Nimepigwa na kitu kizito, mwanamke nayetaka kumuoa nimebaini hajatulia

Nimepigwa na kitu kizito, mwanamke nayetaka kumuoa nimebaini hajatulia

mj909

Member
Joined
Aug 1, 2024
Posts
86
Reaction score
204
Ndugu zangu mimi nipo DSM nimechumbia Arusha.. Na nilipanga ndoa iwe mwezi Wa kumi mwishoni.. Sasa leo wakati nimetulia nikapokea SMS kwenye namba ngeni ikaniambia kwamba mwanamke ninae taka kumuoa ana wanaume wengi na hata nilivyo mvisha pete bado yupo nao na jana alikua lodge na mwanaume.

Nikabisha nikamwambia anipe ushahidi jamaa akaniomba namba za whatsapp nikampa nilicho kikuta sikuamini kumbe jamaa alimrekodi wakati anamla asee ni yeye Kabisa sio editing jamaa kaniambia kwamba kama nina oa nioe tu lakini nijue kwamba naoa mtu Wa namna gani. Hapa nilipo nahisi presha kabisa...

Naombeni ushauri wakuu
 
Wewe umeshavua wangapi na wengine bila kujua ni wachumba wa watu?.

Muite muulize kama yupo serious, kisha akalishwe kitako kuambiwa ukweli wa maisha ya Ndoa then chukua mke.

Ukitaka wa kwako ambaye hajaguswa basi kamchukue hospitali akiwa katoka tumboni umlee hadi uzeeni akiwa ndani ya chumba chenye kufuri 100!!.
 
Wewe umeshavua wangapi na wengine bila kujua ni wachumba wa watu?.

Muite muulize kama yupo serious, kisha akalishwe kitako kuambiwa ukweli wa maisha ya Ndoa then chukua mke.

Ukitaka wa kwako ambaye hajaguswa basi kamchukue hospitali akiwa katoka tumboni umlee hadi uzeeni akiwa ndani ya chumba chembe kufuri 100!!.
Shida nikwamba nilishatoa mahari kila kitu mpaka kumvisha Pete bado ndoa tu ila ndio nakutana nahii ishu
 
Temana nae mkuu. Hakuna namna nyingine huyo temana nae. Kama ameendelea kuliwa hata baada ya kumvisha pete huyo achana nae mkuu,, achana nae mapema usije kuua mtu huko mbele.

Huyo anachotaka ni ndoa tu ila hakupendi. Mimi pia ilitokea hivyo mwaka jana, niko na demu kumbe kavishwa pete na anakuja kwangu namla kama kawaida, alivyoolewa nikaachana nae ila bado ananitaka nimpe mtalimbo ila namkwepa. Hata nikimtaka leo namla. Mumewe hajui chochote bora hata wewe unajua.

Wanawake wa hivyo sio wa kuoa, achana nae nakushauri. Shukuru umejua mapema, achana nae nakushauri. Huu ni ushauri wa bure, shauri yako.
 
Shida nikwamba nilishatoa mahari kila kitu mpaka kumvisha Pete bado ndoa tu ila ndio nakutana nahii ishu
Kwanza huyo jamaa aliyepata namba yako ulipaswa kumpuuza ili kuepusha stress za mapema, pili whatever umetoa au hujatoa mahali, kata shauli kama umempenda naye hivyo, endelea na process.

Vinginevyo hutapata au utapata ajuza, wako tu peke yako -Asante.
 
Ndugu zangu mimi nipo DSM nimechumbia Arusha.. Na nilipanga ndoa iwe mwezi Wa kumi mwishoni.. Sasa leo wakati nimetulia nikapokea SMS kwenye namba ngeni ikaniambia kwamba mwanamke ninae taka kumuoa ana wanaume wengi na hata nilivyo mvisha pete bado yupo nao na jana alikua lodge na mwanaume.

Nikabisha nikamwambia anipe ushahidi jamaa akaniomba namba za whatsapp nikampa nilicho kikuta sikuamini kumbe jamaa alimrekodi wakati anamla asee ni yeye Kabisa sio editing jamaa kaniambia kwamba kama nina oa nioe tu lakini nijue kwamba naoa mtu Wa namna gani. Hapa nilipo nahisi presha kabisa...

Naombeni ushauri wakuu
Muoe kaka wanawake ni malaika,wanawake wanabadilika,akiingia kwenye ndoa atatulia tu huyo,wanaooa mabikira ni wajinga,huu ushauri kutoka kwa Natafuta Ajira
 
Back
Top Bottom