kamati yamaamuzi magumuu
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 227
- 262
Kwa hiyo nikaushe tu sio?
Kaushaa,tu Ila Kama unapenda mahisiano ya best yako na mke wake jaribu kuchunguza pata hints za uthibitisho mfate mke wake mchane akizingua mwamshie kwa mmewe
Teh teh teeeeeh!! Sawa dogo.Huyo huyo sijui ndio binti wa Ngengemkeni yule, mimi nishasahu miaka imepita
Kuna features fulani mfano masikio macho mpangilio wa pua unasemaga mapema mno haijarishi mwaka au miezi mzee
Teh teh teeeeeh!! Sawa kaka.
Kikao cha chama sikuwepo(sikuwa na sifa za kushiriki), nasubiri kikao kijacho ili nije nishirike kwani kwa sasa nishakwalifaiKwani kikao chetu wanaume mara ya mwisho tumekubaliana nini?
fanya kma mnatoka out siku moja, ila hili ulifanye ukiwa umeishapata details zenye uhakika wa ndani zaidi, ningekupa mbinu ila kwa hapa itakua kama kuuza ramani ya vita kwa adui. Upelelezi uanzie kati ya mke wake na huyo mwizi wa mwili wa mke wake. Alfu siku moja fanya kama unampa stori ya watu baki inayotaka kufanana na hiyo afu muulize kama angekua ni yeyd angefanyaje? kisha pima majibu yake na utanzia hapo kuchukua hatua ya kumwambia ukweli au la?Nainzie wapi mzee
HahahaaaEbu ngoja nikae sawa nione wanachama wana maoni gani kuhusu hizi tetesi za mwanachama mwenzetu
Fanya utafiti vizuri wa hilo jambo lako na ukishapata jibu tafuta mshikaji muelezee harafu wakutane wao kisiri na kupeana hizo hints,bila ya yeye kujua mwisho wa siku weww unakuwa mmaliziaji mzuri tuSisi PCM pure tangu tupo form 2 somo la insha na vishazi huru na vishazi tegemezi lilitushinda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaaa
Sisi ambao sio wanachama kila tukikutana na story hizi ndo tunazidi sogeza siku mbele za kujiunga kwenye umoja wenu
cc Shadeeya