Nimependa majibu ya Lugumi, kumbe jamaa ni darasa la saba tu. Je, Hayati Magufuli alikuwa na personal conflict naye?

Haikumii sababu ni Mtz? Aisee wabongo tuna safari ndefu kuyafikia maendeleo, hivi mf Watz mia nao wakipiga hela,hivi unazani nchi itakuwa kwenye hali gani daah.........
 
Swali la msingi
 
Kwani we ukiwa miongoni mwa hao mia utakataa kupiga hela?Acha wivu.
Wivu na muonea nani.....?Kwa hiyo wote tuwe wapigaji....... mtaiuza nchi hii, halafu mtapangiwa cha kufanya.

Unaakili kama za wauza ngada wa Mexico, kwa kuwachekea wauza unga ,matokeo yake vijana wengi wanadream ya kujiunga na Cartel na nchi ishakuwa ya wauza unga,serikali ishapoteza control kwani kila kijana anatafuta kazi ya kulima,kusafirisha na kuuza unga. Nchi hii tunawachekea mafisadi ndio maana vijana wengi wanadream za kupata nafasi kwenye mashirika makubwa ili wapige hela na si kuyaendeleza, halafu wanaopiga hela wanatafuta sana kuonewa huruma na jamii kwa misaada yao,kama wauza ngada wa Mexico.

Uzuri sina akili ya upigaji kwani nina alternative kama tano za kuingiza hela bila kupiga. Ninacho ongea hapa ni kwa ajili ya maendeleo ya Tz na vizazi vijavyo.
 
Huyu anahusudu sana mambo ya waganga/ ushirikina. Hapo hao watoto lazma kaambiwa na mganga awaite hivyo. Kweli darasa la saba.
 
Kumpa mtu chakula sio msaada, ukitaka kumsaidia mtu mpe elimu na mtaji. Hapa namaanisha elimu ya darasani au elimu huria ya biashara akapambane na maisha yake. Hii misaada ya chakula inadumaza akili kwa kiasi fulani jambo sio mbaya kulisha na kuvisha watu wenye uhitaji.
 
Umetazama hiyo clip mpaka mwwi
 
Ukisha mjua mke wa Lugumi ni mtoto wa nani, basi majibu ya utajiri wa Lugumi utayaelewa!!
 
Nina altenative kama tano za kuingiza hela kumbe upo tu kwenye sofa la dada yako ukiangalia tamthiliya za azam tv
 
We We hiyo PhD yako kwasasa ni tajiri namba ngapi mtaani kwako au kijijini kwako?
 
anasema yeye hajawahi kumtapeli mtu, hajawahi kumfitini mtu, hawajahi kumdhulumu
Mkuu unaamini kuna tajiri anaweza kuhojiwa kwenye interview akakiri kinyume na haya maneno hapo.

Yaani kabisa aseme najuta hizi hela nilidhurumu, pia nilifanya utapeli, na kufitinisha watu hii inawezekana kweli kwa Tanzania yetu hii. πŸ€”πŸ€”
 
JPM anamjua Lugumi kuliko Mimi na wewe.
JPM alikuwa Rais,ana resources zote za kumjua kila mtu.

Lugumi alikuwa na tender za kussuply jeshi la polisi, hapo nafikiri umeshajua kwanini JPM aliamua kudeal naye.

Kuwa darasa la saba sio issue, issue ni kushirikiana na waliokuwa kwenye mamlaka kuwaiabia watanzania masikini halafu ukajiona mjanja na kuhubiri Unaakili japo Darasa la saba.

Shule ni shule tu, tuache kuipotosha jamii na hili lasaba, maendeleo makubwa unayoyaona duniani ni matokeo ya watu kusoma vizuri na kuelewa vile walivyosomea.
 
Lugumi kashawachota wasiofahamu nyuma ya pazia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…