Nimepewa onyo na wafanyabiashara wenzangu nisipopandisha bei watakatisha uhai wangu

Nimepewa onyo na wafanyabiashara wenzangu nisipopandisha bei watakatisha uhai wangu

uiipooo
uwapi
M nauza gesi tofauti ya bk 2 na wenzangu waliongea wakakaakimya...naxmass nauza bei ninayonunulia nipate barka...m mwenyewe nataka kg 8 kwahio bei
 
Naungana na wewe mfano sisi tunauza soda tunapata faida sh 600/kwa kreti, na wakati huo unanunua kampuni ya pepsi inakuchagulia brand wanayoitaka wao sio wewe unayoitaka, faida yote unajikuta inabaki kwenye brand isiyotoka

Wafanyabiashara katika eneo husika tulikubaliana tupandishe bei lakin mmoja aligoma akawa anauza bei elekezi ya kampuni
Sisi pia tukaamua kushusha bei

Inaumiza faida ni ndogo tunaishia kuinufaisha kampuni, sidhani kama kuna mfanya biashara aliyetajirika kwa kuuza soda za chupa bila kuabuse bei, risk ni kubwa chupa zinavunjika.
Shida mtaan tunaishi na watu ambao hawana malengo na Maisha yao zaidi ya kuona biashara zao kama dream come true wakati kwa wengine hizo ni stepping stone ili waweze kuzifikia ndoto zao kubwa zaidi ya hapo walipo.
 
Kwani ya nguruwe mnalilia ifike wapi?
MKuu jitahidi kuelewa Content nzima sisi tunalaani suala la price distortion sekta zote na kada zote mathalani sekta fulani watu wawe wanalaani unyonyaji kama mishahara pungufu wanadai maboresho halafu wanatokea makina fulani wanasaini mikataba kwa kiwango cha mshahara kile kile.
 
Shida mtaan tunaishi na watu ambao hawana malengo na Maisha yao zaidi ya kuona biashara zao kama dream come true wakati kwa wengine hizo ni stepping stone ili waweze kuzifikia ndoto zao kubwa zaidi ya hapo walipo.
Ni kweli wao wakipata hela ya kula washalidhika nilichojifunza uwezi kumpandisha mtu ambae ataki kupanda
 
Temeke kuna wasambaa waliuliwa kwa kuchomwa moto miaka ya 90 kwa sababu hiyo hiyo. Jamaa walikuwa ndugu kama wa5 wa familia moja... walipofika hapo mtaani wakafungua kibanda -duka kikubwa sana, wakawa wanauza bidhaa zote za majumbani plus genge. Walicho kifanya wao ni kuwa under-cut wenye maduka wote hapo mtaani kwao pamoja na magenge. Walichokuwa wanakifanya wao ni kupunguza sh 200,300 hadi mia 500 kwa kila bidhaa kulingana na bidhaa yenyewe.

kama unavyo jua tena uswazi wanavyo penda mteremko. Walipojua kuhusu hawa jamaa ilikuwa ni balaa.


Halafu jamaa walikuwa wanafungua duka saa kumi na moja alfajiri wanafunga saa sita usiku.


Unaambiwa ilikuwa ni mpaka wao wafunge ndio watu wengine wauze..


Jamaa inasemekana walitumiwa ujumbe wauze kwa bei ya kawaida lakini wapi.

On the fateful night jamaa wakiwa wamelala kwenye kibanda chao( walikuwa wanalala hapo hapo kibandani) wahuni walienda saa tisa usiku wakapiga kibanda chote petrol, petrol nyingine wakaimwagia ndani ya kibanda halafu wakapiga kufuli kwa nje kisha wakapiga kiberiti..


Ilikuwa ni hatari jamaa wote waligeuka majivu.

Usicheze na biashara za watu utauwawa
 
Back
Top Bottom