UMUGHAKA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 2,753
- 12,932
- Thread starter
- #41
Mkuu huwa Sina tabia ya kuwakimbia "Wanawake",hao nataka wamjue UMUGHAKA ni nani,pengine wakisoma nyuzi zangu huwa wanadhani Mimi ni Mwanamke mwenzao!Ndugu yangu km wewe siyo chawa Wa Samia na CCM na hapo kijiweni wanajua msimamo wako ni afadhali usirudi Dar na ufikirie mkoa Wa kwenda ubadilishe na jina. Watakuja na watakukamata hapo au njiani na hutojuliakana umekwenda wapi. Wana mbinu na silaha watakudhibiti tu. Kimbia haraka. Ndipo tulipofikia.
NIMEAPA KUFANYA TUKIO AMBALO HATA SHETANI ATASHIKA KICHWA!
HIKI KIAPO LAZIMA KITIMIE