Nimepigwa na kufungiwa ndani ya nyumba na mke wangu

Nimepigwa na kufungiwa ndani ya nyumba na mke wangu

Tajiri wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,079
Reaction score
2,947
Wakuu samahanini kwa mada zangu za kuhusu mapenzi aisee ila kusema za ukweli mapenzi yananiumiza sana hivi wanaume wenzangu mnafanyeje ili kukabiliana na hali hii?

Sasa leo wakuu nimepigwa na kufungiwa ndani na mke wangu aisee, kisa cha kunipiga ni kumuuliza kwanini unachelewa kuamka na kwanini hautaki kwenda kunifulia nguo zangu, ikawa kosa.

Akarusha ngumi na kunipiga kofi na kunizabua vibao nusu nizimie aisee, baada ya hapo akanifungia ndani na kuondoka na kwenda kwa ndugu zake huko kusikojulikana.

Kanda ya ziwa aisee🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
 
Wakuu samahanini kwa mada zangu za kuhusu mapenzi aisee ila kusema za ukweli mapenzi yananiumiza sana hivi wanaume wenzangu mnafanyeje ili kukabiliana na hali hii?

Sasa leo wakuu nimepigwa na kufungiwa ndani na mke wangu aisee, kisa cha kunipiga ni kumuuliza kwanini unachelewa kuamka na kwanini hautaki kwenda kunifulia nguo zangu, ikawa kosa.

Akarusha ngumi na kunipiga kofi na kunizabua vibao nusu nizimie aisee, baada ya hapo akanifungia ndani na kuondoka na kwenda kwa ndugu zake huko kusikojulikana.

Kanda ya ziwa aisee[emoji1317][emoji1317][emoji1317][emoji1317]
We ni jinsia gani unajua siku hizi watu wanaowana tu, hata wakiwa wanafanana kijinsia, wenyewe ndo wanaamua kwamba nani awe ke au me.
 
Bado hujaoa, hujasema, hujapigwa, hujafungiwa, hajajuta, yaani bado sana wewe muda ukifika utafunguka tu. Bladfaken wa heard
 
Hali ya Hewa inaruhusu.

JamiiForums2144198311.gif


KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Wakuu samahanini kwa mada zangu za kuhusu mapenzi aisee ila kusema za ukweli mapenzi yananiumiza sana hivi wanaume wenzangu mnafanyeje ili kukabiliana na hali hii?

Sasa leo wakuu nimepigwa na kufungiwa ndani na mke wangu aisee, kisa cha kunipiga ni kumuuliza kwanini unachelewa kuamka na kwanini hautaki kwenda kunifulia nguo zangu, ikawa kosa.

Akarusha ngumi na kunipiga kofi na kunizabua vibao nusu nizimie aisee, baada ya hapo akanifungia ndani na kuondoka na kwenda kwa ndugu zake huko kusikojulikana.

Kanda ya ziwa aisee🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Umepigwa na kufungiwa ndani na mume wako, wewe ndio umeolewa
 
Aiseeh pole Sana mkuu najua si rahisi watu kuku amini ila hayo Mambo yapo huenda unapitia wakati mgumu Sana lakini watu wakachukulia kawaida

Nakupa hizi Siri mkuu

1.ukimpiga nakitu kizito utaenda jera ila yeye akiku piga police watakucheka

2.ukimtengennezea mchezo atoweke duniani mtu wa kwanza kuhisiwa juu ya kifo chake niwewe kwa sababu ndugu zake wanajua juu ya uadui wenu

3.ukienda dawati la jinsia na watoto watakucheka ila akienda yeye ata saidiwa

4.ukiendelea kuishi nae hivyo hivyo utakuja kuuwa au kujiuwa na Kama sio kuuwa watoto mwisho wa siku utaishia jera

USHAURI WANGU
Nenda Sehemu nyingine katafute maisha mapya yenye fraha

usisahau kupoteza nae mawaailiano inchi nikubwa sana hii mkuu
 
Wakuu samahanini kwa mada zangu za kuhusu mapenzi aisee ila kusema za ukweli mapenzi yananiumiza sana hivi wanaume wenzangu mnafanyeje ili kukabiliana na hali hii?

Sasa leo wakuu nimepigwa na kufungiwa ndani na mke wangu aisee, kisa cha kunipiga ni kumuuliza kwanini unachelewa kuamka na kwanini hautaki kwenda kunifulia nguo zangu, ikawa kosa.

Akarusha ngumi na kunipiga kofi na kunizabua vibao nusu nizimie aisee, baada ya hapo akanifungia ndani na kuondoka na kwenda kwa ndugu zake huko kusikojulikana.

Kanda ya ziwa aisee🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Hizi chai na ujinga ujinga wenu mnatuharibia JF,kama hauna cha kupost si ukae kimya ufanye shughuli nyingine.

Kwa hiyo kakupiga na kakuachia simu upost,alivyo kupiga.
 
Wakuu samahanini kwa mada zangu za kuhusu mapenzi aisee ila kusema za ukweli mapenzi yananiumiza sana hivi wanaume wenzangu mnafanyeje ili kukabiliana na hali hii?

Sasa leo wakuu nimepigwa na kufungiwa ndani na mke wangu aisee, kisa cha kunipiga ni kumuuliza kwanini unachelewa kuamka na kwanini hautaki kwenda kunifulia nguo zangu, ikawa kosa.

Akarusha ngumi na kunipiga kofi na kunizabua vibao nusu nizimie aisee, baada ya hapo akanifungia ndani na kuondoka na kwenda kwa ndugu zake huko kusikojulikana.

Kanda ya ziwa aisee🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Wewe na mkeo hamna tofauti, hizi nyuzi za upinde dizaini zinakera sana! Dume lijari haliwezi andika utumbo kama huu...endelea kupigwa kijana si unaona utamu....endelea endelea enh.
 
Wakuu samahanini kwa mada zangu za kuhusu mapenzi aisee ila kusema za ukweli mapenzi yananiumiza sana hivi wanaume wenzangu mnafanyeje ili kukabiliana na hali hii?

Sasa leo wakuu nimepigwa na kufungiwa ndani na mke wangu aisee, kisa cha kunipiga ni kumuuliza kwanini unachelewa kuamka na kwanini hautaki kwenda kunifulia nguo zangu, ikawa kosa.

Akarusha ngumi na kunipiga kofi na kunizabua vibao nusu nizimie aisee, baada ya hapo akanifungia ndani na kuondoka na kwenda kwa ndugu zake huko kusikojulikana.

Kanda ya ziwa aisee🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Maku nani zako hii ndio inakufaa habith la ammary!
 
Back
Top Bottom