Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Basi huwajui hao miamba..WAMETIMIA
Ndiyo wakija waje wamejipanga, otherwise itakula kwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo wakija waje wamejipanga, otherwise itakula kwao
Chalii anajidanganya sana..labda atafutwe na wavuta bange...ila walee wazee he won't' stand a chancelabda Kama una jichekesha tu, ila Kama wazee wange kuhitaji Wala wasinge hangaika kuja kijiweni hovyo.
Na hata wakija huna la kufanya, Kama una bisha Kumbuka story ya mtikila (rip).
Hapa mtoa mada inabidi achangue hii sentensi kwa njia ya matawiKama ni kitu personal hutawaona ila kama ni kwa maslahi ya Taifa utamezwa ushtuke uko tumboni mwa -CHATU
Anajidanganya..aseme tu he will try his best to defend himself..lakini kua atawaweza nakataaa katu katuMbona UMUGHAKA anasema amejiandaa kukabiliana nao, ataweza kweli 😅🙌
Kucheza Kamari haiko kwenye amri kumi....hivo ni minor sanAHongera Mkuu
Mimi nilisoma mstari mmoja kwenye Bible ulikataza kuhusu kucheza Kamari, nina miaka mingi sasa lakini sijawahi kujaribu kucheza Kamari
Naunga mkono hoja, ile timu huwa imekamilika Kila Idara.Anajidanganya..aseme tu he will try his best to defend himself..lakini kua atawaweza nakataaa katu katu
Kwamba ni njia ya kujiongezea kipato?😅🙌Kucheza Kamari haiko kwenye amri kumi....hivo ni minor sanA
Kwani daud alimpompiga Goliath hakujua kua MUNGU yupo..?Muombe Mungu akuepushe na hayo usiku was leo!
Mkeo na watoto/mtoto.wanakutegemea sana!
Hivyo tu,ACHA kupambana mwenyewe Mungu yupo!
EwaaaaaKwamba ni njia ya kujiongezea kipato?😅🙌
Hahaha...........hongereni Mkuu, huo mchezo wa Kamari sijawahi kucheza na Wala sitakani kuja kuuchezaEwaaaaa
Hahahaha, hapo mwisho imebidi nicheke japo siyo mambo mazuri.Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!
Nimepewa Taarifa na washikaji zangu hapo Dar es salaam ya kwamba kuna watu (Mwanamke 1 & Wanaume 2) wananitafuta!
Nikiwa Niko hapa Mbeya takribani miezi miwili Sasa nikiwa kwenye shughuli zangu nyingine,nilipigiwa simu na jamaa zangu wawili Kwa nyakati tofauti na wakanialifu ya kwamba kuna watu wamekuwa wakienda pale kijiweni kunitafuta na wanadai ya kwamba nimewahi kukopa pesa kwenye taasisi Yao (Jina kapuni) na nimeshindwa kulipa Deni Kwa wakati na kila wakinipigia simu sipokei na wakati mwingine nimewapigia Block!
Mbaya zaidi hao watu wananifahamu Kwa Majina yangu halisi kama ambavyo kijiweni nafahamika kwenye daftari la Umoja wa madereva bodaboda/Bajaji hapo Bunju!
Binafsi sijawahi kukopa pesa kwenye taasisi yeyote Ile hapa nchini na kwasasa sihitaji mkopo wa aina yeyote,Pili,Hakuna mtu yeyote au taasisi anayenidai pesa au kitu chochote!
Kutokana na matukio yanayoendelea hapa nchini,washikaji zangu walikuwa na mashaka na hao watu na wao wamenitaarifu ya kwamba hao watu kimionekano ni watu eidha kutoka Jeshi la Polisi au idara nyingine ya Kiusalama hapa nchini,kwasababu naarifiwa maswali ya dodoso waliyokuwa wakiulizwa siyo ya kawaida!
Hapo kijiweni Kuna jamaa alitoweka kwenye mazingira ya kutatanisha tangu mwezi wa 5 hadi Leo hii haijulikani Yuko wapi!
Juzi moja Kuna jamaa alinipigia simu huku akinichangamkia kishenzi akitaka nikamchukue maeneo ya IPTL nimpeleke Mbezi,Binafsi nikajua anaweza akawa miongoni mwa abiria wangu,kwakuwa hakujua kama sipo Dar es salaam nilimwambia "Mimi Niko mbali kidogo boss,ngoja nimshutue mshikaji wangu aje akuchukue hapo,nampatia namba yako"
Jamaa "Mimi nakutaka wewe kaka maana huwa uko makini sana barabarani"
Mimi "Sawa boss lakini Niko mbali (Sikutaka kumwambia nilipo) sidhani kama nitawahi ndiyo maana nakuomba nikuitie mtu ninaye muamini atakupeleka na utafika salama"
Jamaa "Hapana kaka,wewe kama ni pesa nitakuongezea Mimi nakutaka wewe"
Hapo ndipo nilipopata mashaka kwasababu abiria wa bodaboda tunawafahamu na siyo rahisi kihivyo,pili,Jamaa bado aliendelea kunipigia Simu japo nilimwambia nimetoka lakini hakukata tamaa!,baada ya kuona huo Usumbufu sikupokea hadi Leo.
Sasa,nafahamu mko humu na mnanisoma vizuri tu,Niwaambie mambo yafuatayo nyie Vishoka!
Mimi naitwa UMUGHAKA wengine hupenda kuniita UMUGHAKA WA BHAGHAKA
Dar es salaam narejea Mwezi Ujao,na kama kawaida Dar es salaam Sina shughuli nyingine zaidi ya Udereva wa Bodaboda!
Siku mtakapokuja kijiweni eidha ni kunikamata au Kwa jambo lolote lile baya,Njoeni kabisa mkiwa mmetubu na kuziaga familia zenu maana ni eidha mfe nyie au nife Mimi.
Narudia tena
Siku mtakapokuja kijiweni hakikisheni mmetubu na kuziaga familia zenu maana ni eidha mfe nyinyi au nife Mimi.
NATAKA NIFANYE KITUKO AMBACHO NAAMINI DUNIA NZIMA ITAGEUZA MACHO YOTE KUITAZAMA TANZANIA.
Mimi ndiye UMUGHAKA
Uko sahihi...tatizo yeye anaandika uku anaangalia muvi za jack chanNaunga mkono hoja, ile timu huwa imekamilika Kila Idara.
Kabla hawajakufikia, wanakuwa na taarifa zako zote hadi idadi ya round ulizo Du na girlfriend wako usiku....hivyo wanajua watumie nguvu kiasi gani kudeal na wewe
Hahaha.....ngoja aje alete ushuhuda kama alikutana nao ama laaUko sahihi...tatizo yeye anaandika uku anaangalia muvi za jack chan
Usinipangie Maisha hapa JamiiForums sawa? Hopeless....!!Acha kulia lia mtoto wa kiume ww
PopomaUsinipangie Maisha hapa JamiiForums sawa? Hopeless....!!
Mumeo.Popoma
Demu wanguMumeo.
Sawa Mke wangu.Demu wangu