Shanily
JF-Expert Member
- Nov 4, 2024
- 856
- 1,662
Tarehe 04 / 01 / 2025 nilienda Zahanati flani hapa mjini, ni ya Serikali baada ya kuwa sijiskii vizuri, nikapewa dawa kadhaa na panadol.
Leo jioni kichwa kikawa kinauma sana, nikasema nimeze Panadol ambazo nilibakiza nilizopewa Zahanati.
Binafsi siwezi kumeza Panadol Huwa nazitafuna tu, sasa wakati natafuna nishushie na maji nikawa natizama kasha la Panadol, jicho likapiga kwenye Manufacturer na expire ndo naona imeandikwa E... 1 / 2025. Sikuamini nikarudia kuangalia tena labda nimeona vibaya , Kila nikiangalia nakuta ni hvyo hvyo.
Ikabidi ninunue maziwa faster nikanywa. Kumbe ndomna homa haishuki, kichwa hakipoi tangu nilipotoka hospital nipo vile vile kma vile sijaenda, kumbe nimepewa dawa zimeexpire.
Inabidi nichukue hatua gani nyingne kuondoa hiyo sumu mbali na maziwa , maana nimepanga ninywe maziwa siku 3 mfululizo, kama Kuna hatua nyingne nisaidieni.
Pia tuwe makini kuangalia expire date hata katika hospital za Serikali, mimi nilikuwa naangalia nikinunua dawa maduka binafsi , Serikalini huwaga siangalii kwakua naamini Serikali haiwezi kudhuru wananchi wake ila kumbe nilikuwa najidanganya, hata huku watu sio waaminifu.
Naenda kutafuta vikasha vile vingine nione, jpo vipo kwenye taka ila siwezi kuwa na amani mpka nisibitishe expire date zake pia.
Leo jioni kichwa kikawa kinauma sana, nikasema nimeze Panadol ambazo nilibakiza nilizopewa Zahanati.
Binafsi siwezi kumeza Panadol Huwa nazitafuna tu, sasa wakati natafuna nishushie na maji nikawa natizama kasha la Panadol, jicho likapiga kwenye Manufacturer na expire ndo naona imeandikwa E... 1 / 2025. Sikuamini nikarudia kuangalia tena labda nimeona vibaya , Kila nikiangalia nakuta ni hvyo hvyo.
Ikabidi ninunue maziwa faster nikanywa. Kumbe ndomna homa haishuki, kichwa hakipoi tangu nilipotoka hospital nipo vile vile kma vile sijaenda, kumbe nimepewa dawa zimeexpire.
Inabidi nichukue hatua gani nyingne kuondoa hiyo sumu mbali na maziwa , maana nimepanga ninywe maziwa siku 3 mfululizo, kama Kuna hatua nyingne nisaidieni.
Pia tuwe makini kuangalia expire date hata katika hospital za Serikali, mimi nilikuwa naangalia nikinunua dawa maduka binafsi , Serikalini huwaga siangalii kwakua naamini Serikali haiwezi kudhuru wananchi wake ila kumbe nilikuwa najidanganya, hata huku watu sio waaminifu.
Naenda kutafuta vikasha vile vingine nione, jpo vipo kwenye taka ila siwezi kuwa na amani mpka nisibitishe expire date zake pia.