Nimepiga mkwara mzito huyu manzi, huwa siendekezi ujinga.

Yeah,ni kweli kabisa, mimi nimeishi kwa mjomba alikuwa muuza duka na mke wake hakuwa kazi yoyote ile, lakini mke wake alikuwa mgawaji sana yaani majirani wanakuja kuchota maji kwenye bomba kila siku afu bili inakuja kubwa basi uncle anashangaa ndani tupo watatu afu bili inakuja 70,000 kumbuka apo mke wake ashaniambia nisisseme kama anagawa maji, siku moja uncle akailia doria akafanya kama anaenda kazini afu akachili room kwangu ,,,,weeee!!! Asubuhi tyu mke anapika chai mpaka ya majirani, majirani wakaja kuchota maji pale kama wote Daaah mi siku hiyo nakumbuka nilikuwa internship kwenye taasisi fulani ivi ila siku hiyo nilirudi kuchukua document fuln haaaa!!! Ile nafika tuu na uncle ndiyo anatoka ndani kuja kuwachezesha ngoma aiseee aliwatukana akamtukana na wife daaah si majirani si mke wote hawakuwa na hamu tena ,,,,,, bili ilianza kuja 25000 na matumizi mengine ya kawaida yakapu'ngua japo majirani walipunguza mazoea na nyumba yake
 
Kiongozi punguza roho mbaya siku mkeo atakapo kuja kukutwa na shida na wewe haupo nyumbani atasaidiwa na nani?
 
Picha lilivyo hapo hakosekani shosti anayetaka kufanya mapinduzi, shemeji akae kwa password
😂Hiyo kweli lazima kuna shosti yake anataka kuleta kanga yake hapa...... anavyoona kwa mwenzie vitu havikauki ndani anatamani ingekuwa kwake😂
 
Ni hatari aisee yaani ukiwachukulia poa hawa majirani uchwara wanakutia hasara na ukiishiwa wanakuona boya hata salamu hawatokupa..
 

Kwa watu wawili ukinunua hivyo vitu, hata kama mnakula milo 6 vitaharibika.
 

Attachments

  • 12.jpg
    20.9 KB · Views: 4
HAHAHAHHAHHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHHAHAHAAHHAHAHAHAHHAAHHAHA

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Aiseee Sina Mbavu
 
Kiongozi punguza roho mbaya siku mkeo atakapo kuja kukutwa na shida na wewe haupo nyumbani atasaidiwa na nani?
Sio uchoyo man.... Nilishawasoma hawa mashosti jirani zake ni wale wanaokuona wanamuona WA maana sababu ndani kwake kuna tuvitu vitu Ila asingekuwa navyo ni wale majirani wanakaaga kikundi kwa pamoja kuwasengenya watu hasa majirani zao. Wao tumewakuta. Sisi hapa ni wageni toka tumehamia tuna miezi mitatu tu sasa wanataka kutumia hiyo advantage sasa kamanda nikawapa za uso mixa mitama ya shingo mtaalam....
 
Usisahau mrejesho kwa hivyo unanunua inatakiwa mwezi ndio viishe maana mpo wawili tu
Jua kali sana mwambie
Jua ni kali kweli na sio mwezi tu..... kwa mwanamke anayezingatia matumizi mazuri kidumu cha mafuta lita 5 kinatakiwa kikae hata zaidi ya miezi miwili. Labda kama anaogea sawa....
 
Mimi ni mwanamke lakini nakusupport ile ile. Hekima! Hekima! Hekima!, Busara! Busara! Busara! Hata sisi ndo tungekua tunatoka kwenda kutafuta, tusingekubali vitu vifujwe ndani. Lets say ana mtoto, akamnunulia penseli leo na mtoto akaenda akampa 'shosti' yake shuleni akija akasema imepotea. Mwezi mzima kila siku anasema imepotea angeelewa?

Umimi unatuponza sana sisi wanawake. Mbaya zaidi huwa tunafikiri kushare na majirani ndo ujirani mwema kumbe si hivyo. Am pretty sure, siku mkifulia hao aliokua anawasaidia kwa mrengo wa "ushirikiano na majirani", wangemkataa.

Mkuu wangu wa kaya alishaniamshiaga jaramba mapema sana kuhusu mazoea ya sana na majirani. Akasema, ni rahisi sana mtu kukuattack coz anakujua inside out. Na most of the times wale tunaowasaidia sana na kuwaweka karibu, kwa sabbu wanatujua kama chu** zetu, wanajuaga angle za kupiga kwenye mshono.

Yes tushirikiane lakini kwa kiasi ili hata unayemsaidia ajifunze kumtegemea Mungu wake aliyemuumba. Mtu anapokulilia kila siku shida na ukamtatulia, humsaidii, unamharibu au pia anaweza kukuharibu wewe. Tusijipe roles za kuwa Saviours kwa watu hasa binadamu wa sasa hivi au wa miaka hii..dakika sifuri kukupiga na kitu kizito hatushindwi.

Unakuja kugundua baadae shosti ulokuwa unamsaidia, mtoto wake wa tatu si wa mume wake bali wa mume wako, na hivi hukuweza kushtukia kwa sabbu shosti kafanana na mwanae, inakuwa too late. Yote in the name of a good heart. Yes tuwe watu wema lakini kwa busara na kiasi.
 
Hahahahaaaaa,umefanya vizur

Ndo wanawake wengi walivyo afu unakuta wale mashost anaowapatia wanakuwa wanamsema jinsi alivyomjinga kwa hyo tabia yake ya kugawa gawa vitu na huwa wanafanya makusudi unakuta pesa wanazo ila wanafanya kukomoa,binadamu ni wajinga mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…