Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
We ni jinsia gani unajua siku hizi watu wanaowana tu, hata wakiwa wanafanana kijinsia, wenyewe ndo wanaamua kwamba nani awe ke au me.Wakuu samahanini kwa mada zangu za kuhusu mapenzi aisee ila kusema za ukweli mapenzi yananiumiza sana hivi wanaume wenzangu mnafanyeje ili kukabiliana na hali hii?
Sasa leo wakuu nimepigwa na kufungiwa ndani na mke wangu aisee, kisa cha kunipiga ni kumuuliza kwanini unachelewa kuamka na kwanini hautaki kwenda kunifulia nguo zangu, ikawa kosa.
Akarusha ngumi na kunipiga kofi na kunizabua vibao nusu nizimie aisee, baada ya hapo akanifungia ndani na kuondoka na kwenda kwa ndugu zake huko kusikojulikana.
Kanda ya ziwa aisee[emoji1317][emoji1317][emoji1317][emoji1317]
Umepigwa na kufungiwa ndani na mume wako, wewe ndio umeolewaWakuu samahanini kwa mada zangu za kuhusu mapenzi aisee ila kusema za ukweli mapenzi yananiumiza sana hivi wanaume wenzangu mnafanyeje ili kukabiliana na hali hii?
Sasa leo wakuu nimepigwa na kufungiwa ndani na mke wangu aisee, kisa cha kunipiga ni kumuuliza kwanini unachelewa kuamka na kwanini hautaki kwenda kunifulia nguo zangu, ikawa kosa.
Akarusha ngumi na kunipiga kofi na kunizabua vibao nusu nizimie aisee, baada ya hapo akanifungia ndani na kuondoka na kwenda kwa ndugu zake huko kusikojulikana.
Kanda ya ziwa aiseeππ»ππ»ππ»ππ»
Akili kubwa sana[emoji109]We ni jinsia gani unajua siku hizi watu wanaowana tu, hata wakiwa wanafanana kijinsia, wenyewe ndo wanaamua kwamba nani awe ke au me.
A very good question indeedWe ni jinsia gani unajua siku hizi watu wanaowana tu, hata wakiwa wanafanana kijinsia, wenyewe ndo wanaamua kwamba nani awe ke au me.
Huna huruma dada Evelyn chumvi? Evelyn SaltSafi sana Bhoke rukia mateke ya kangaroo hii mme yako, inayoingiaga na period.
Huruma kwa ajili ya nini?Huna huruma dada Evelyn chumvi? Evelyn Salt
Hizi chai na ujinga ujinga wenu mnatuharibia JF,kama hauna cha kupost si ukae kimya ufanye shughuli nyingine.Wakuu samahanini kwa mada zangu za kuhusu mapenzi aisee ila kusema za ukweli mapenzi yananiumiza sana hivi wanaume wenzangu mnafanyeje ili kukabiliana na hali hii?
Sasa leo wakuu nimepigwa na kufungiwa ndani na mke wangu aisee, kisa cha kunipiga ni kumuuliza kwanini unachelewa kuamka na kwanini hautaki kwenda kunifulia nguo zangu, ikawa kosa.
Akarusha ngumi na kunipiga kofi na kunizabua vibao nusu nizimie aisee, baada ya hapo akanifungia ndani na kuondoka na kwenda kwa ndugu zake huko kusikojulikana.
Kanda ya ziwa aiseeππ»ππ»ππ»ππ»
Wewe na mkeo hamna tofauti, hizi nyuzi za upinde dizaini zinakera sana! Dume lijari haliwezi andika utumbo kama huu...endelea kupigwa kijana si unaona utamu....endelea endelea enh.Wakuu samahanini kwa mada zangu za kuhusu mapenzi aisee ila kusema za ukweli mapenzi yananiumiza sana hivi wanaume wenzangu mnafanyeje ili kukabiliana na hali hii?
Sasa leo wakuu nimepigwa na kufungiwa ndani na mke wangu aisee, kisa cha kunipiga ni kumuuliza kwanini unachelewa kuamka na kwanini hautaki kwenda kunifulia nguo zangu, ikawa kosa.
Akarusha ngumi na kunipiga kofi na kunizabua vibao nusu nizimie aisee, baada ya hapo akanifungia ndani na kuondoka na kwenda kwa ndugu zake huko kusikojulikana.
Kanda ya ziwa aiseeππ»ππ»ππ»ππ»
Maku nani zako hii ndio inakufaa habith la ammary!Wakuu samahanini kwa mada zangu za kuhusu mapenzi aisee ila kusema za ukweli mapenzi yananiumiza sana hivi wanaume wenzangu mnafanyeje ili kukabiliana na hali hii?
Sasa leo wakuu nimepigwa na kufungiwa ndani na mke wangu aisee, kisa cha kunipiga ni kumuuliza kwanini unachelewa kuamka na kwanini hautaki kwenda kunifulia nguo zangu, ikawa kosa.
Akarusha ngumi na kunipiga kofi na kunizabua vibao nusu nizimie aisee, baada ya hapo akanifungia ndani na kuondoka na kwenda kwa ndugu zake huko kusikojulikana.
Kanda ya ziwa aiseeππ»ππ»ππ»ππ»
Jamii forum ya mama yako?Hizi chai na ujinga ujinga wenu mnatuharibia JF,kama hauna cha kupost si ukae kimya ufanye shughuli nyingine.
Kwa hiyo kakupiga na kakuachia simu upost,alivyo kupiga.