Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Hamumunyi maneno yule πCasted my vote, Trump in!
Aje atoe mrejesho wa hali ya shitholes
Wewe unaishi wapi mkuu? Nchi gani?Ni maneno tu ila atarudi.
Kwa nia yake ya kugombea lazima atarudi ili kuwafikia wapiga kura wake wengi.
Wanasiasa sio wa kuwaamini sana.
Kwa sasa lazima apigie debe mtandao wake ila nina hakika atarudi tu twitter.
Hawezi kuacha audience ya watu karibu 90m wanaomfuata twitter akakomaa na truth social yake ambayo haina hata watu milioni 2, atakua mwanasiasa mjinga.
Anyway, yote hayo ni maneno tu ila muda utasema.
Watu wengine ni wa kuwaacha tu mkuu.Mzee unajua waliokuwa endorsed na trump ni wangapi na wameshinda wangapi au ndio propaganda zinakuchanganya ?
Mkuu naishi Nyampulukano, Sengerema, Mwanza Tanzania Afrika Mashariki kusini mwa jangwa la Sahara.Wewe unaishi wapi mkuu? Nchi gani?
Mi si ndio maana nimepiga kura arudi mzee wa shitholes aje atupe mrejesho wa ripoti ya hali ya shitholesHamumunyi maneno yule π
Nilimpigia kura mapema saana πMi si ndio maana nimepiga kura arudi mzee wa shitholes aje atupe mrejesho wa ripoti ya hali ya shitholes