Amani Benson
JF-Expert Member
- Nov 21, 2023
- 658
- 1,502
Mkuu ukiona land cruiser imepaki karibu yako na haijazimwa iko full tinted potea kwa spidi kali sana maeneo hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kwenye virungu muwe wote.Tupo na wewe hadi utrend kwa Millard Ayo...Usisahau kutupa updates
Utafumuliwa rinda, acha mapepe.Sawa Mke wangu nimekuelewa!
Acha kulia lia mtoto wa kiume wwCc: Moderator Payge and JamiiForums Founder Maxence Melo
Na wakitaka kukuteka huwezi chomoa Tena boda !!!!Unajipa wasiwasi usio na maana, kama ni vyombo vya sheria au idara ya usalama ingekua inakutafuta na namba yako wanayo Wala hata wasingehangaika kuja kijiweni ungedakwa huko huko mbeya kama kuku
Hey men show them how umughaka wa bhaghaka looks likeMkuu sijawahi KUTEMBEA na mke wa mtu na sidhani kama nitakuja KUTEMBEA nae!
Ni Machokoraa tu Hawa wanaoteka Teka watu hovyo!
Na kikosi kazi hakimtafuti mtu bila sababu za msingiIyo ilinitokea mwaka 2016, alinipigia simu mwanamke wangu wa nje akitaka tukasex ana hamu, mi nikamuambia we si juzi tu tulikulana vyakutosha,
Akasema bado nna hamu" kumbe alidakwa na kikosi maalum, urafiki na mtu usiyemjua ambae muhalifu ulinighalimu ela,
😂😂😂 Weweeee..hivi hao jamaa unawachukuliaje kwanza..??kwamba wao mkono hawapigi..??Kwa Dunia ya sasa muhimu sana kuwa na ujuzi wa "self defense"
Binafsi nimesha watafutia wanangu Mwalimu wa karate ili mambo yasiwe mengi nyakati zao
Ndiyo wakija waje wamejipanga, otherwise itakula kwao😂😂😂 Weweeee..hivi hao jamaa unawachukuliaje kwanza..??kwamba wao mkono hawapigi..??
Ndio namwambia asimalize maneno yote huwenda siku wakimtaitisha watamuonyesha reply zake za kishujaaWatu wapo trained na kazi hizo, wana siraha, wapo wengi then jamaa anasema atawafurahisha wakija😁😁 aombe Mungu wawe vibaka wa mtaani tuu ila sio wajuba.
Haaaahaaa....mdanganye mwenzio..kumbuka atakapotaitishwa..wewe silaha yako itakua bundle,,ndani ya blanketi zitooo..inasema free umughaka..free umughaka😂😂😂Una wa overrate mno mkuu, wala hawako sophisticated kihivyo ni weupe mno