Nimepigwa na kitu kizito, mwanamke nayetaka kumuoa nimebaini hajatulia

Nimepigwa na kitu kizito, mwanamke nayetaka kumuoa nimebaini hajatulia

Wewe umeshavua wangapi na wengine bila kujua ni wachumba wa watu?.

Muite muulize kama yupo serious, kisha akalishwe kitako kuambiwa ukweli wa maisha ya Ndoa then chukua mke.

Ukitaka wa kwako ambaye hajaguswa basi kamchukue hospitali akiwa katoka tumboni umlee hadi uzeeni akiwa ndani ya chumba chenye kufuri 100!!.
Una moyo mkuu sana.
Unaweza kula cjakula chenye tone la kinyesi?
 
mwite aje DSM na wewe ichakate hata wiki baada ya hapo mwambie mimi na wewe mwisho huku ukimwonesha ushahidi wa video uliyotumiwa.
 
Wewe umeshavua wangapi na wengine bila kujua ni wachumba wa watu?.

Muite muulize kama yupo serious, kisha akalishwe kitako kuambiwa ukweli wa maisha ya Ndoa then chukua mke.

Ukitaka wa kwako ambaye hajaguswa basi kamchukue hospitali akiwa katoka tumboni umlee hadi uzeeni akiwa ndani ya chumba chenye kufuri 100!!.
Chumba chenye kufuri 100 na mbususu nayo ai-lock na kufuri 100....

NAKAZIA...
 
Temana nae mkuu. Hakuna namna nyingine huyo temana nae. Kama ameendelea kuliwa hata baada ya kumvisha pete huyo achana nae mkuu,, achana nae mapema usije kuua mtu huko mbele.

Huyo anachotaka ni ndoa tu ila hakupendi. Mimi pia ilitokea hivyo mwaka jana, niko na demu kumbe kavishwa pete na anakuja kwangu namla kama kawaida, alivyoolewa nikaachana nae ila bado ananitaka nimpe mtalimbo ila namkwepa. Hata nikimtaka leo namla. Mumewe hajui chochote bora hata wewe unajua.

Wanawake wa hivyo sio wa kuoa, achana nae nakushauri. Shukuru umejua mapema, achana nae nakushauri. Huu ni ushauri wa bure, shauri yako.
Mleta mada ishi hapa.
 
Achana naye huyo kama ni kweli.
Kuna ishara mnapewa mapema sana, sema huwa tuna tabia ya kukaza fuvu...
Hata kama inahiyoweakness kwa kipindi hicho angejitahidi kutulia..
Unaoa malaya hapo ndugu..hatari sana sepa zako
 
Ndugu zangu mimi nipo DSM nimechumbia Arusha.. Na nilipanga ndoa iwe mwezi Wa kumi mwishoni.. Sasa leo wakati nimetulia nikapokea SMS kwenye namba ngeni ikaniambia kwamba mwanamke ninae taka kumuoa ana wanaume wengi na hata nilivyo mvisha pete bado yupo nao na jana alikua lodge na mwanaume.

Nikabisha nikamwambia anipe ushahidi jamaa akaniomba namba za whatsapp nikampa nilicho kikuta sikuamini kumbe jamaa alimrekodi wakati anamla asee ni yeye Kabisa sio editing jamaa kaniambia kwamba kama nina oa nioe tu lakini nijue kwamba naoa mtu Wa namna gani. Hapa nilipo nahisi presha kabisa...

Naombeni ushauri wakuu
Atatulia ukimuoa kwasasa bado anamachaguo mengi ikiwemo na wewe....
 
Swala gumu km hili maamuzi yanabakia kuwa yako , mimi kuoa mwanamke aliyepigwa-pigwa sipendi na nachukia ila basi .
 
Ndugu zangu mimi nipo DSM nimechumbia Arusha.. Na nilipanga ndoa iwe mwezi Wa kumi mwishoni.. Sasa leo wakati nimetulia nikapokea SMS kwenye namba ngeni ikaniambia kwamba mwanamke ninae taka kumuoa ana wanaume wengi na hata nilivyo mvisha pete bado yupo nao na jana alikua lodge na mwanaume.

Nikabisha nikamwambia anipe ushahidi jamaa akaniomba namba za whatsapp nikampa nilicho kikuta sikuamini kumbe jamaa alimrekodi wakati anamla asee ni yeye Kabisa sio editing jamaa kaniambia kwamba kama nina oa nioe tu lakini nijue kwamba naoa mtu Wa namna gani. Hapa nilipo nahisi presha kabisa...

Naombeni ushauri wakuu
Haitakiwi ushauri hapa. We ndio unamjua na unatakiwa kufanya maamuzi kama utaweza kuvumilia uzinzi wake haya kama huwezi hayaa. Kuna jamaa yuko Dar alitoka kwenye sendoff Jmosi halafu jmosi inayofuatia ndio harusi wako na mke mtarajiwa kwenye gari yake kumshusha akasahua kitochi kwenye gari ya mwamba sms alizokuta kwenye kitochi alitaka kuzimia. Alipiga chini fasta na Jmosi alienda ye na Ndugu zake wakala na kunywa maana walishalipia almost kila kitu na alikuja kuoa pisi nyingine baadae.
 
Wewe umeshavua wangapi na wengine bila kujua ni wachumba wa watu?.

Muite muulize kama yupo serious, kisha akalishwe kitako kuambiwa ukweli wa maisha ya Ndoa then chukua mke.

Ukitaka wa kwako ambaye hajaguswa basi kamchukue hospitali akiwa katoka tumboni umlee hadi uzeeni akiwa ndani ya chumba chenye kufuri 100!!.
Hujaelewa mada wewe😂😂, unaambiwa mtu hajatulia. Elegant neno KUTULIA.
 
Kuna toxic, venom na poison vyote vina madhara ila kuna kingne hakiuwi na kuna vingne vinauwa cha msingi ni kua makini tu
 
Hivi kumbe Kuna watu Bado wanaoa ndo najua sasa hv....

Ukitaka kuoa lazima ujitoe ubongo sio akili Tena... Ukioa mwanamke sio bikra Ina maana Kuna washkaji walikua wanatomber mbaya mbovu...
 
Jamaa aliyekutumia hiyo video ni mpumbavu anayetaka huyo demu hasiolewe ili amcheke. Kwa uzoefu huyo ni bwana wake wa muda mrefu lakini alikuwa anazingua kumuoa huyo demu,yaani alikuwa anampiga kalenda huku anampenda. Sasa demu kachoka kalenda zake umetokea wewe upo serious na ndoa akaamua kuolewa japo bado anampenda huyo jamaa yake, sasa jamaa katumia udhaifu wa kupendwa na demu kumharibia na ameshafanikiwa tayari.

Kama ujaweza kusamehe na kuoa basi muoe na nakihakikishia atakuwa wife material sana kwako. Kama unaona hiyo video itakutesa kwenye maisha yenu ya ndoa basi achana nae kwa usalama wa afya yako ya akili.
 
Back
Top Bottom