Nimepewa dawa zilizoexpire( kuisha muda wake) katika Zahanati ya Serikali!!!.

Nimepewa dawa zilizoexpire( kuisha muda wake) katika Zahanati ya Serikali!!!.

Shanily

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2024
Posts
856
Reaction score
1,662
Tarehe 04 / 01 / 2025 nilienda Zahanati flani hapa mjini, ni ya Serikali baada ya kuwa sijiskii vizuri, nikapewa dawa kadhaa na panadol.

Leo jioni kichwa kikawa kinauma sana, nikasema nimeze Panadol ambazo nilibakiza nilizopewa Zahanati.

Binafsi siwezi kumeza Panadol Huwa nazitafuna tu, sasa wakati natafuna nishushie na maji nikawa natizama kasha la Panadol, jicho likapiga kwenye Manufacturer na expire ndo naona imeandikwa E... 1 / 2025. Sikuamini nikarudia kuangalia tena labda nimeona vibaya , Kila nikiangalia nakuta ni hvyo hvyo.

Ikabidi ninunue maziwa faster nikanywa. Kumbe ndomna homa haishuki, kichwa hakipoi tangu nilipotoka hospital nipo vile vile kma vile sijaenda, kumbe nimepewa dawa zimeexpire.

Inabidi nichukue hatua gani nyingne kuondoa hiyo sumu mbali na maziwa , maana nimepanga ninywe maziwa siku 3 mfululizo, kama Kuna hatua nyingne nisaidieni.

Pia tuwe makini kuangalia expire date hata katika hospital za Serikali, mimi nilikuwa naangalia nikinunua dawa maduka binafsi , Serikalini huwaga siangalii kwakua naamini Serikali haiwezi kudhuru wananchi wake ila kumbe nilikuwa najidanganya, hata huku watu sio waaminifu.

Naenda kutafuta vikasha vile vingine nione, jpo vipo kwenye taka ila siwezi kuwa na amani mpka nisibitishe expire date zake pia.
 
Tarehe 04 / 01 / 2025 nilienda Zahanati flani hapa mjini, ni ya Serikali baada ya kuwa sijiskii vizuri, nikapewa dawa kadhaa na panadol.

Leo jioni kichwa kikawa kinauma sana, nikasema nimeze Panadol ambazo nilibakiza nilizopewa Zahanati.

Binafsi siwezi kumeza Panadol Huwa nazitafuna tu, sasa wakati natafuna nishushie na maji nikawa natizama kasha la Panadol, jicho likapiga kwenye Manufacturer na expire ndo naona imeandikwa E... 1 / 2025. Sikuamini nikarudia kuangalia tena labda nimeona vibaya , Kila nikiangalia nakuta ni hvyo hvyo.

Ikabidi ninunue maziwa faster nikanywa. Kumbe ndomna homa haishuki, kichwa hakipoi tangu nilipotoka hospital nipo vile vile kma vile sijaenda, kumbe nimepewa dawa zimeexpire.

Inabidi nichukue hatua gani nyingne kuondoa hiyo sumu mbali na maziwa , maana nimepanga ninywe maziwa siku 3 mfululizo, kama Kuna hatua nyingne nisaidieni.

Pia tuwe makini kuangalia expire date hata katika hospital za Serikali, mimi nilikuwa naangalia nikinunua dawa maduka binafsi , Serikalini huwaga siangalii kwakua naamini Serikali haiwezi kudhuru wananchi wake ila kumbe nilikuwa najidanganya, hata huku watu sio waaminifu.

Naenda kutafuta vikasha vile vingine nione, jpo vipo kwenye taka ila siwezi kuwa na amani mpka nisibitishe expire date zake pia.
 

Attachments

  • IMG-20250106-WA0035.jpg
    IMG-20250106-WA0035.jpg
    119 KB · Views: 1
Tarehe 04 / 01 / 2025 nilienda Zahanati flani hapa mjini, ni ya Serikali baada ya kuwa sijiskii vizuri, nikapewa dawa kadhaa na panadol.

Leo jioni kichwa kikawa kinauma sana, nikasema nimeze Panadol ambazo nilibakiza nilizopewa Zahanati.

Binafsi siwezi kumeza Panadol Huwa nazitafuna tu, sasa wakati natafuna nishushie na maji nikawa natizama kasha la Panadol, jicho likapiga kwenye Manufacturer na expire ndo naona imeandikwa E... 1 / 2025. Sikuamini nikarudia kuangalia tena labda nimeona vibaya , Kila nikiangalia nakuta ni hvyo hvyo.

Ikabidi ninunue maziwa faster nikanywa. Kumbe ndomna homa haishuki, kichwa hakipoi tangu nilipotoka hospital nipo vile vile kma vile sijaenda, kumbe nimepewa dawa zimeexpire.

Inabidi nichukue hatua gani nyingne kuondoa hiyo sumu mbali na maziwa , maana nimepanga ninywe maziwa siku 3 mfululizo, kama Kuna hatua nyingne nisaidieni.

Pia tuwe makini kuangalia expire date hata katika hospital za Serikali, mimi nilikuwa naangalia nikinunua dawa maduka binafsi , Serikalini huwaga siangalii kwakua naamini Serikali haiwezi kudhuru wananchi wake ila kumbe nilikuwa najidanganya, hata huku watu sio waaminifu.

Naenda kutafuta vikasha vile vingine nione, jpo vipo kwenye taka ila siwezi kuwa na amani mpka nisibitishe expire date zake pia.
Expiry date haimaanishi dawa inakua sumu hapohapo

Ni muda ambao mzalishaji anakua hana tena guarantee ya 100% ya ubora na ufanisi wa dawa zake

Kwa maelezo ya mleta mada, expiry date ni 1/2025, na january haijaisha!! I dont see a problem

Dawa yenye matunzo mazuri iliyoexpire jana is better than dawa inayoexpire Jan mwakani lakini inatunzwa vibaya
 
Tarehe 04 / 01 / 2025 nilienda Zahanati flani hapa mjini, ni ya Serikali baada ya kuwa sijiskii vizuri, nikapewa dawa kadhaa na panadol.

Leo jioni kichwa kikawa kinauma sana, nikasema nimeze Panadol ambazo nilibakiza nilizopewa Zahanati.

Binafsi siwezi kumeza Panadol Huwa nazitafuna tu, sasa wakati natafuna nishushie na maji nikawa natizama kasha la Panadol, jicho likapiga kwenye Manufacturer na expire ndo naona imeandikwa E... 1 / 2025. Sikuamini nikarudia kuangalia tena labda nimeona vibaya , Kila nikiangalia nakuta ni hvyo hvyo.

Ikabidi ninunue maziwa faster nikanywa. Kumbe ndomna homa haishuki, kichwa hakipoi tangu nilipotoka hospital nipo vile vile kma vile sijaenda, kumbe nimepewa dawa zimeexpire.

Inabidi nichukue hatua gani nyingne kuondoa hiyo sumu mbali na maziwa , maana nimepanga ninywe maziwa siku 3 mfululizo, kama Kuna hatua nyingne nisaidieni.

Pia tuwe makini kuangalia expire date hata katika hospital za Serikali, mimi nilikuwa naangalia nikinunua dawa maduka binafsi , Serikalini huwaga siangalii kwakua naamini Serikali haiwezi kudhuru wananchi wake ila kumbe nilikuwa najidanganya, hata huku watu sio waaminifu.

Naenda kutafuta vikasha vile vingine nione, jpo vipo kwenye taka ila siwezi kuwa na amani mpka nisibitishe expire date zake pia.
Kama Imeandikwa E ni 01/2025 bado Ina Life time katika Matumizi Na Nawapongeza Sana kwa kuwa wamefanya FEFO..

DAWA haija expire hata Kidogo bado iko kwenye Matumizi maana Mwezi wa Kwanza Una Siku 31 na Hazijaisha bado
 
Tarehe 04 / 01 / 2025 nilienda Zahanati flani hapa mjini, ni ya Serikali baada ya kuwa sijiskii vizuri, nikapewa dawa kadhaa na panadol.

Leo jioni kichwa kikawa kinauma sana, nikasema nimeze Panadol ambazo nilibakiza nilizopewa Zahanati.

Binafsi siwezi kumeza Panadol Huwa nazitafuna tu, sasa wakati natafuna nishushie na maji nikawa natizama kasha la Panadol, jicho likapiga kwenye Manufacturer na expire ndo naona imeandikwa E... 1 / 2025. Sikuamini nikarudia kuangalia tena labda nimeona vibaya , Kila nikiangalia nakuta ni hvyo hvyo.

Ikabidi ninunue maziwa faster nikanywa. Kumbe ndomna homa haishuki, kichwa hakipoi tangu nilipotoka hospital nipo vile vile kma vile sijaenda, kumbe nimepewa dawa zimeexpire.

Inabidi nichukue hatua gani nyingne kuondoa hiyo sumu mbali na maziwa , maana nimepanga ninywe maziwa siku 3 mfululizo, kama Kuna hatua nyingne nisaidieni.

Pia tuwe makini kuangalia expire date hata katika hospital za Serikali, mimi nilikuwa naangalia nikinunua dawa maduka binafsi , Serikalini huwaga siangalii kwakua naamini Serikali haiwezi kudhuru wananchi wake ila kumbe nilikuwa najidanganya, hata huku watu sio waaminifu.

Naenda kutafuta vikasha vile vingine nione, jpo vipo kwenye taka ila siwezi kuwa na amani mpka nisibitishe expire date zake pia.
Kwa hiyo hakuna uwiano wa ma v8 na madawa ya hospitalini?
 
Tarehe 04 / 01 / 2025 nilienda Zahanati flani hapa mjini, ni ya Serikali baada ya kuwa sijiskii vizuri, nikapewa dawa kadhaa na panadol.

Leo jioni kichwa kikawa kinauma sana, nikasema nimeze Panadol ambazo nilibakiza nilizopewa Zahanati.

Binafsi siwezi kumeza Panadol Huwa nazitafuna tu, sasa wakati natafuna nishushie na maji nikawa natizama kasha la Panadol, jicho likapiga kwenye Manufacturer na expire ndo naona imeandikwa E... 1 / 2025. Sikuamini nikarudia kuangalia tena labda nimeona vibaya , Kila nikiangalia nakuta ni hvyo hvyo.

Ikabidi ninunue maziwa faster nikanywa. Kumbe ndomna homa haishuki, kichwa hakipoi tangu nilipotoka hospital nipo vile vile kma vile sijaenda, kumbe nimepewa dawa zimeexpire.

Inabidi nichukue hatua gani nyingne kuondoa hiyo sumu mbali na maziwa , maana nimepanga ninywe maziwa siku 3 mfululizo, kama Kuna hatua nyingne nisaidieni.

Pia tuwe makini kuangalia expire date hata katika hospital za Serikali, mimi nilikuwa naangalia nikinunua dawa maduka binafsi , Serikalini huwaga siangalii kwakua naamini Serikali haiwezi kudhuru wananchi wake ila kumbe nilikuwa najidanganya, hata huku watu sio waaminifu.

Naenda kutafuta vikasha vile vingine nione, jpo vipo kwenye taka ila siwezi kuwa na amani mpka nisibitishe expire date zake pia.
Sisi wadau wa afya waandamizi seniorz tunajua tuna jua dawa Ina expired date mfano January so kuisha nguvu ni miezi mitatu after expired.

Kuna mengi nayo yajua ngoja ninyanaze nisije kua Kama tundu lissu ☺️☺️
 
Nilidhani expired zaidi ya mwaka kumbe ni mwezi huu
Hiyo mbona kama imetengenezwa leo tu 😄
Kweli unavyoshtuka ni kama mzungu daaa
Nakumbuka zamani vitu vingi vilikuwa havina expire date wala used by tunafakamia kila kitu na tunadunda
 
Kama Imeandikwa E ni 01/2025 bado Ina Life time katika Matumizi Na Nawapongeza Sana kwa kuwa wamefanya FEFO..

DAWA haija expire hata Kidogo bado iko kwenye Matumizi maana Mwezi wa Kwanza Una Siku 31 na Hazijaisha bado
Wawe wanasema sasa... Yaani nilivyoshtuka Leo, nikasema enhee!! Sasa habari yangu imeisha😂
 
Back
Top Bottom