iNine9
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 4,412
- 8,198
Sure hasa MacBook baadhi huwa hazisomi hii USB 2.0 zinasoma kuanzia USB 3.0 au unakuta port 1 inasoma 3.0 pekee afu ingine ndiyo inasoma zote ila 2.0 kwa shida sana..Hiyo case ya usb2.0 iko slow sana na wakati mwingine kwenye pc nyingine itagoma kusoma, kanunue case ya 3.0