Nimepewa likizo ya bila malipo kisa Corona

Nimepewa likizo ya bila malipo kisa Corona

Pole sana.

Umetoa malalamiko yako, pia umeshauri vijana kuoa, na pia umewashauri wadada wanaofanya kazi wawe na biashara ya pembeni.

Kama nimeachwa kona za giza vile!
 
Tatizo lenu mkipata kazi hamsomi mikataba yenu ya kazi vizur mnaishia tu kukimbilia kuisign
Kipengele cha force majeure kinasemaje kwemye mkataba wako wa kazi??


Sent using Jamii Forums mobile app
Soma hiyooooo
Screenshot_20200507-090558.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikakopa mkopo wa maana , wanaa wakanishawishi nifungue biashara nikawagomea nikawekeza kwenye nyumba za kupanga mammbo si haba nagonga tu tararibuu kodi za wanna na biashara zao zimebuma halafu utasikia jamaa moja anasema wenye nyumba wawasaheme kodi wapangaji wao hadi korona iishee ...pyuu unajua bank na katwa riba ngapi ? Coronaa hiiiiii ni hatariii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: amu
Pole sana, ni vizuri watu muwe na akiba ya hela, hua nasema mara nyingi angalau miezi 6, yaani usipokua na kazi miezi 6 uwe na uwezo wa kula na kusurvive muda wote huo kwa akiba. Shule zimekaba wanafunzi walipe kwa nini wanashindwa kuwalipa walimu? wizi mtupu. Korona ndiyo kwanza imeanza itabidi ujipange vizuri maana sioni dalili ya hii kitu kuisha miezi ya hivi karibuni.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Wazazi tunalipa ada kila miezi 3

Sent using Jamii Forums mobile app
sawa Mkuu lkn kuna option km 3 kulipa yote, au kulipa kwa awamu 3 lkn Julai nusu ya mwaka wa malipo hayo uwe umemaliza Ada yote, yaani Jamuary, April na Julai
Mitihani ya Mock, ya Taifa, tuition za likizo na makolombwezo kibao.
sasa km una watoto watatu na wapo Bweni, kila mmoja anataka kila awamu 3M uwena 9M sasa kwa watatu 27,000,000/
Halafu watoto unao nyumbani vuluvulu tupu
tumeshaletewa Invoice tukalipe Benki Ada mapema au tumalizie yote Shule zitafunguliwa wakati wowote
Jamani Shule binafsi muwe mnajiongeza na Bima Mifuko ya Jamii nk sisi wazazi tuacheni kwanza Gonjwa linatisha
 
Nikakopa mkopo wa maana , wanaa wakanishawishi nifungue biashara nikawagomea nikawekeza kwenye nyumba za kupanga mammbo si haba nagonga tu tararibuu kodi za wanna na biashara zao zimebuma halafu utasikia jamaa moja anasema wenye nyumba wawasaheme kodi wapangaji wao hadi korona iishee ...pyuu unajua bank na katwa riba ngapi ? Coronaa hiiiiii ni hatariii
Mkuu wewe acha tu, kuna Sheria inapitishwa chini ya Wizara ya Ardhi (nimemsikia Naibu Waziri Mama Mabula) kuwa wenye nyumba wasitoze zaidi ya mwezi mmoja na hakuna tangulizi ya Kodi, iwe km mishahara maofisini, mpangaji akae kwanza ndipo alipe.
sasa hizi Shule mbona zinataka advance miezi mitatu kwanza ndipo mtoto apokelewe
mbona wafanyabiashara wana msimu wa faida km mavuno au Desemba wanaona bora walipe ya mwaka kabisa
sasa Wizara ya Ardhi wamesema ni maoni ya wadau na wenye nyumba wamekubaliana ni kila mwezi nna isiwe zaidi ya hapo
Je itakapofika kwa malipo ya Shule Wazazi tutaweza kila mwezi
hii hoja nayo tuisubiri
 
Unapaswa kulipwa basic salary kwa kipindi chote utakacho kuwa likizo

Jr[emoji769]
Kwa Sheria ipi? Anapaswa kupewa addendum ya kupunguziwa mshahara ( eg. 50%) kwa miezi miwili. Hali Kama bado atapewa likizo bila malipo. Namshauri mtoa mada atafute mwanasheria ampeleke mwajiri wake CMA Mara moja..
Aseme amefukuzwa kazi (unfair termination) sasa Ni wajibu wa mwajiri kuthibitisha kuwa hakufanya unfair termination. Panakuaga patamu hapo.
 
Back
Top Bottom