Nimepiga mkwara mzito huyu manzi, huwa siendekezi ujinga.

Nimepiga mkwara mzito huyu manzi, huwa siendekezi ujinga.

Chief Kumbyambya

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2022
Posts
719
Reaction score
2,408
Ebwanaeeeeeeee, za leooo.

Moja Kwa moja kwenye mada.... Hivi nyie wanawake mkoje.... Hasa mnaoshinda nyumbani wakati sisi tupo kutafuta na kuvuja majaisho huko mtaani.

Iko hivi... Mimi huwa sipendi kununua vitu kidogo kidogo maana naona inakuwa gharama Sana kuliko ukanunua kwa wingi, mfano mafuta nanunua kidumu cha Lita tano, unga wa sembe nanunua mfuko kg 50, mchele debe 1, sukari mifuko labda kumi, maharage debe 1, dagaa wa kigoma nusu debe, nafanya hivi ili kuepusha kununua mahitaji kidogo kidogo.

Maana najua hivyo vitu vikiwemo ndani nitakachodaiwa ni vitu vidogo vidogo tu labda nyanya nk.

Ndani tunaishi wawili tu na kuna wapangaji wengine majirani kadhaa huko ambao wa like ni wengi kuliko wa kiume na bibie anamashosti zake kadhaa kati ya hao majirani.

Sasa kuna kamuda flani nikaanza kuusoma mchezo kwamba nanunua vitu kwa wingi lakini havichelewi kuisha, yaani Kidumu cha mafuta Lita 5 kinakaa wiki mbili tu na ndani tuko wawili. Nikirudi jioni utasikia mume... Mafuta ndiyo yanaishia yamebaki kidogo sana cheki!!! Kesho njoo na mengine... Nikimuuliza bibie hii Lita tano imekatika ndani ya wiki mbili? Anasema ndiyo mume si tunamtumia!!!?

Mimi nikawa namchora tu. Hapo nikawa nishagundua anawapa na mashosti zake walalahoi kila wakitaka kupika wanakuja na tuvikombe twao kuomba mafuta ya kupikia, maji ya kuoga wanachemshia kwenye gesi yangu wapuuzi hawa.

Nikiwa sipo pia anawapa sukari, mchana nisipokuwepo anawagaia dagaa, jioni kabla sijarudi anakuwa kashawapa mchele kidogo na maharage kidogo maana anaona si vipo tuu!!? Kumbe tunatafuta Kwa jasho.

Sasa Jana niliwahi sana kurudi geto yaani saa saba niko ndani na sikutoka tena, inafika mida ya saa nane nikasikia bibie anaitwa kwa nje huko, na hawa kumbikumbi hawakujua kama kamanda nipo ndani... eti flani EEE.... bibie akaitika... Abeeee.... . Nigaie dagaa Shoga yangu si unajua tena mwenzio taabaniiiii..... maaamaaeeee nilitoka na jicho moja jekundu kuliko kawaida nilimtukana yule manzi vibaya mno nusu nimtie kelbu ya shingo na hajawahi kuniona katika hali hiyo hata siku moja.

Na nikarudi ndani kwa bibie nikampiga mkwara mmoja ambao hajawahi kuusikia wala kuuona kwenye muvi yoyote ile iwe ya kutisha ama ya mapigano. Na nikamwambia hivi vitu vikiisha safari hii utajua kwa kuvitoa na sinunui hivi vitu teeenaaa, hii gesi ikiisha jiandae kupikia kuni huko nje maana huku ndani sijawahi kupikia mkaa na sitihitaji kuona mkaa wa aina yoyote ile humu na nikirudi lazima nile sasa kazi kwako wewe si mama huruma? Nakutafutia mtaji utakuwa unatembeza kuni barabarani na nikirudi nikute chakula on time.....

Hapo kainama analia lia kama mtoto Mimi namkanda tu. Hapo naongea mafuta kidumu cha Lita 5 kimebaki nusu na kina wiki moja Tu.

Na vikiisha hivi ataona msoto atakaokula huyu hanijuiiiii.....

Amuulize mwenzie alietoka hapa kabla yake nae alikuwa na mbanga hizo hizo, vitu vilivyoisha alikula msoto wa maparachichi na juice ya embe miezi miwili mfululizo mpaka akatia adabu, nikitoka mihangaikoni jioni nambebea maparachichi mawili ya Jero na juice ya embe ya Jero,( huku Mbeya maparachichi mawili jero), na asubuhi ni karanga za kuchemsha.... kuna mama mmoja alikuwa anapitisha kila asubuhi nikawa namnunulia za buku anakula asubuhi mpaka mchana.

Nilikuwa namwambia sina hela ya gesi bibie wewe si ulikuwa unawaalika mashosti waje kuchemsha maji ya kuoga hapa? Hapo Mimi nishajipigia kitimoto yangu kilo na ndizi sita (Huku Mbeya nusu ya kitimoto ni 3,000 na kila nusu inandizi 3, hivyo kilo ni ndizi 6), sasa bada ya huo msoto aliokula aiseee nilikuja kununua kidumu cha Lita 5 cha mafuta ya kupikia kilikaa mwaka mmoja na miezi miwili.

Sasa bado na huyu we subiriiiiiii
 
Kusaidia watu au majirani sio mbaya ila huyo jirani kila siku yeye hana inakera mno
Kusaidia majirani sikatai ndiyo ujirani mwema Ila ndiyo kidumu cha mafuta lita 5 kikae wiki mbili kweli, mchele debe moja linakatika ghafla mpaka unaenunua unashtuka kwamba hapanaaa, hapa napigwa. Na ndani tunaishi wawili tu, alafu hao mashosti zake kutwa kupigapiga hodi kwangu sasa jana nikawapasukia sasa..
 
Amini nakwambia, ukinunua nusu ya kitimoto ni 3,000 na ndizi za kukaanga unapewa 3 free, na usipopewa ndizi unahaki ya kudai tena Kwa kufoka kabisaa... Ndizi ziko wapii??? Kilo ni ndizi 6, kilo moja na nusu ni ndizi 9 buureeee. Karibu Sana Mbeya.
ahsante mkuu kumbe ni nusu ndio afu tatu nilidhani kilo
 
Kama ni movie hapa kubwa la maadui Carlos au Amrish Puri 😂😂
Unajua wanavyoona vinaletwa tu ndani wanafikiri tunaokota kumbe mtu umepigika sana huko mtaa, umetukanwa sana na mabosi, umetambaa sana kwenye tope mixa jua kali mwisho wa siku unaleta chochote kitu ndani alafu mtu anakuja kuvigawa kirahisi rahisi tu...
 
Kusaidia majirani sikatai ndiyo ujirani mwema Ila ndiyo kidumu cha mafuta lita 5 kikae wiki mbili kweli, mchele debe moja linakatika ghafla mpaka unaenunua unashtuka kwamba hapanaaa, hapa napigwa. Na ndani tunaishi wawili tu, alafu hao mashosti zake kutwa kupigapiga hodi kwangu sasa jana nikawapasukia sasa..
huyo mkeo ajitafakari upya na hao marafiki zake
 
Ebwanaeeeeeeee, za leooo.

Moja Kwa moja kwenye mada.... Hivi nyie wanawake mkoje.... Hasa mnaoshinda nyumbani wakati sisi tupo kutafuta na kuvuja majaisho huko mtaani.

Iko hivi... Mimi huwa sipendi kununua vitu kidogo kidogo maana naona inakuwa gharama Sana kuliko ukanunua kwa wingi, mfano mafuta nanunua kidumu cha Lita tano, unga wa sembe nanunua mfuko kg 50, mchele debe 1, sukari mifuko labda kumi, maharage debe 1, dagaa wa kigoma nusu debe, nafanya hivi ili kuepusha kununua mahitaji kidogo kidogo.

Maana najua hivyo vitu vikiwemo ndani nitakachodaiwa ni vitu vidogo vidogo tu labda nyanya nk.

Ndani tunaishi wawili tu na kuna wapangaji wengine majirani kadhaa huko ambao wa like ni wengi kuliko wa kiume na bibie anamashosti zake kadhaa kati ya hao majirani.

Sasa kuna kamuda flani nikaanza kuusoma mchezo kwamba nanunua vitu kwa wingi lakini havichelewi kuisha, yaani Kidumu cha mafuta Lita 5 kinakaa wiki mbili tu na ndani tuko wawili. Nikirudi jioni utasikia mume... Mafuta ndiyo yanaishia yamebaki kidogo sana cheki!!! Kesho njoo na mengine... Nikimuuliza bibie hii Lita tano imekatika ndani ya wiki mbili? Anasema ndiyo mume si tunamtumia!!!?

Mimi nikawa namchora tu. Hapo nikawa nishagundua anawapa na mashosti zake walalahoi kila wakitaka kupika wanakuja na tuvikombe twao kuomba mafuta ya kupikia, maji ya kuoga wanachemshia kwenye gesi yangu wapuuzi hawa.

Nikiwa sipo pia anawapa sukari, mchana nisipokuwepo anawagaia dagaa, jioni kabla sijarudi anakuwa kashawapa mchele kidogo na maharage kidogo maana anaona si vipo tuu!!? Kumbe tunatafuta Kwa jasho.

Sasa Jana niliwahi sana kurudi geto yaani saa saba niko ndani na sikutoka tena, inafika mida ya saa nane nikasikia bibie anaitwa kwa nje huko, na hawa kumbikumbi hawakujua kama kamanda nipo ndani... eti flani EEE.... bibie akaitika... Abeeee.... . Nigaie dagaa Shoga yangu si unajua tena mwenzio taabaniiiii..... maaamaaeeee nilitoka na jicho moja jekundu kuliko kawaida nilimtukana yule manzi vibaya mno nusu nimtie kelbu ya shingo na hajawahi kuniona katika hali hiyo hata siku moja.

Na nikarudi ndani kwa bibie nikampiga mkwara mmoja ambao hajawahi kuusikia wala kuuona kwenye muvi yoyote ile iwe ya kutisha ama ya mapigano. Na nikamwambia hivi vitu vikiisha safari hii utajua kwa kuvitoa na sinunui hivi vitu teeenaaa, hii gesi ikiisha jiandae kupikia kuni huko nje maana huku ndani sijawahi kupikia mkaa na sitihitaji kuona mkaa wa aina yoyote ile humu na nikirudi lazima nile sasa kazi kwako wewe si mama huruma? Nakutafutia mtaji utakuwa unatembeza kuni barabarani na nikirudi nikute chakula on time.....

Hapo kainama analia lia kama mtoto Mimi namkanda tu. Hapo naongea mafuta kidumu cha Lita 5 kimebaki nusu na kina wiki moja Tu.

Na vikiisha hivi ataona msoto atakaokula huyu hanijuiiiii.....

Amuulize mwenzie alietoka hapa kabla yake nae alikuwa na mbanga hizo hizo, vitu vilivyoisha alikula msoto wa maparachichi na juice ya embe miezi miwili mfululizo mpaka akatia adabu, nikitoka mihangaikoni jioni nambebea maparachichi mawili ya Jero na juice ya embe ya Jero,( huku Mbeya maparachichi mawili jero), na asubuhi ni karanga za kuchemsha.... kuna mama mmoja alikuwa anapitisha kila asubuhi nikawa namnunulia za buku anakula asubuhi mpaka mchana.

Nilikuwa namwambia sina hela ya gesi bibie wewe si ulikuwa unawaalika mashosti waje kuchemsha maji ya kuoga hapa? Hapo Mimi nishajipigia kitimoto yangu kilo na ndizi sita (Huku Mbeya kilo ya kitimoto ni 3,000 na kila nusu inandizi 3, hivyo kilo ni ndizi 6), sasa bada ya huo msoto aliokula aiseee nilikuja kununua kidumu cha Lita 5 cha mafuta ya kupikia kilikaa mwaka mmoja na miezi miwili.

Sasa bado na huyu we subiriiiiiii
nakuunga mkono ndg yangu.

nimekaa pale nasubiri nisome komenti za "wewe ni mchoyo".
 
Ebwanaeeeeeeee, za leooo.

Moja Kwa moja kwenye mada.... Hivi nyie wanawake mkoje.... Hasa mnaoshinda nyumbani wakati sisi tupo kutafuta na kuvuja majaisho huko mtaani.

Iko hivi... Mimi huwa sipendi kununua vitu kidogo kidogo maana naona inakuwa gharama Sana kuliko ukanunua kwa wingi, mfano mafuta nanunua kidumu cha Lita tano, unga wa sembe nanunua mfuko kg 50, mchele debe 1, sukari mifuko labda kumi, maharage debe 1, dagaa wa kigoma nusu debe, nafanya hivi ili kuepusha kununua mahitaji kidogo kidogo.

Maana najua hivyo vitu vikiwemo ndani nitakachodaiwa ni vitu vidogo vidogo tu labda nyanya nk.

Ndani tunaishi wawili tu na kuna wapangaji wengine majirani kadhaa huko ambao wa like ni wengi kuliko wa kiume na bibie anamashosti zake kadhaa kati ya hao majirani.

Sasa kuna kamuda flani nikaanza kuusoma mchezo kwamba nanunua vitu kwa wingi lakini havichelewi kuisha, yaani Kidumu cha mafuta Lita 5 kinakaa wiki mbili tu na ndani tuko wawili. Nikirudi jioni utasikia mume... Mafuta ndiyo yanaishia yamebaki kidogo sana cheki!!! Kesho njoo na mengine... Nikimuuliza bibie hii Lita tano imekatika ndani ya wiki mbili? Anasema ndiyo mume si tunamtumia!!!?

Mimi nikawa namchora tu. Hapo nikawa nishagundua anawapa na mashosti zake walalahoi kila wakitaka kupika wanakuja na tuvikombe twao kuomba mafuta ya kupikia, maji ya kuoga wanachemshia kwenye gesi yangu wapuuzi hawa.

Nikiwa sipo pia anawapa sukari, mchana nisipokuwepo anawagaia dagaa, jioni kabla sijarudi anakuwa kashawapa mchele kidogo na maharage kidogo maana anaona si vipo tuu!!? Kumbe tunatafuta Kwa jasho.

Sasa Jana niliwahi sana kurudi geto yaani saa saba niko ndani na sikutoka tena, inafika mida ya saa nane nikasikia bibie anaitwa kwa nje huko, na hawa kumbikumbi hawakujua kama kamanda nipo ndani... eti flani EEE.... bibie akaitika... Abeeee.... . Nigaie dagaa Shoga yangu si unajua tena mwenzio taabaniiiii..... maaamaaeeee nilitoka na jicho moja jekundu kuliko kawaida nilimtukana yule manzi vibaya mno nusu nimtie kelbu ya shingo na hajawahi kuniona katika hali hiyo hata siku moja.

Na nikarudi ndani kwa bibie nikampiga mkwara mmoja ambao hajawahi kuusikia wala kuuona kwenye muvi yoyote ile iwe ya kutisha ama ya mapigano. Na nikamwambia hivi vitu vikiisha safari hii utajua kwa kuvitoa na sinunui hivi vitu teeenaaa, hii gesi ikiisha jiandae kupikia kuni huko nje maana huku ndani sijawahi kupikia mkaa na sitihitaji kuona mkaa wa aina yoyote ile humu na nikirudi lazima nile sasa kazi kwako wewe si mama huruma? Nakutafutia mtaji utakuwa unatembeza kuni barabarani na nikirudi nikute chakula on time.....

Hapo kainama analia lia kama mtoto Mimi namkanda tu. Hapo naongea mafuta kidumu cha Lita 5 kimebaki nusu na kina wiki moja Tu.

Na vikiisha hivi ataona msoto atakaokula huyu hanijuiiiii.....

Amuulize mwenzie alietoka hapa kabla yake nae alikuwa na mbanga hizo hizo, vitu vilivyoisha alikula msoto wa maparachichi na juice ya embe miezi miwili mfululizo mpaka akatia adabu, nikitoka mihangaikoni jioni nambebea maparachichi mawili ya Jero na juice ya embe ya Jero,( huku Mbeya maparachichi mawili jero), na asubuhi ni karanga za kuchemsha.... kuna mama mmoja alikuwa anapitisha kila asubuhi nikawa namnunulia za buku anakula asubuhi mpaka mchana.

Nilikuwa namwambia sina hela ya gesi bibie wewe si ulikuwa unawaalika mashosti waje kuchemsha maji ya kuoga hapa? Hapo Mimi nishajipigia kitimoto yangu kilo na ndizi sita (Huku Mbeya nusu ya kitimoto ni 3,000 na kila nusu inandizi 3, hivyo kilo ni ndizi 6), sasa bada ya huo msoto aliokula aiseee nilikuja kununua kidumu cha Lita 5 cha mafuta ya kupikia kilikaa mwaka mmoja na miezi miwili.

Sasa bado na huyu we subiriiiiiii
🤣🤣🤣🙌
Aisee nimecheka jmn
Umejua kunivunja mbavu
 
Cha kufanya usimfundishe Mkeo kuwa Mchoyo bali mfundishe kuwa na busara.

Cha kufanya ungejitahidi kuongea nae na kumwambia sababu za hivyo vitu kuisha akikataa au kugoma ndio unamuwekea mitego ya kubaini.

Pia ungehama hapo na kuhamia sehem nyingine na ukifika huko ni kumpa counseling ya kutoleta Mazoea na ushosti wa kiswahili.

Hali hiyo ipo hata ktk nyumba zetu hizi house girl anapika msos anapeleka kwa bwana wake Bodaboda, unashangaa mmechinja Kuku ila mapaja hayaonekani kumbe tyr kashamfungia Bodaboda wake na kampelekea geto.
 
Back
Top Bottom