Nimepewa Taarifa na washikaji zangu kijiweni kwamba kuna watu wananitafuta

Mkuu huwa Sina tabia ya kuwakimbia "Wanawake",hao nataka wamjue UMUGHAKA ni nani,pengine wakisoma nyuzi zangu huwa wanadhani Mimi ni Mwanamke mwenzao!

NIMEAPA KUFANYA TUKIO AMBALO HATA SHETANI ATASHIKA KICHWA!

HIKI KIAPO LAZIMA KITIMIE
 
Yule aliyekuwa mchimba madini kule LINDI aliyeuliwa MTWARA naye sababu zilikuwa zipi?

Je, kuhusu yaliyowakuta hao wa ULANGA kwani nini kilitokea mpaka BAGENI kuhukumiwa kunyongwa?
 
Kwa maelezo nying lakn yaonesha ww kunaktu umekfanya ukakmbia alaf inaonyesha aujiamn spo tu kama watu wanakutafuta hadi kweny ofc yako na ww uwajui unaofia usalama wako kwa nn usripot kwa vyombo vya usalama?
 
Hao hata wakija 20,watakaobaki hai wataandika Vitabu vya masimulizi!

Hii fursa niliingojea sana Kwa muda mrefu,hatimaye imejileta yenyewe mlangoni!

Nataka nirejeshe Heshima ya kikurya ambayo wapuuzi fulani wameanza kuichukulia poa.
Waulize wale makomando wa Mbowe walivyopigwa virungu kwenye visigino hadi wanatoa sauti ya maumivu.

Kikubwa mkuu kama nafsi yako inahisi hatari badili mahala pa kuishi kabisa... Its not worth it.
 
Yule aliyekuwa mchimba madini kule LINDI aliyeuliwa MTWARA naye sababu zilikuwa zipi?

Je, kuhusu yaliyowakuta hao wa ULANGA kwani nini kilitokea mpaka BAGENI kuhukumiwa kunyongwa?
Mkuu naweza kutojua lolote kwenye hilo, ila Kwa akili za kawaida huenda Moja wapo ya hizo sababu ikatumika kuondoa Uhai Kwa wenzetu
 
Siku watakayo jichanganya kwangu nita wafanya zaidi alicho wafanya zakaria (wacongo wa kwambia ni Masasi ya vichwa tu .)
 
Kimekulambaaaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
naona hii imekaa njema zaidi
ubaya ubaya
 
Kumbuka hao Watu ambao wanatuhhmumiwa Sana na matukio hayo Wana Mawakala wao wengi sana humu mtandaoni, JF ni OSINT kwao kwa kupata taarifa wazitakazo.
Take care!
 
Mkuu kweli hili tupo pamoja.
Pasua mbupu ya mmoja wapo nyonya yale maji ya ndani ya mbupu.
Wangese sana hao makima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…