Mwamba 777
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 2,055
- 3,535
Duhhh mhuuu!!!!!!!! Woy, laahhhhh!, eti wanawake ni malaika, uongo wa Karne huu, acha kupiga wenzako na kitu kizito basiMuoe kaka wanawake ni malaika,wanawake wanabadilika,akiingia kwenye ndoa atatulia tu huyo,wanaooa mabikira ni wajinga,huu ushauri kutoka kwa Natafuta Ajira