Nimepiga mkwara mzito huyu manzi, huwa siendekezi ujinga.

Mwamba nimekuelewa Sana sema hapo kwenye kula kilo ya kitimoto na ndizi 6 hapo dah upo vizuri
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unafanya shopping ya mtaa mzima.
Hivyo vitu afungue jenge na kulisha lilishe.

Si mnawatakia wamama wa nyumbani ?
Vikiwemo ndani inaepusha kwenda kufanya manunuzi mara Kwa mara pia unakuta umeotea kipindi bei iko nzuri sasa ile ya kila siku bei inakuwa haiko costant..
 
Ha!Ha! Si mchezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…