themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 1,033
- 3,720
Wanandoa wazinzi kuliko tulio mabachela
Lamomy mamboWanandoa wazinzi kuliko tulio mabachela
Nilitumia Rough Raider condom sio kavu ila binti mwenyewe ukimuangalia ni mtulivu mzuri na ana dini na pesa ipo ila kama yeye katoka nnje basi mke wangu hayupo salamaFanya mpango ukacheki na afya mzee kabla mambo hayajakuchanganya zaidi [emoji848]
TrueWanandoa wazinzi kuliko tulio mabachela
Ndio mkuuKumbe na wewe ni bachelor mkuu?
Ahsante kwa muongozo baharia.Kama binti ambae ni mtulivu anavaa kwa staha na baibui masaa 24, binti mzuri chotara na ana mume mwenye pesa kanipa penzi
Nimemuangalia kwanza mke wangu najua hata yeye hayupo salama nimekosa amani na nimeapa sitoshika simu ya mwanamke hakuna aliye salama cha muhim mwanamke wangu akiniheshimu na kutimiza wajibu wake basi sina mda wa kumfuatilia kumfuatilia mwnamke kwa sasa utapata heart attack
Hii dhambi utailipia..Kama binti ambae ni mtulivu anavaa kwa staha na baibui masaa 24, binti mzuri chotara na ana mume mwenye pesa kanipa penzi
Nimemuangalia kwanza mke wangu najua hata yeye hayupo salama nimekosa amani na nimeapa sitoshika simu ya mwanamke hakuna aliye salama cha muhim mwanamke wangu akiniheshimu na kutimiza wajibu wake basi sina mda wa kumfuatilia kumfuatilia mwnamke kwa sasa utapata heart attack
=================
Nimepewa penzi na mke wa mtu ila sina amani
Kama binti ambae ni mtulivu anavaa kwa staha na baibui masaa 24, binti mzuri chotara na ana mume mwenye pesa kanipa penzi Nimemuangalia kwanza mke wangu najua hata yeye hayupo salama nimekosa amani na nimeapa sitoshika simu ya mwanamke hakuna aliye salama cha muhim mwanamke wangu akiniheshimu...www.jamiiforums.com
Jidanganye shauri yako, umdhaniaye kumbe siye. Kama ameweza kukugaia wewe kirahisi unategemea nini?Nilitumia Rough Raider condom sio kavu ila binti mwenyewe ukimuangalia ni mtulivu na ana dini na pesa ipo ila kama yeye katoka nnje basi mke wangu hayupo salama