cold water
JF-Expert Member
- Oct 6, 2021
- 238
- 954
Wanasema, utatufanya nini? wangelijua kuna adhabu wangelipokea. Wanajua kila mahali ni uozo....Hello JF,
Samahani hivi hii namba ya ofisi ya Rais utumishi, unaweza piga muda wowote au ni muda wa kazi tu? Nimepiga sana haipokelewi.
Wako holidays DubaiHello JF,
Samahani hivi hii namba ya ofisi ya Rais utumishi, unaweza piga muda wowote au ni muda wa kazi tu? Nimepiga sana haipokelewi.
Hello JF,
Samahani hivi hii namba ya ofisi ya Rais utumishi, unaweza piga muda wowote au ni muda wa kazi tu? Nimepiga sana haipokelewi.
Serikalini hakuna professionalism. Wale wadada wa front desk huwa wanachomoa ule waya wa kwenye simu ya mezani/landline wakienda kupiga story kwenye ofisi za mashoga zao. Nilishuhudia hii wizara moja kabla ya kuhamia Dodoma.Hello JF,
Samahani hivi hii namba ya ofisi ya Rais utumishi, unaweza piga muda wowote au ni muda wa kazi tu? Nimepiga sana haipokelewi.
Mikaba ya milele hiyo ndio madhara yake.Wanasema, utatufanya nini? wangelijua kuna adhabu wangelipokea. Wanajua kila mahali ni uozo....
Alafu niliendaga interview utumishi wakawa wanajimwambafy eti kufanya kazi serikalini kunataka watu cream hahahaaaaHiyo ndiyo kawaida ya ofisi za Serikali zetu. Labda ingekuwa na country code ya wajomba zetu.
Wako vizuri sana wanajua kuhudumia Kwa wakati Mmoja alikosa jibu la kunipa aliniunganisha na mwingine muda huo huo nikajibuwa kwakweli Mungu awabarikiHivi utumishi na tamisemi ni tofauti kabisaa ee?
Tamisemi niliwakubali sana, kuna siku nilikua na shida(nilienda halmashauri wakawa wananiletea nyodo) nikatafta namba zao kwenye mtandao...
Mkuu, kuna watumishi wa serikali honestly wapo vizuri sana, sema ndio hivyo ni wachache sana.Hivi utumishi na tamisemi ni tofauti kabisaa ee?
Tamisemi niliwakubali sana, kuna siku nilikua na shida(nilienda halmashauri wakawa wananiletea nyodo) nikatafta namba zao kwenye mtandao...
Wachache wapo vizuri sanaHawapokeagi hao, sijui huwa wanaweka namba za nini
Taasisi zote za umma mpaka wizarani hawapokei simu
Kwa nchi za wenzetu wapo very active