu sote.
Hata kumbukumbu ya kifo cha Mkapa na cha Nyerere hufanyika hivyohivyo.... Sijui kwanini hii ya Meko imekuwa habari mpaka uianzishie uzi..

Sukuma gang mnateseka sana na mungu wenu wa Chattle
 
Mlidhani ingepata coverage kubwa, Cha kushangaza hakuna aliyekua na time na hiyo issue. Sasa mnakuja kujitia moyo humu Ili kupunguza stress ya mlichokiona!!

Poleni sana Sukuma Gang
Coverage ni kubwa Sana hiyo ulitaka na wanafiki kama nyie muomboleze wakati tunawatambua,Kwa akili yako ndogo huchelewi kusema angekuwepo flani na flani ingeonekana kubwa Kwa taarifa yako uwepo WA Kardinali Pengo Tu Jana umewakilisha maelfu ya WATANZANIA ni mzito kuzidi hata angeenda samia au jk
 
Hata kumbukumbu ya kifo cha Mkapa na cha Nyerere hufanyika hivyohivyo.... Sijui kwanini hii ya Meko imekuwa habari mpaka uianzishie uzi..

Sukuma gang mnateseka sana na mungu wenu wa Chattle
Alikuwa Rais wa nchi ukifa were hakuna atakaeanzisha uzi

Acha wivu

Nchi huru hii
 
Alikuwa Rais wa nchi ukifa were hakuna atakaeanzisha uzi

Acha wivu

Nchi huru hii
Hata shetani ana uzi, hilo lisikuchanganye sana. Kikubwa ni je uzi wako ni wa kuonyesha u-mfuasi wa shetani au ni wa kunyesha kujitambua na kukemea vitendo viovu vya kishetani??
 
Tujadili issues za msingi zitakazo tufungulia maisha tukimbie laana ya umaskini na ujinga.
Wanasema small minds discuss people nadhani dead minds zinadiscuss the deceised !
 
Leo ilikuwa ni siku ya kumbukumbu ya siku iliyotangazwa kifo cha mpendwa Rais wetu Hayati Magufuli ukweli wa kilitokea lini tuachane nayo.

Kilichonifurahisha leo
ni namna ambavyo siku hiyo imeadhimishwa kwa misa maalum ya kumuombea badala ya kufanyika kiserikali kitu ambacho kingejaza wanafiki watupu.

Napongeza wazi hilo liwe endelevu na Mungu awasimamie familia.

Tunamshukuru Mungu Kwa maisha ya Hayati Magufuli.

Sisi wote ni mavumbi na wote tutarudi mavumbi ni suala la muda tu.

Mungu ni wetu sote.
Hata mfanye ibada milioni hawezi kuepuka jehanam ya moto, wacha ateseke tu

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kwa upande wangu mleta Uzi unacho sema wanafiki wangejazana ingefanyika kitaifa, Ila hao wanafiki Kama wameshindwa kwenda kwenye Misa sio vizuri, hata Kama tofauti ya dini wangeenda hata kwao au kwake, kuzuru kaburi lake ingeonekana ni upendo kwa familia na mwenda zake.
 
Mlidhani ingepata coverage kubwa, Cha kushangaza hakuna aliyekua na time na hiyo issue. Sasa mnakuja kujitia moyo humu Ili kupunguza stress ya mlichokiona!!

Poleni sana Sukuma Gang
Ingekuwa haina coverage ungeisemea hapa? Grow up sister.
 
Mlidhani ingepata coverage kubwa, Cha kushangaza hakuna aliyekua na time na hiyo issue. Sasa mnakuja kujitia moyo humu Ili kupunguza stress ya mlichokiona!!

Poleni sana Sukuma Gang
Coverage ni kubwa sana miongoni mwa watu hebu angalia wasap status kwenye simu yako wangap wamepost picha yake. Bado anaishi kwenye moyo ya watu
 
Coverage ni kubwa sana miongoni mwa watu hebu angalia wasap status kwenye simu yako wangap wamepost picha yake. Bado anaishi kwenye moyo ya watu
Hapana status yangu nimeona mmoja pekee wengine wote walipost meme za mechi ya arsenal.... Meme za Famasiala n.k. no one was interested na issue ya mfu wenu.

Huko chato ndio kabisa hata sukuma gang hawajakanyaga!! Poleni sana hii ndio Dunia, ukishaondoka wanafiki wote wanakusahau.
 
Hapana status yangu nimeona mmoja pekee wengine wote walipost meme za mechi ya arsenal.... Meme za Famasiala n.k. no one was interested na issue ya mfu wenu.

Huko chato ndio kabisa hata sukuma gang hawajakanyaga!! Poleni sana hii ndio Dunia, ukishaondoka wanafiki wote wanakusahau.
Watumiaji wa smart phone Tanzania wako wa ngap
 
Back
Top Bottom