Nimepewa siri nashindwa kuitunza (roho inauma)

Nimepewa siri nashindwa kuitunza (roho inauma)

Naona kama nitakuwa kivuruge fulani hivi nahisi mtibuano utaanzia pale na mimi naweza nikawa chanzo cha mtibuano huo.
Kaushaa,tu Ila Kama unapenda mahisiano ya best yako na mke wake jaribu kuchunguza pata hints za uthibitisho mfate mke wake mchane akizingua mwamshie kwa mmewe
 
Hili nalo linanipa hofu kupanua mdomo wangu kuanza kumueleza jamaa japokuwa pale mtaani kama movie wanaijua fulani.
Hakuna kitu kama hicho kaka...

Ni namna tu watu wanakuwa deceived na ubongo...
 
Ckia fanya uchunguzi wankutosha, then ujiridhishe kweli kweli ,then after utapata ukweli wa Jambo if ni kweli kulingana na tafiti yako ,baada ya hapo Kama n kweli basi mwambie mshkaji wanaume cc kusaidiana bana ,,na Kama hujajiridhisha tafadhali usimwambie acha manake utaonekana mtu ambae cyo mzur kwa Shem wko na mshkaji wako pia
 
Kwani kikao chetu wanaume mara ya mwisho tumekubaliana nini?
Kikao cha chama sikuwepo(sikuwa na sifa za kushiriki), nasubiri kikao kijacho ili nije nishirike kwani kwa sasa nishakwalifai
 
Nainzie wapi mzee
fanya kma mnatoka out siku moja, ila hili ulifanye ukiwa umeishapata details zenye uhakika wa ndani zaidi, ningekupa mbinu ila kwa hapa itakua kama kuuza ramani ya vita kwa adui. Upelelezi uanzie kati ya mke wake na huyo mwizi wa mwili wa mke wake. Alfu siku moja fanya kama unampa stori ya watu baki inayotaka kufanana na hiyo afu muulize kama angekua ni yeyd angefanyaje? kisha pima majibu yake na utanzia hapo kuchukua hatua ya kumwambia ukweli au la?
 
Namba ya 'infoma' unaweza kushea hapa au pm?
 
Tafuta njia nzuri ya kumfikishia ujumbe bila yeye kujua kuwa ni wewe then akikuhusisha ktk kutaka ushauri ndipo umsaidie kuutafuta ukweli wa mtoto ni wanani kupitia vipimo DNA.
 
What if Wanafamilia Wanajua na walisha yamaliza ila nyie wapambe wa Nje hamjui?

Kumpeleka mtoto kwa Jirani Sio Sababu...!!!

Hata mimi Nikaumua kumfananisha mtoto wangu na wako na Nikaruhusu mindset yangu ikubali kufanisha naweza sema mtoto wangu kafanana Na wewe

Wewe Kazi yako ni kwenda Kumchukua jamaa na Kuelekea Kazini Mengine Yaache!

Mimi hata rafiki zangu wakija Kwangu huwa wanajua Wafanye yote maongezi kuhusu familia yanguu waachee tuongee mengine ila chochote kuhusu familia Yangu Ni Big no! Either kiwe kizuri au kibaya Ni Big No! Hiyo ndio principle yangu ya Maisha Na wala mm huwa siwezi kwenda Ongelea Familia ya Mtu
 
Sisi PCM pure tangu tupo form 2 somo la insha na vishazi huru na vishazi tegemezi lilitushinda.
Fanya utafiti vizuri wa hilo jambo lako na ukishapata jibu tafuta mshikaji muelezee harafu wakutane wao kisiri na kupeana hizo hints,bila ya yeye kujua mwisho wa siku weww unakuwa mmaliziaji mzuri tu
 
Hahahaaa

Sisi ambao sio wanachama kila tukikutana na story hizi ndo tunazidi sogeza siku mbele za kujiunga kwenye umoja wenu

cc Shadeeya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Pamoja na changamoto zote hizi, mazuri pia yapo lukuki chamani..
 
Back
Top Bottom