Nimepigwa na makofi na mke wangu na kufukuzwa chumbani ameniambia nikalale chumbani kwa watoto ili aje mchepuko wake

Dah naona watu wanakusakama lakini ungeniomba ushauri tumekaa jilani face to face ningehakikisha nakutoa jino angalauo Moja au nikukate hata kidole tu ili utie adabu
 
Watu mnasema tuache makasiliko sawa kwa hali kama hii makasiliko tunayaacha vipi!!

ficha ujinga wako ili wengi wasijue kwamba wewe ni mjinga
 
Watu mnasema tuache makasiliko sawa kwa hali kama hii makasiliko tunayaacha vipi!!

ficha ujinga wako ili wengi wasijue kwamba wewe ni mjinga
Makasiriko kwa ID fake? Serious? Basi wewe ni mgonjwa wa akili tena schizophrenia kabisa wewe! Mkasirikie Baba yako ambae amekuzaa wakati yeye ni masikini
 
Huna akili kabisa! Hamjafungua tu shule nyie mazuzu mnaotarajia ku-graduate kwa rushwa?!
 
Kuna simu atakuletea wanaume wakukaze ndani kwako, Lea ujinga
 
Kichwa cha Hari tu kimetosha kuona kuwa wewe unataka tu comments za matusi
 
Kamba
 
Mmh!!!mkuu pole sana Cha msingi chakua maamuzi kama mwanaume huyo mwanamke anakuonyshea dharau ya Hali ya juu mno. Haiwezekana huyo mwanaume wake aje mpka kwako na wewe upo hiyo n dharau mno kashndwa kukupa heshima kama mume ....nadhani mueleze kwanza kabla ya kuachana naye.
 
Sukari mmewekaje kiasi hiki kwenye chai
 
Amuelezee nn uyo mwanamke atoke
Anyway swali Kw mtoa mada,

Nyumba ya nani iyoo?
 
We bwege bado hujapigwa Uko pig wa utasema tu hapa kuna kitu umekuja kupima!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…