Hii Nchi kuna magenge ya uhalifu Yana abuse mamlaka na kufanya wajisikiavyo ,jeshi la polisi ,TISS na vyombo vingine vya dola vimekuwa vikitumika kufanya shughuli za utekaji na mauaji ya raia kwa muda mrefu , hii kitu ni mbaya sana .
Na hamna aliye salama ,kuishi nchi kama hii ni laana kabisa ,muda wowote maisha yako yanapotezwa tu
Na hamna aliye salama ,kuishi nchi kama hii ni laana kabisa ,muda wowote maisha yako yanapotezwa tu