Nimependa majibu ya Lugumi, kumbe jamaa ni darasa la saba tu. Je, Hayati Magufuli alikuwa na personal conflict naye?

Nimependa majibu ya Lugumi, kumbe jamaa ni darasa la saba tu. Je, Hayati Magufuli alikuwa na personal conflict naye?

Wivu na muonea nani.....?Kwa hiyo wote tuwe wapigaji....... mtaiuza nchi hii, halafu mtapangiwa cha kufanya.

Unaakili kama za wauza ngada wa Mexico, kwa kuwachekea wauza unga ,matokeo yake vijana wengi wanadream ya kujiunga na Cartel na nchi ishakuwa ya wauza unga,serikali ishapoteza control kwani kila kijana anatafuta kazi ya kulima,kusafirisha na kuuza unga. Nchi hii tunawachekea mafisadi ndio maana vijana wengi wanadream za kupata nafasi kwenye mashirika makubwa ili wapige hela na si kuyaendeleza, halafu wanaopiga hela wanatafuta sana kuonewa huruma na jamii kwa misaada yao,kama wauza ngada wa Mexico.

Uzuri sina akili ya upigaji kwani nina alternative kama tano za kuingiza hela bila kupiga. Ninacho ongea hapa ni kwa ajili ya maendeleo ya Tz na vizazi vijavyo.
Mungu Akujalie wewe na vizazi vyako
 
Naweza kubali, Lugumi hakuwa peke yake. Kuna kampuni jingine halikuguswa kabisa.

Swali langu ni hili tu. Lugumi alipata tenda kipindi cha JK, ambapo Mwema alikuwa ni IGP. Uhusiano wa Lugumi na Mwema ukoje ?​
Lugumi ana mizizi yake especially kwenye ishu za millitary weapons na waisrael na wamarekani wanamwamini kabisa chini ya ukanda wetu wa sahara jiwe kwenda kuleta kampuni yake na kuifanyai forcing ni kitu ambacho waisrael na wamarekani wasingekubali ndo akahamia kwa wachina which is silaha zao hazina ubora wa kiivyo
 
Kwahiyo kumfuatilia mwizi aliyechukua pesa, mabilioni ya serikali bila kuifanyia kazi ni Personal Conflict?
 
Back
Top Bottom