Nimepewa Taarifa na washikaji zangu kijiweni kwamba kuna watu wananitafuta

Hii Nchi kuna magenge ya uhalifu Yana abuse mamlaka na kufanya wajisikiavyo ,jeshi la polisi ,TISS na vyombo vingine vya dola vimekuwa vikitumika kufanya shughuli za utekaji na mauaji ya raia kwa muda mrefu , hii kitu ni mbaya sana .
Na hamna aliye salama ,kuishi nchi kama hii ni laana kabisa ,muda wowote maisha yako yanapotezwa tu
 
Watz wako kama mazezeta tu yanakesha na mada za simba na Yanga wakati kuna issue critical kama hii .
Watu wanapotezwa tu kama kumbikumbi
 
Mkuu sijawahi KUTEMBEA na mke wa mtu na sidhani kama nitakuja KUTEMBEA nae!

Ni Machokoraa tu Hawa wanaoteka Teka watu hovyo!
Huyo atakuwa @GENTAManataka akufanyizie. We si ulitamba humu JF kuwa Genta ni boya tu nahana uwezo wa kukifanya lolote? Anakuwimda sasa.

Pole and watch your step. Hali ni mbaya na huu upepo sijui umetokea wapi. Sasa watanzania tunakuwa kama digidigi. Kila saa tunakuwa makini kwani mafisi yanatuwinda bila sababu. Mungu atuepushie mbali hii Roho Mbaya.
 
SNITCH, anaweza kuwa wa hapohapo kijiweni....So trust nobody....
 
Dawa ni kuacha ukondoo na kumiliki silaha za moto tu .
Wakijipendekeza hao malaya ni kuwafanya alichowafanya Tajiri Zacharia
Hahahaaa umenikumbusha kitu Zacharia aliwatengua viuno vibaya mno alafu walivyo wajinga wakikutana na mazito wanaenda kulia lia kuwa walikua kwenye kazi zao za kawaida wakashambuliwa kumbe Zacharia alikua na habari zote
 
Hahaha

Ova
 
Bangi mbaya sana aisee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ukiona rafiki wa zamani, ndugu mliopotezana muda mrefu au kidemu chako cha zamani wanakutafuta ghafla na kwa nguvu kimbia wala usigeuke nyuma.​
Nilitafitwa mwanka 2020 kupitia kwa jamaa yangu wa kijiweni nikiwa nje ya dar baadae nikapigiwa simu amekufa kwao iringa
 
Unajipa wasiwasi usio na maana, kama ni vyombo vya sheria au idara ya usalama ingekua inakutafuta na namba yako wanayo Wala hata wasingehangaika kuja kijiweni ungedakwa huko huko mbeya kama kuku
Sio rahis kama unavyodhan kuna jamaangu kasumbuana na maafande mwaka wa 3 huu hatumiag smart phone na line anavunja anaweka nyingine, Tanzania bado sana kama watu wanakutafuta kimya kimya ila kama wanaweka public announcement ni rahis kukupata, maaskari wengi ni 4m 4 failure kwahiyo hata approach za kuwapata watu wao ni zakizaman sana na zakitoto..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…