Nimepigwa na kitu kizito, mwanamke nayetaka kumuoa nimebaini hajatulia

Nimepigwa na kitu kizito, mwanamke nayetaka kumuoa nimebaini hajatulia

Ndugu zangu mimi nipo DSM nimechumbia Arusha.. Na nilipanga ndoa iwe mwezi Wa kumi mwishoni.. Sasa leo wakati nimetulia nikapokea SMS kwenye namba ngeni ikaniambia kwamba mwanamke ninae taka kumuoa ana wanaume wengi na hata nilivyo mvisha pete bado yupo nao na jana alikua lodge na mwanaume...nikabisha nikamwambia anipe ushahidi jamaa akaniomba namba za whatsapp nikampa nilicho kikuta sikuamini kumbe jamaa alimrekodi wakati anamla asee niyeye Kabisa sio editing jamaa kaniambia kwamba kama nina oa nioe tu lakini nijue kwamba naoa mtu Wa namna gani.... Hapa nilipo nahisi presha kabisa... Naombeni ushauri wakuu
Makabila ya kanda ya ziwa yana majina ya watu wanaovuruga uchumba wa mtu, wanaitwa 'bhasobhezi', hiyo ni title kabisa yaani.

Kwa hoja yako hiyo embu ichimbe kiundani zaidi ili uelewe mantiki ya wewe kupewa taarifa hiyo katika kipindi hiki ni nini hasa?

Je mtu asiyekufahamu wewe, anaweza kukupenda zaidi kukuhabarisha habari za faida?

Rudi kwenye nafsi yako, hivi kweli wewe ni msafi wa mfano kuweza kumnyooshea mwenzako kidole kwa haki juu ya mambo anayofanya ambayo hujawahi kuyafanya?

Rudi kwenye jamii, hivi tamaduni za kuoa mabinti mabikra bado zipogo, wangapi wanyooshe mikono juu kutudhihirishia kuwa wao walioa vigori na bikra zao og sealed, na siyo zile bikra feki?

Kijana, angalia mizani ya upendo wenu na huyo mwenzako upoje?

Huyo msichana mchumba wako yupo kwenye vita ngumu sana na wabaya wake pamoja na mahawara zake ili asiweze kufanikiiaha ndoto zake za kuolewa.

Badala yake anatakiwa abaki nao hao warusha picha wakimtumia kama mtumwa wao wa kingono bila ya uelekeo, embu okoa jahazi kiume.

Kihunzi cha kwanza cha asessment muhimu katika maisha ya ndoa umekiruka kirahisi tena kwa kurahisishiwa na vishoka, sasa umebakiza vichache virahisi ambavyo utakuja kuvimalizia mkianza kuishi pamoja na utamuwini vizuri sana huyo mwanamke utapoishi naye.

Huwa ni mtihani mkubwa sana kudhani umeoa mwanamke 'wautulie' kumbe ni kipanga kisichokosa mawindo!

Umeshamwelewa baadhi ya background ya tabia zake ni rahisi sasa kuweza kuishi naye kama ni kweli aliyopigwa nayo picha aliyafanya sijui mwaka gani, atajirekebisha na kuachana nayo, maana mambo haya ni hulka ya vijana wote wa rika lenu.

Na mkiona mmefanikiwa na kuanza kuishi pamoja na kwa malengo, tabia hizo hujivua zenyewe mwilini mwa mtu kama vile Ccm ya Kikwete na Mukama ilivyojivua gamba 2011😁😁😜.

Itapendeza ukimuoa na kuzipangua figisu na fitina zote anazopigwa nazo mwenzako.

Maana saazingine yawezekana naye huko kashatumiwa kashifa zako ili kuwavuruga ili lengo lenu lisiwezekane kama nilvyokwisha sema.
 
Ndugu zangu mimi nipo DSM nimechumbia Arusha.. Na nilipanga ndoa iwe mwezi Wa kumi mwishoni.. Sasa leo wakati nimetulia nikapokea SMS kwenye namba ngeni ikaniambia kwamba mwanamke ninae taka kumuoa ana wanaume wengi na hata nilivyo mvisha pete bado yupo nao na jana alikua lodge na mwanaume.

Nikabisha nikamwambia anipe ushahidi jamaa akaniomba namba za whatsapp nikampa nilicho kikuta sikuamini kumbe jamaa alimrekodi wakati anamla asee ni yeye Kabisa sio editing jamaa kaniambia kwamba kama nina oa nioe tu lakini nijue kwamba naoa mtu Wa namna gani. Hapa nilipo nahisi presha kabisa...

Naombeni ushauri wakuu
Mshukuru sana huyo jamaa mtumie hata kahela ka beer tatu.

Hivyo ndivyo wanaume tunaishi hakuna kupepesa pepesa.
 
Makabila ya kanda ya ziwa yana majina ya watu wanaovuruga uchumba wa mtu, wanaitwa 'bhasobhezi', hiyo ni title kabisa yaani.

Kwa hoja yako hiyo embu ichimbe kiundani zaidi ili uelewe mantiki ya wewe kupewa taarifa hiyo katika kipindi hiki ni nini hasa?

Je mtu asiyekufahamu wewe, anaweza kukupenda zaidi kukuhabarisha habari za faida?

Rudi kwenye nafsi yako, hivi kweli wewe ni msafi wa mfano kuweza kumnyooshea mwenzako kidole kwa haki juu ya mambo anayofanya ambayo hujawahi kuyafanya?

Rudi kwenye jamii, hivi tamaduni za kuoa mabinti mabikra bado zipogo, wangapi wanyooshe mikono juu kutudhihirishia kuwa kuwa wao walioa vigori na bikra zao og sealed, na siyo zile bikra feki?

Kijana, angalia mizani ya upendo wenu na huyo nwenzako upoje?

Huyo msichana mchumba wako yupo kwenye vita ngumu sana na wabaya wake pamoja na mahawara zake ili asiweze kufanikiiaha ndoto zake za kuolewa.

Badala yake anatakiwa abaki nao hao warusha picha wakimtumia kama mtumwa wao wa kingono bila ya uelekeo, embu okoa jahazi kiume.

Kihunzi cha kwanza cha asessment muhimu katika maisha ya ndoa umekiruka kirahisi tena kwa kurahisishiwa na vishoka, sasa umebakiza vichache virahisi ambavyo utakuja kuvimalizia mkianza kuishi pamoja na utamuwini vizuri sana huyo mwanamke ukiiahi naye.

Huwa ni mtihani mkubwa sana kudhani umeoa mwanamke 'wautulie' kumbe ni kipanga kisichokosa mawindo!

Umeshamwelewa baadhi ya background ya tabia zake ni rahisi sasa kuweza kuishi naye kama ni kweli aliyopigwa nayo picha akiyafanya, atajirekebisha na kuachana nayo, maana mambo haya ni hulka ya vijana wote wa rika lenu.

Na mkiona mmefanikiwa na kuannza kuishi pamoja na kwa malengo, tabia hizo hujiua zenyewe mwilini mwa mtu kama vile Ccm ya Kikwete na Mukama ilivyojivua gamba 2011😁😁😜
Itapendeza ukimuoa na kuzipangua figisu na fitina zote anazopigwa mwenzako.

Maana saazingine yawezekana naye huko kashatumiwa kashifa zako ili kuwavuruga lengo lenu lisiwezekane kama nilvyokwisha sema.
Ndugu ,,,siku njema huonekana tangu asubuhi

Ebu fikiria amekua na mchumba seriously kabisa mpaka Pete hadi posa tayari kimebakia ndoa Bado unagawa uroda kwingine,,,,

Hapo aachane na mpango huo
 
Pole sana jomba huyo atakisumbua sana mbeleni sana atatulia mwezi mmoja wa ndoa kisha ataanza kuonyesha tabia yake.Ushauri wangu share swala hili kwa wazazi wako na wazazi wake kisha mfikie maelewano ya kutangaza kutengua mipango ya ndoa,vinginevyo ni kujitafutia ugonjwa wa pressure nawe nakuona u bado kijana.
 
Badala ya kulalamika ungemshukuru Mungu kwa kukuonyesha haya mapema kabla hujaoa.
na ushahidi umepewa unataka nini zaidi? Mshukuru Mungu na waambie ukweli ndugu zako, piga chini hiyo takataka
 
Natafuta ajira kila siku anaanzisha nyuzi za kuwaelimisha vijana lakini hamsikii ngoja yawakute.

Umeshaambiwa kuwa mwanaume hutakiwi kuteseka kutafuta maisha ili uje kuwa mkombozi wa mwanamke malaya na mpumbavu.

Inashangaza mwanaume anateseka kutafuta maisha akisha yapata anaenda kuoa limalaya ambalo kipindi anajitafuta lilikuwa linamuona kama mavi,hali yakuwa kuna maelfu ya mabinti wenye nia ya dhati ya kuolewa lakini hawataki kwa kuwaona washamba kwa sababu hawajui kujichubua na kuvaa kopo na kucha bandia.
 
Wewe umeshavua wangapi na wengine bila kujua ni wachumba wa watu?.

Muite muulize kama yupo serious, kisha akalishwe kitako kuambiwa ukweli wa maisha ya Ndoa then chukua mke.

Ukitaka wa kwako ambaye hajaguswa basi kamchukue hospitali akiwa katoka tumboni umlee hadi uzeeni akiwa ndani ya chumba chenye kufuri 100!!.
Hiki unacho shauri...wewe binafsi ungeweza kukifanya endapo ingetokea kwako?
 
Kwanza huyo jamaa aliyepata namba yako ulipaswa kumpuuza ili kuepusha stress za mapema, pili whatever umetoa au hujatoa mahali, kata shauli kama umempenda naye hivyo, endelea na process.

Vinginevyo hutapata au utapata ajuza, wako tu peke yako -Asante.
Unampuuza kama umebaini alichokiongea ni uongo.

Vinginevyo ni kufumba macho kwa lengo la kukwepa ngumi ya uso.
 
Back
Top Bottom