Nimepewa Taarifa na washikaji zangu kijiweni kwamba kuna watu wananitafuta

Nimepewa Taarifa na washikaji zangu kijiweni kwamba kuna watu wananitafuta

Unajipa wasiwasi usio na maana, kama ni vyombo vya sheria au idara ya usalama ingekua inakutafuta na namba yako wanayo Wala hata wasingehangaika kuja kijiweni ungedakwa huko huko mbeya kama kuku
Watu wanazani idara zikiamua kumsaka mtu zinatumia nguvu.
Kuwa member tu hapa inatosha kupatikana kirahusi tu. Unakuta mtu anatumi android phones, au pc kwenye forums mbali mbali, halafu anajiona yuko safe. Technology is amazing
 
Ukiona rafiki wa zamani, ndugu mliopotezana muda mrefu au kidemu chako cha zamani wanakutafuta ghafla na kwa nguvu kimbia wala usigeuke nyuma.​
Iyo ilinitokea mwaka 2016, alinipigia simu mwanamke wangu wa nje akitaka tukasex ana hamu, mi nikamuambia we si juzi tu tulikulana vyakutosha,
Akasema bado nna hamu" kumbe alidakwa na kikosi maalum, urafiki na mtu usiyemjua ambae muhalifu ulinighalimu ela,
 
Ndugu yangu km wewe siyo chawa Wa Samia na CCM na hapo kijiweni wanajua msimamo wako ni afadhali usirudi Dar na ufikirie mkoa Wa kwenda ubadilishe na jina. Watakuja na watakukamata hapo au njiani na hutojuliakana umekwenda wapi. Wana mbinu na silaha watakudhibiti tu. Kimbia haraka. Ndipo tulipofikia.
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!


Nimepewa Taarifa na washikaji zangu hapo Dar es salaam ya kwamba kuna watu (Mwanamke 1 & Wanaume 2) wananitafuta!

Nikiwa Niko hapa Mbeya takribani miezi miwili Sasa nikiwa kwenye shughuli zangu nyingine,nilipigiwa simu na jamaa zangu wawili Kwa nyakati tofauti na wakanialifu ya kwamba kuna watu wamekuwa wakienda pale kijiweni kunitafuta na wanadai ya kwamba nimewahi kukopa pesa kwenye taasisi Yao (Jina kapuni) na nimeshindwa kulipa Deni Kwa wakati na kila wakinipigia simu sipokei na wakati mwingine nimewapigia Block!

Mbaya zaidi hao watu wananifahamu Kwa Majina yangu halisi kama ambavyo kijiweni nafahamika kwenye daftari la Umoja wa madereva bodaboda/Bajaji hapo Bunju!

Binafsi sijawahi kukopa pesa kwenye taasisi yeyote Ile hapa nchini na kwasasa sihitaji mkopo wa aina yeyote,Pili,Hakuna mtu yeyote au taasisi anayenidai pesa au kitu chochote!
Kutokana na matukio yanayoendelea hapa nchini,washikaji zangu walikuwa na mashaka na hao watu na wao wamenitaarifu ya kwamba hao watu kimionekano ni watu eidha kutoka Jeshi la Polisi au idara nyingine ya Kiusalama hapa nchini,kwasababu naarifiwa maswali ya dodoso waliyokuwa wakiulizwa siyo ya kawaida!

Hapo kijiweni Kuna jamaa alitoweka kwenye mazingira ya kutatanisha tangu mwezi wa 5 hadi Leo hii haijulikani Yuko wapi!

Juzi moja Kuna jamaa alinipigia simu huku akinichangamkia kishenzi akitaka nikamchukue maeneo ya IPTL nimpeleke Mbezi,Binafsi nikajua anaweza akawa miongoni mwa abiria wangu,kwakuwa hakujua kama sipo Dar es salaam nilimwambia "Mimi Niko mbali kidogo boss,ngoja nimshutue mshikaji wangu aje akuchukue hapo,nampatia namba yako"

Jamaa "Mimi nakutaka wewe kaka maana huwa uko makini sana barabarani"

Mimi "Sawa boss lakini Niko mbali (Sikutaka kumwambia nilipo) sidhani kama nitawahi ndiyo maana nakuomba nikuitie mtu ninaye muamini atakupeleka na utafika salama"

Jamaa "Hapana kaka,wewe kama ni pesa nitakuongezea Mimi nakutaka wewe"

Hapo ndipo nilipopata mashaka kwasababu abiria wa bodaboda tunawafahamu na siyo rahisi kihivyo,pili,Jamaa bado aliendelea kunipigia Simu japo nilimwambia nimetoka lakini hakukata tamaa!,baada ya kuona huo Usumbufu sikupokea hadi Leo.

Sasa,nafahamu mko humu na mnanisoma vizuri tu,Niwaambie mambo yafuatayo nyie Vishoka!

Mimi naitwa UMUGHAKA wengine hupenda kuniita UMUGHAKA WA BHAGHAKA

Dar es salaam narejea Mwezi Ujao,na kama kawaida Dar es salaam Sina shughuli nyingine zaidi ya Udereva wa Bodaboda!

Siku mtakapokuja kijiweni eidha ni kunikamata au Kwa jambo lolote lile baya,Njoeni kabisa mkiwa mmetubu na kuziaga familia zenu maana ni eidha mfe nyie au nife Mimi.

Narudia tena

Siku mtakapokuja kijiweni hakikisheni mmetubu na kuziaga familia zenu maana ni eidha mfe nyinyi au nife Mimi.

NATAKA NIFANYE KITUKO AMBACHO NAAMINI DUNIA NZIMA ITAGEUZA MACHO YOTE KUITAZAMA TANZANIA.


Mimi ndiye
UMUGHAKA


RIP HAMZA,
MWAMBA ALIKUWA MZALENDO NAMBA 1.
 
Wale wafanya biashara ya madini wao walifanya tukio gani mpaka wakauliwa kikatili?
Wafanyabiashara wa Madini wa Ulanga miaka ile??

Mauaji hufanyika Kwa sababu kadhaa ikiwemo;
  • Maagizo kutoka Juu Kwa kuona treats za huyo mtu ama kikundi cha watu
  • Ugomvi wa Kibiashara hasa kuzurumiana
  • Ugomvi wa kimapenzi
  • Kulipa Kisasi
  • Kukosea target, badala ya X wakamfata Y
  • Nafasi za kiSiasa n.k
 
Back
Top Bottom