Nimepiga marufuku safari zote za mke wangu msimu huu wa sikukuu

Great great. Bro hapo nakupa saluti za heshima Sana. Kwanza kwa kutibua Safari ambayo ilipangwa mapema bila wewe kushirikishwa, Kama alikupa Taarifa usiku wa tar 15.12. hii Ina maana alishakata tiketi mchana wake au asubuhi na baadaye ndo yakatokea yake Mambo ya wrong number. Naamini alikua anakupa Taarifa na Wala si kukuomba ruhusa. Tayari alishajipanga kwa Safari na hakua anategemea nauli kutoka kwako.

Lakini Jambo la pili nakupongeza kwa kuhisi something fishy, hapa mwenyewe nahi
 
Jambo la pili Ni kwanini analazimisha Sana Safari, yaani anaipambania Kama anaenda kwenye interview. Si Safari salama. Good Sana kwa kuipiga stop.

Jambo lingine, Safari imekolea zaidi baada ya laini mwisho 900 kukupigia na imetoka kwa wife na si namba yake ya siku zote. Baada ya kumtilia mashaka akajitete utetezi ambao mahakama yako imeutupilia mbali kutokana na kwamba Ni ushahidi ambao umekosa viambatanisho. Hata Mimi ningezuia Safari na mitoko yote isiyo ya muhimu
 
Well said mkuu naunga mkono hoja.
 
Lkn kama alikua ana mpango mungine huwez zuia mwanamke mpe uhuru

kwasabu unazid kumkera hivi unaweza mlinda mtu mzima?

Sometimes mtumie akili hisia na wivu wa kugongewa sijui mapenzi yanauma mwanaume inabid ukaze


Hio sio sawa ,ukitumia hisia ndoa inavunjika mwanaume ili uwe na mvuto kwa mkeo lazma utumie akili .

akili ndio itafanya bibie ajisikie sawa hata unavo mkomandi vinginevyo ataona kama una mnyanyasa.
 
Uko vizuri, pambania, usituangushe. Kuna picha inachezwa.
 
Wasiwasi ndio akili wanasema,kwakua ni nafsi moja we nayeye hivyo taarifa mbaya ikikuletea mpasuko moyoni jua ndio jambo lililopo,tumia uanaume kulitatua
 
Kuna watu wanachukulia simple vitu Kama hivi, aisee inaumaje unamruhusu mkeo na akili yako tayar ishakwambia uko anakoenda ataenda kuliwa?[emoji848]

Ni Mara akaliwe nisijue, sio nimruhusu kabisa akaliwe[emoji29]
mkuu utakuja kupigiwa vibaya sanaa na nimeona kuna mdau katoa maoni mazuri wew unaangalia makosa ya mke wako tu yakwako husemi na mwingine kakushauri kwamb mruhusu mkeo aende huku unaendelea kufanya uchunguzi taratibu ila uendelee kumchunguza lakin mkubwa wetu hukielewi hiki na kwambia utakuja kupigiwa vibaya sanaa kama unavyovihisi ni vya kwel😢😢😢
 
Madhara ya kuoa haraka mm nilimuona bado mtoto alipo sehema alifunga duka akaenda kuongea na mkee kuhusu laini? kweli?🤣🤣😂😂🤣💔
 
Upo sahihi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…