selukeng'e
Member
- May 11, 2015
- 10
- 24
Kutokana na hill janga la korona nimepewa likizo ya bila malipo. Mimi ni mwalimu katika shule moja private, likizo hii tumepewa wafanyakazi wote.
Ninapitia wakati mgumu sana ninapenda kuwashauri vijana ambao bado hamjaoa nivema mkaoa wadada wafanyakazi pia jaribu kuwa na biashara pembeni.
Wanajamii ninaomba msaada kama tunawezachukua hatua za kisheria kwa hili sababu hatukupewa hata nauli ama tupambane na halo zetu
Ninapitia wakati mgumu sana ninapenda kuwashauri vijana ambao bado hamjaoa nivema mkaoa wadada wafanyakazi pia jaribu kuwa na biashara pembeni.
Wanajamii ninaomba msaada kama tunawezachukua hatua za kisheria kwa hili sababu hatukupewa hata nauli ama tupambane na halo zetu