Nimependa maadhimisho ya miaka miwili ya kifo cha Hayati Magufuli

Nimependa maadhimisho ya miaka miwili ya kifo cha Hayati Magufuli

Watumiaji wa smart phone Tanzania wako wa ngap
Mbona hamueleweki, mara kapostiwa sana mara Tena unahoji smartphone zipo ngapi. Yaani unataka kusema wanaompenda hawana smartphone!! Msitumie nguvu sana kumpamba kama angekua anakumbukwa sana basi Jana tungeona concerts kibao zimefanyika, ibada mbalimbali, exhibitions n.k.
 
Leo ilikuwa ni siku ya kumbukumbu ya siku iliyotangazwa kifo cha mpendwa Rais wetu Hayati Magufuli ukweli wa kilitokea lini tuachane nayo.

Kilichonifurahisha leo
ni namna ambavyo siku hiyo imeadhimishwa kwa misa maalum ya kumuombea badala ya kufanyika kiserikali kitu ambacho kingejaza wanafiki watupu.

Napongeza wazi hilo liwe endelevu na Mungu awasimamie familia.

Tunamshukuru Mungu Kwa maisha ya Hayati Magufuli.

Sisi wote ni mavumbi na wote tutarudi mavumbi ni suala la muda tu.

Mungu ni wetu sote.
Mnajifariji baada ya Serikali na Wananchi kuwasusia.
 
Coverage ni kubwa Sana hiyo ulitaka na wanafiki kama nyie muomboleze wakati tunawatambua,Kwa akili yako ndogo huchelewi kusema angekuwepo flani na flani ingeonekana kubwa Kwa taarifa yako uwepo WA Kardinali Pengo Tu Jana umewakilisha maelfu ya WATANZANIA ni mzito kuzidi hata angeenda samia au jk
Poleni sana Sukuma gang, ila hamna chenu tena. Nawashauri mlale tu juu ya kaburi muomboleze tu. Angalizo Sukuma gang wenzenu wengine wameshaanza kuwasaliti
 
Coverage ni kubwa sana miongoni mwa watu hebu angalia wasap status kwenye simu yako wangap wamepost picha yake. Bado anaishi kwenye moyo ya watu
So Serikali imepotezea ila wasap wakatoa coverage?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona hamueleweki, mara kapostiwa sana mara Tena unahoji smartphone zipo ngapi. Yaani unataka kusema wanaompenda hawana smartphone!! Msitumie nguvu sana kumpamba kama angekua anakumbukwa sana basi Jana tungeona concerts kibao zimefanyika, ibada mbalimbali, exhibitions n.k.
Hebu pita hapa

 
So Serikali imepotezea ila wasap wakatoa coverage?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu pita hapa

 
Maadhimishe leo tarehe 19, viwanja vya Uhuru wapendwa .
 
Leo ilikuwa ni siku ya kumbukumbu ya siku iliyotangazwa kifo cha mpendwa Rais wetu Hayati Magufuli ukweli wa kilitokea lini tuachane nayo.

Kilichonifurahisha leo
ni namna ambavyo siku hiyo imeadhimishwa kwa misa maalum ya kumuombea badala ya kufanyika kiserikali kitu ambacho kingejaza wanafiki watupu.

Napongeza wazi hilo liwe endelevu na Mungu awasimamie familia.

Tunamshukuru Mungu Kwa maisha ya Hayati Magufuli.

Sisi wote ni mavumbi na wote tutarudi mavumbi ni suala la muda tu.

Mungu ni wetu sote.
Wacha kujikaza kisabuni tu maana hakuna mtu angeweza kwenda kupoteza muda wake
 
Hata kumbukumbu ya kifo cha Mkapa na cha Nyerere hufanyika hivyohivyo.... Sijui kwanini hii ya Meko imekuwa habari mpaka uianzishie uzi..

Sukuma gang mnateseka sana na mungu wenu wa Chattle
Wanajikaza kisabuni hao huku wamejawa hasira za kifutu maana walitegemea serikali itangaze kabisa mapumziko ya kitaifa.
 
Coverage ni kubwa Sana hiyo ulitaka na wanafiki kama nyie muomboleze wakati tunawatambua,Kwa akili yako ndogo huchelewi kusema angekuwepo flani na flani ingeonekana kubwa Kwa taarifa yako uwepo WA Kardinali Pengo Tu Jana umewakilisha maelfu ya WATANZANIA ni mzito kuzidi hata angeenda samia au jk
Sema umewakilisha sukuma gang wenzako
 
Coverage ni kubwa Sana hiyo ulitaka na wanafiki kama nyie muomboleze wakati tunawatambua,Kwa akili yako ndogo huchelewi kusema angekuwepo flani na flani ingeonekana kubwa Kwa taarifa yako uwepo WA Kardinali Pengo Tu Jana umewakilisha maelfu ya WATANZANIA ni mzito kuzidi hata angeenda samia au jk
Na hapo bado kuna siku itapita tu kama mvua za rasharasha
 
Back
Top Bottom