Nimepigwa na kitu kizito, mwanamke nayetaka kumuoa nimebaini hajatulia

Nimepigwa na kitu kizito, mwanamke nayetaka kumuoa nimebaini hajatulia

Aliyekutumia hiyo video lazima kuna jambo lunamuumiza labda kwa kumkosa huyo binti au whatever.. sidhani kama ana nia njema kwako..au unadhani anakupenda sana haki akupe taarifa?

Kwahiyo unamshauri mwenzio aoe kisa huyu mwanamme mwenzie anamuonea wivu?

Sisi wanaume hatuko hivyo, uwa tunawaonea huruma wanaume walio oa Malaya kwa bahati mbaya. Hata ukimla mke wa mtu, lazima feeling ya huruma kwa mme wake ije.
 
Siku zote mtu anaekuletea umbea kukuharibia mambo yako ni wa kuwa nae makini. Umethibitisha hiyo video ni ya karibuni?
Hata kama ni ya zamani. Unaanzaje kuoa Malaya? Assume huyo jamaa ni mwanao wa kiume kakushirikisha hiyo issue unamshaurije?
 
unampoteza mwenzako aisee
Chukua hilo tukio alafu piga picha kwa binti uliozini nao then unaambiwa yule uliyelala/unakwenda kum§§%€<nya guest room ni mchumba watu!.

Usiwe mwepesi kumpiga nguruwe mshale!.
 
Vijana mnapotea na ushauri wenu wa kipuuzi. Hivi unadhani kiapo Cha kanisa kinaweza badilisha tabia ya mwanamke akishamuoa ?

Katika kipindi ambacho kuoa bikra ni muhimu, ni kipindi hiki. Maana technology itakuja kukuumbua siku moja ukioa mwanamke Malaya au ambaye keshapitia mahusiano kibao uko nyuma.

Hawa mabinti wanarekodiwa na kupigwa picha za uchi wakifanya mapenzi kwa kutaka wao au kwa kutegeshewa. Just assume ushaoa unakutana na picha chafu za mkeo. Utafanyaje?
Mkuu unachoongea kipo dhahiri na kinafahamika na kila mwanaume.

Sasa sijui unaelewa kwamba hata wasioonekana katika picha wakifanya ufuska, ni malaya waliochangamka?

Je kwa kutoonekana kwao ni kipimo cha kutosha cha kuwapima uadilifu wao?

Ni jamii nzima tuliyomo haina maadili, ni wanaume wachache sana wanaobahatisha kuoa mwanamke bikra.

Je waliotolewa bikra zao kabla ya ndoa wasiolewe kwa sababu ni malaya?

Je mtoto wako kama angelikuja kukupa taarifa kuwa kapata mchumba tayari wana mahusiano na anataka kumuoa ungelimshauri achunguze bikra yake kwanza?

Kumbuka unapotoa ushauri kwa watu waliopo katika mahusiano, hauwezi kuwashauri kufuata vigezo kwa sababu vihunzi hivyo tayari walishavivuka bila kukushirikisha.

Hivyo yakupasa kuwapatanisha na si kuwatenganisha.

Mambo ni mengi wakati ni mchache
 
Mkuu unachoongea kipo dhahiri na kinafahamika na kila mwanaume.

Sasa sijui unaelewa kwamba hata wasioonekana katika picha wakifanya ufuska, ni malaya waliochangamka?

Je kwa kutoonekana kwao ni kipimo cha kutosha cha kuwapima uadilifu wao?

Ni jamii nzima tuliyomo haina maadili, ni wanaume wachache sana wanaobahatisha kuoa mwanamke bikra.

Je waliotolewa bikra zao kabla ya ndoa wasiolewe kwa sababu ni malaya?

Je mtoto wako kama angelikuja kukupa taarifa kuwa kapata mchumba tayari wana mahusiano na anataka kumuoa ungelimshauri achunguze bikra yake kwanza?

Kumbuka unapotoa ushauri kwa watu waliopo katika mahusiano, hauwezi kuwashauri kufuata vigezo kwa sababu vihunzi hivyo tayari walishavivuka bila kukushirikisha.

Hivyo yakupasa kuwapatanisha na si kuwatenganisha.

Mambo ni mengi wakati ni mchache
Bikra zipo nyingi sana, sema ni uzembe wa vijana kutafuta wanawake wanaojielewa.

Binti yangu kama anafanya ujinga hata simuonei huruma kukosa mchumba.
 
Weka wazi ajue Nini umeona Kuna vitu havivumiliki aisee kama mtu ushachumbiwa makando kando Ya Nini
 
Ushauri kwa wale ambao mpo kwenye uchumba ni vema ukatujulisha mapema sifa ya mwenzio tukakushauri mapema kuliko kusubilia yamekufika shingoni huko ndo unakumbuka ninawana wangu JF wanishauri la hasha nasema hvo kwasababu ninauzoefu nimeoa na nina watoto 2 mziki wa ndoa sio wakitoto kama inavofikirika inaitaji akiri ya ziada.
 
Ndugu zangu mimi nipo DSM nimechumbia Arusha.. Na nilipanga ndoa iwe mwezi Wa kumi mwishoni.. Sasa leo wakati nimetulia nikapokea SMS kwenye namba ngeni ikaniambia kwamba mwanamke ninae taka kumuoa ana wanaume wengi na hata nilivyo mvisha pete bado yupo nao na jana alikua lodge na mwanaume.

Nikabisha nikamwambia anipe ushahidi jamaa akaniomba namba za whatsapp nikampa nilicho kikuta sikuamini kumbe jamaa alimrekodi wakati anamla asee ni yeye Kabisa sio editing jamaa kaniambia kwamba kama nina oa nioe tu lakini nijue kwamba naoa mtu Wa namna gani. Hapa nilipo nahisi presha kabisa...

Naombeni ushauri wakuu
😂😂😂 Maamuzi yapo wazi kabisa muache mapema atakubambika watoto huyo
 
Ndugu zangu mimi nipo DSM nimechumbia Arusha.. Na nilipanga ndoa iwe mwezi Wa kumi mwishoni.. Sasa leo wakati nimetulia nikapokea SMS kwenye namba ngeni ikaniambia kwamba mwanamke ninae taka kumuoa ana wanaume wengi na hata nilivyo mvisha pete bado yupo nao na jana alikua lodge na mwanaume.

Nikabisha nikamwambia anipe ushahidi jamaa akaniomba namba za whatsapp nikampa nilicho kikuta sikuamini kumbe jamaa alimrekodi wakati anamla asee ni yeye Kabisa sio editing jamaa kaniambia kwamba kama nina oa nioe tu lakini nijue kwamba naoa mtu Wa namna gani. Hapa nilipo nahisi presha kabisa...

Naombeni ushauri wakuu
😂😂😂 Maamuzi yapo wazi kabisa muache mapema atakubambika watoto
 
Ndugu zangu mimi nipo DSM nimechumbia Arusha.. Na nilipanga ndoa iwe mwezi Wa kumi mwishoni.. Sasa leo wakati nimetulia nikapokea SMS kwenye namba ngeni ikaniambia kwamba mwanamke ninae taka kumuoa ana wanaume wengi na hata nilivyo mvisha pete bado yupo nao na jana alikua lodge na mwanaume.

Nikabisha nikamwambia anipe ushahidi jamaa akaniomba namba za whatsapp nikampa nilicho kikuta sikuamini kumbe jamaa alimrekodi wakati anamla asee ni yeye Kabisa sio editing jamaa kaniambia kwamba kama nina oa nioe tu lakini nijue kwamba naoa mtu Wa namna gani. Hapa nilipo nahisi presha kabisa...

Naombeni ushauri wakuu
Ni kabila gani?
 
Bikra ndo tunao kwa ndoa tushawaambia hawa wengine ni sogeza tuishi tu mkuu.......

Tatizo vijana mchana sana notes za masomo ya nyuma....
Bikra haihusiani na kutulia.
Unaweza kuoa bikra ila akawa mdangaji angali yupo ndani ya ndoa.
Jamaa alikutana tu na mwanamke ambaye hajatulia.
 
Aliyoyafanya lipi wewe hujafanya ukitoa la kujirecord? Kama upo So fresh sooo clean achana nae😥
Shida sio kufanya shida amefanya wakati gani!?
Mwanamke kama umechumbiwa na ukatolewa mahari halafu ukachepuka basi ni malaya kiwango cha SGR.
 
Makabila ya kanda ya ziwa yana majina ya watu wanaovuruga uchumba wa mtu, wanaitwa 'bhasobhezi', hiyo ni title kabisa yaani.

Kwa hoja yako hiyo embu ichimbe kiundani zaidi ili uelewe mantiki ya wewe kupewa taarifa hiyo katika kipindi hiki ni nini hasa?

Je mtu asiyekufahamu wewe, anaweza kukupenda zaidi kukuhabarisha habari za faida?

Rudi kwenye nafsi yako, hivi kweli wewe ni msafi wa mfano kuweza kumnyooshea mwenzako kidole kwa haki juu ya mambo anayofanya ambayo hujawahi kuyafanya?

Rudi kwenye jamii, hivi tamaduni za kuoa mabinti mabikra bado zipogo, wangapi wanyooshe mikono juu kutudhihirishia kuwa wao walioa vigori na bikra zao og sealed, na siyo zile bikra feki?

Kijana, angalia mizani ya upendo wenu na huyo mwenzako upoje?

Huyo msichana mchumba wako yupo kwenye vita ngumu sana na wabaya wake pamoja na mahawara zake ili asiweze kufanikiiaha ndoto zake za kuolewa.

Badala yake anatakiwa abaki nao hao warusha picha wakimtumia kama mtumwa wao wa kingono bila ya uelekeo, embu okoa jahazi kiume.

Kihunzi cha kwanza cha asessment muhimu katika maisha ya ndoa umekiruka kirahisi tena kwa kurahisishiwa na vishoka, sasa umebakiza vichache virahisi ambavyo utakuja kuvimalizia mkianza kuishi pamoja na utamuwini vizuri sana huyo mwanamke utapoishi naye.

Huwa ni mtihani mkubwa sana kudhani umeoa mwanamke 'wautulie' kumbe ni kipanga kisichokosa mawindo!

Umeshamwelewa baadhi ya background ya tabia zake ni rahisi sasa kuweza kuishi naye kama ni kweli aliyopigwa nayo picha aliyafanya sijui mwaka gani, atajirekebisha na kuachana nayo, maana mambo haya ni hulka ya vijana wote wa rika lenu.

Na mkiona mmefanikiwa na kuanza kuishi pamoja na kwa malengo, tabia hizo hujivua zenyewe mwilini mwa mtu kama vile Ccm ya Kikwete na Mukama ilivyojivua gamba 2011😁😁😜.

Itapendeza ukimuoa na kuzipangua figisu na fitina zote anazopigwa nazo mwenzako.

Maana saazingine yawezekana naye huko kashatumiwa kashifa zako ili kuwavuruga ili lengo lenu lisiwezekane kama nilvyokwisha sema.
Dah bonge la ushauli Mwana aolee mtaa
 
Nioe hatari ndugu?? Maana mahari nilisha toa na pete ya uchumba tayari bado ndoa tu ndio nimetumiwa ujumbe huu
ila kuna kujua mtu ana mwanaume/mwanamke mwingine

Ila picha ya mwenzi wako akiwa anazagamua nayo yaweza kuwa bonge la picha la kutisha aiseeh!
Hapana
Muache tu ili uwe na amani naye awe na usalama!
 
Narudi kwa issue ya mtu kukutumia picha za ngono za mchumba wako!
Ujue zitasambaa!
Mlinde huyo mwanamke.
 
Back
Top Bottom