Nimepigwa na kitu kizito, mwanamke nayetaka kumuoa nimebaini hajatulia

Nimepigwa na kitu kizito, mwanamke nayetaka kumuoa nimebaini hajatulia

Chukua hilo tukio alafu piga picha kwa binti uliozini nao then unaambiwa yule uliyelala/unakwenda kum§§%€<nya guest room ni mchumba watu!.

Usiwe mwepesi kumpiga nguruwe mshale!.
kwa hiyo unataka kuniambia kwamba jamaa aoe mwanamke ambaye anajua kabisa kuwa anachapiwa?
 
Kataa ndoa wamefika hapa? Au wamewaachieni dunia iwafunze?
Kusema ukweli ndoa ni very outdated institution. Asilimia kubwa ya watu wengi huingia huko kwa ssb ya social conformity.

Ulimwengu wa sasa unaweza kupata yote yaliyomo ndoani (can be outsourced from independent contractors) bila kuingia huko.
 
Nakuunga mkono kwa hoja yako, lakini ndugu yangu kuna mambo mengi sana yasiyofurahisha ambayo hufanywa na wachumba wa pande zote mbili kwa siri kuchunga mchumba asiyajue, sasa hili limejulikana lakini kwa njia ya hila.

Ndiyo nikasema aweza akafumbia macho na pasiwe na madhara yoyote kama mchumba huyo ana upendo kwake usiotiliwa mashaka .

Na kwa teknolojia za kisasa kuhusu sayansi ya picha ipo advanced sana, kiasi cha mtu kushindwa kutofautisha ya kweli na ya uongo.

Lakini huyo mchumba kama ni shakubimbi kweli na ameridhika naye, kipimo cha kwanza kimekwisha kupita, ampime kwa mambo mengine sasa kisha achukue hatua nadhubuti.

Kwenye mabaraza ya usuluhishi wa ndoa, huwa hatutoi ushauri wa kuvunja bali wa kujenga.
Ndugu elewa kitu kimoja mwanaume anaweza kuoa matala na Wala hamna shida je mwanamke anaweza kuolewa matala ,,,,,

By nature mwanamke kama ikitokea amechepuka basi kwa Siri sanaa na bahati mbaya hata watu waseme jamani kapitiwa ,,,,

Mwanamke Tena anayekubali kurodi tendo lake huyo hana akili iabisa
 
kwa hiyo unataka kuniambia kwamba jamaa aoe mwanamke ambaye anajua kabisa kuwa anachapiwa?
Fanya maamuzi.

Ila wewe umewavua wangapi chupi na wengine ni wachumba wake wa watu?.

• Usione dhambi mbaya kwako..!
 
Ndugu zangu mimi nipo DSM nimechumbia Arusha.. Na nilipanga ndoa iwe mwezi Wa kumi mwishoni.. Sasa leo wakati nimetulia nikapokea SMS kwenye namba ngeni ikaniambia kwamba mwanamke ninae taka kumuoa ana wanaume wengi na hata nilivyo mvisha pete bado yupo nao na jana alikua lodge na mwanaume.

Nikabisha nikamwambia anipe ushahidi jamaa akaniomba namba za whatsapp nikampa nilicho kikuta sikuamini kumbe jamaa alimrekodi wakati anamla asee ni yeye Kabisa sio editing jamaa kaniambia kwamba kama nina oa nioe tu lakini nijue kwamba naoa mtu Wa namna gani. Hapa nilipo nahisi presha kabisa...

Naombeni ushauri
Be a man bro kwa umr huo kuna kipi kigen unaoa ili ugonge au heshima kua una mke na azae oa tia mimba atatulia tu hao wanaokujaza upepo kua hajatulia ukiwafuatilia wapenz wao utasema bora ya wewe hizo ni kama zile story za mtaan flan malaya ana ukimw wakat hata kumpima hujawai sikiliza moyo wako fanya kinachokupa furaha
 
Bikra ndo tunao kwa ndoa tushawaambia hawa wengine ni sogeza tuishi tu mkuu.......

Tatizo vijana mchana sana notes za masomo ya nyuma....
Kwann una code zangu mkuu?
Kuishi nao tusikatae lakini kuoa? Hapana aisee..
 
Kwanza huyo jamaa aliyepata namba yako ulipaswa kumpuuza ili kuepusha stress za mapema, pili whatever umetoa au hujatoa mahali, kata shauli kama umempenda naye hivyo, endelea na process.

Vinginevyo hutapata au utapata ajuza, wako tu peke yako -Asante.
Jamaa bana, moto umewaka unamwambia mtu aingie tu akaokoe baiskeli. Angekuwa demu tu hajatoa mahari wala nini hapo sawa. Angeweza kuwaza labda kwa kuwa hajampa indications za kumuoa, anahaha kwamtu wake wa zamani.

Mpaka ana recordiwa maana yake anamkubali sana huyo mtu
 
Ndugu zangu mimi nipo DSM nimechumbia Arusha.. Na nilipanga ndoa iwe mwezi Wa kumi mwishoni.. Sasa leo wakati nimetulia nikapokea SMS kwenye namba ngeni ikaniambia kwamba mwanamke ninae taka kumuoa ana wanaume wengi na hata nilivyo mvisha pete bado yupo nao na jana alikua lodge na mwanaume.

Nikabisha nikamwambia anipe ushahidi jamaa akaniomba namba za whatsapp nikampa nilicho kikuta sikuamini kumbe jamaa alimrekodi wakati anamla asee ni yeye Kabisa sio editing jamaa kaniambia kwamba kama nina oa nioe tu lakini nijue kwamba naoa mtu Wa namna gani. Hapa nilipo nahisi presha kabisa...

Naombeni ushauri wakuu
Ndiyo vizuri nyota njema huanzia nyumbani, wako wengi hao
 
Back
Top Bottom