Nimependa maadhimisho ya miaka miwili ya kifo cha Hayati Magufuli

Nimependa maadhimisho ya miaka miwili ya kifo cha Hayati Magufuli

Kumekuwa na kelele nyingi sana kuhusu Hayati Rais Magufuli,nataka ushahidi wa haya niliyoyasikia,

1. UFISADI/MWIZI nataka kujua JPM alifisadi nini au aliiba nini na je kuna mahali amewekeza hizo pesa alizo fisadi, mwenye uelewa na hili aliweke hapa kwa uzuri kabisa wengine tuelewe

2. MUUAJI/SHETANI je alimuua nani?

3. ALIPORA MALI ZA WATU je JPM alipora mali za kina nani na kwa njia gani?tafazal iwe in detail ili tupate kuelewa kwa pamoja na tusipige kelele ikiwezekana kama kuna ushahidi tuweke

4. DICTATOR UCHWARA je udictator wake ni upi? Tuwekane sawa iki tujue kwa undani maana kuna watu ukitaja jina la JPM anaweza kukuzaba kibao
 
Kama unampenda sana nenda kanywe naye chai - J.K Nyerere
Kama unampenda sana nenda kazikwe naye - Z.Z.K
Maisha ni hadithi tujitahidi kuandika hadith nzuri - Alhaji A.H Mwinyi
 
Coverage ni kubwa Sana hiyo ulitaka na wanafiki kama nyie muomboleze wakati tunawatambua,Kwa akili yako ndogo huchelewi kusema angekuwepo flani na flani ingeonekana kubwa Kwa taarifa yako uwepo WA Kardinali Pengo Tu Jana umewakilisha maelfu ya WATANZANIA ni mzito kuzidi hata angeenda samia au jk
Ndugu, hv huoni kuwa unajitafutia vidonda vya tumbo na UTI visivyo na ulazima?!!!!! Kwani shida yenu nini haswaa?!!!

Sawa, pengo ni jitu kuuubwa kuliko sami na jk......nenda kaki get naji ya mvua sasa unywe upate afya!
 
Leo ilikuwa ni siku ya kumbukumbu ya siku iliyotangazwa kifo cha mpendwa Rais wetu Hayati Magufuli ukweli wa kilitokea lini tuachane nayo.

Kilichonifurahisha leo
ni namna ambavyo siku hiyo imeadhimishwa kwa misa maalum ya kumuombea badala ya kufanyika kiserikali kitu ambacho kingejaza wanafiki watupu.

Napongeza wazi hilo liwe endelevu na Mungu awasimamie familia.

Tunamshukuru Mungu Kwa maisha ya Hayati Magufuli.

Sisi wote ni mavumbi na wote tutarudi mavumbi ni suala la muda tu.

Mungu ni wetu sote.
Kama mtu (Magufuli) alisharudi mavumbini, kwanini tena kumsumbua?
Misa za kuwaombea wafu za nini tena?
Tuwaache wafu wapambane na hali zao huko huko walipo na sisi tupambane na hali zetu huku huku duniani tulipo.
 
Kama mtu (Magufuli) alisharudi mavumbini, kwanini tena kumsumbua?
Misa za kuwaombea wafu za nini tena?
Tuwaache wafu wapambane na hali zao huko huko walipo na sisi tupambane na hali zetu huku huku duniani tulipo.
Imani yangu inaruhusu misa za wafu kama wewe hufanyi usitake na wengine wasifanye ndio mana kuna Uhuru wa kuabudu hatuwezi kufanana
 
Ndugu, hv huoni kuwa unajitafutia vidonda vya tumbo na UTI visivyo na ulazima?!!!!! Kwani shida yenu nini haswaa?!!!

Sawa, pengo ni jitu kuuubwa kuliko sami na jk......nenda kaki get naji ya mvua sasa unywe upate afya!
Huo ndio ukweli uzito wa Kardinali haufanani na hao kama una akili utaelewa kama unafikiria kihisia hutoelewa
 
Leo ilikuwa ni siku ya kumbukumbu ya siku iliyotangazwa kifo cha mpendwa Rais wetu Hayati Magufuli ukweli wa kilitokea lini tuachane nayo.

Kilichonifurahisha leo
ni namna ambavyo siku hiyo imeadhimishwa kwa misa maalum ya kumuombea badala ya kufanyika kiserikali kitu ambacho kingejaza wanafiki watupu.

Napongeza wazi hilo liwe endelevu na Mungu awasimamie familia.

Tunamshukuru Mungu Kwa maisha ya Hayati Magufuli.

Sisi wote ni mavumbi na wote tutarudi mavumbi ni suala la muda tu.

Mungu ni wetu sote.
Hiyo ndio namna ya kuadhimisha siku hiyo hakuna zaidi.
 
Back
Top Bottom