themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 1,033
- 3,720
Kama binti ambae ni mtulivu anavaa kwa staha na baibui masaa 24, binti mzuri chotara na ana mume mwenye pesa kanipa penzi
Nimemuangalia kwanza mke wangu najua hata yeye hayupo salama nimekosa amani na nimeapa sitoshika simu ya mwanamke hakuna aliye salama cha muhim mwanamke wangu akiniheshimu na kutimiza wajibu wake basi sina mda wa kumfuatilia kumfuatilia mwnamke kwa sasa utapata heart attack
Nimemuangalia kwanza mke wangu najua hata yeye hayupo salama nimekosa amani na nimeapa sitoshika simu ya mwanamke hakuna aliye salama cha muhim mwanamke wangu akiniheshimu na kutimiza wajibu wake basi sina mda wa kumfuatilia kumfuatilia mwnamke kwa sasa utapata heart attack