pesa za Serikali zingeangamia kwny perdiemKwani ingefanyika kiserikali ungepungukiwa nini boss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pesa za Serikali zingeangamia kwny perdiemKwani ingefanyika kiserikali ungepungukiwa nini boss
Mbona hamueleweki, mara kapostiwa sana mara Tena unahoji smartphone zipo ngapi. Yaani unataka kusema wanaompenda hawana smartphone!! Msitumie nguvu sana kumpamba kama angekua anakumbukwa sana basi Jana tungeona concerts kibao zimefanyika, ibada mbalimbali, exhibitions n.k.Watumiaji wa smart phone Tanzania wako wa ngap
Mnajifariji baada ya Serikali na Wananchi kuwasusia.Leo ilikuwa ni siku ya kumbukumbu ya siku iliyotangazwa kifo cha mpendwa Rais wetu Hayati Magufuli ukweli wa kilitokea lini tuachane nayo.
Kilichonifurahisha leo
ni namna ambavyo siku hiyo imeadhimishwa kwa misa maalum ya kumuombea badala ya kufanyika kiserikali kitu ambacho kingejaza wanafiki watupu.
Napongeza wazi hilo liwe endelevu na Mungu awasimamie familia.
Tunamshukuru Mungu Kwa maisha ya Hayati Magufuli.
Sisi wote ni mavumbi na wote tutarudi mavumbi ni suala la muda tu.
Mungu ni wetu sote.
Poleni sana Sukuma gang, ila hamna chenu tena. Nawashauri mlale tu juu ya kaburi muomboleze tu. Angalizo Sukuma gang wenzenu wengine wameshaanza kuwasalitiCoverage ni kubwa Sana hiyo ulitaka na wanafiki kama nyie muomboleze wakati tunawatambua,Kwa akili yako ndogo huchelewi kusema angekuwepo flani na flani ingeonekana kubwa Kwa taarifa yako uwepo WA Kardinali Pengo Tu Jana umewakilisha maelfu ya WATANZANIA ni mzito kuzidi hata angeenda samia au jk
So Serikali imepotezea ila wasap wakatoa coverage?Coverage ni kubwa sana miongoni mwa watu hebu angalia wasap status kwenye simu yako wangap wamepost picha yake. Bado anaishi kwenye moyo ya watu
Hebu pita hapaMbona hamueleweki, mara kapostiwa sana mara Tena unahoji smartphone zipo ngapi. Yaani unataka kusema wanaompenda hawana smartphone!! Msitumie nguvu sana kumpamba kama angekua anakumbukwa sana basi Jana tungeona concerts kibao zimefanyika, ibada mbalimbali, exhibitions n.k.
Hebu pita hapaSo Serikali imepotezea ila wasap wakatoa coverage?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maadhimisho leo ya kitaifa.Maadhimishe leo tarehe 19, viwanja vya Uhuru wapendwa .
Wacha kujikaza kisabuni tu maana hakuna mtu angeweza kwenda kupoteza muda wakeLeo ilikuwa ni siku ya kumbukumbu ya siku iliyotangazwa kifo cha mpendwa Rais wetu Hayati Magufuli ukweli wa kilitokea lini tuachane nayo.
Kilichonifurahisha leo
ni namna ambavyo siku hiyo imeadhimishwa kwa misa maalum ya kumuombea badala ya kufanyika kiserikali kitu ambacho kingejaza wanafiki watupu.
Napongeza wazi hilo liwe endelevu na Mungu awasimamie familia.
Tunamshukuru Mungu Kwa maisha ya Hayati Magufuli.
Sisi wote ni mavumbi na wote tutarudi mavumbi ni suala la muda tu.
Mungu ni wetu sote.
Wangefanya kiserikali asingekwenda mtuKwani ingefanyika kiserikali ungepungukiwa nini boss
Sema huteteleki wewe sukuma gang.Bi salute kwa mzee baba hatutetereki!
Tumeisusia siku yenu matagaBi salute kwa mzee baba hatutetereki!
Wanajikaza kisabuni hao huku wamejawa hasira za kifutu maana walitegemea serikali itangaze kabisa mapumziko ya kitaifa.Hata kumbukumbu ya kifo cha Mkapa na cha Nyerere hufanyika hivyohivyo.... Sijui kwanini hii ya Meko imekuwa habari mpaka uianzishie uzi..
Sukuma gang mnateseka sana na mungu wenu wa Chattle
Umeonaeeeeeee?Mlidhani ingepata coverage kubwa, Cha kushangaza hakuna aliyekua na time na hiyo issue. Sasa mnakuja kujitia moyo humu Ili kupunguza stress ya mlichokiona!!
Poleni sana Sukuma Gang
Sema umewakilisha sukuma gang wenzakoCoverage ni kubwa Sana hiyo ulitaka na wanafiki kama nyie muomboleze wakati tunawatambua,Kwa akili yako ndogo huchelewi kusema angekuwepo flani na flani ingeonekana kubwa Kwa taarifa yako uwepo WA Kardinali Pengo Tu Jana umewakilisha maelfu ya WATANZANIA ni mzito kuzidi hata angeenda samia au jk
Na hapo bado kuna siku itapita tu kama mvua za rasharashaCoverage ni kubwa Sana hiyo ulitaka na wanafiki kama nyie muomboleze wakati tunawatambua,Kwa akili yako ndogo huchelewi kusema angekuwepo flani na flani ingeonekana kubwa Kwa taarifa yako uwepo WA Kardinali Pengo Tu Jana umewakilisha maelfu ya WATANZANIA ni mzito kuzidi hata angeenda samia au jk
Yaani awaonee wivu sukuma gang?Alikuwa Rais wa nchi ukifa were hakuna atakaeanzisha uzi
Acha wivu
Nchi huru hii