Nimepigwa na mume

achana na sheria we mvizie usiku kalala mwamshe ile akiitikia tu mdunde na marungu maeneo atakayo umia kirahisi .. ila mlango uwe wazi ukimbie asikukamate .. ila ujiandae kuachika

Kumpiga mwenzako maeneo atakayoumia kwa urahisi ni ukatili kuliko wa IS.
 

Kwa approach ya namna hii katika ndoa haukuwa tayari kuingia kwenye ndoa. Na sasa naanza kuona kwanini jamaa anakupiga. Sisemi kuwa ni halali yeye kukupiga lakini kuna approach unayoitumia inayokiuka misingi ya ndoa. Mie sio nabii ila nakuhakikishia ukikomaa na mtazamo wa namna hii furaha ndani ya ndoa utaisikia kama story tu toka kwa mashosti zako.
 
wewe misschagga unamfundisha mwenzio utukutu eehehh...! ngoja kwanza adundwe apunguze mdomodomo... km ni mimi ukinipiga nitakukimbiza usiku kucha nitakapo kushikia hapohapo nitakuto...mba mpaka uishiwe nguvu ndiyo turudi nyumbani.
ha ha haha nitakimbia huku nimebeba mafuta ya vaseline
 
kwa usema kweli watu wengine ni mtihani sana kuishi nao anataka apewe sifa na utukufu kama mungu

usione ya mwenzio tu mpaka anakufanyia hayo jua ata wewe kuna muda anatamani akutue umemchosha cha msingi tumia passive ways utafanikiwa kuliko active measures.
 
ha ha haha nitakimbia huku nimebeba mafuta ya vaseline

mie huwa sina matata nipe maku tu nakuwa mdebwedo...ila jifanye kuninyima nyege zikinipanda nakuwa mbogo ukikatiza mbele yangu ni vichwa sinaga chamsalia yesu au mtume nikizidiwa na nyege kichwani...n
 
Hiyo ni kama kupigwa na mtu yeyote. Ni jinai inayopaswa kuripotiwa Polisi na baadaye mhusika apelekwe mahakamani. Acheni kuficha jinai kwenye kichaka cha ndoa
Hakuna Sheria ya namna hiyo
hata Hakimu anapigwa na ataendesha Kesi na manundu yake
ninyi ndio mnaowaharibu watoto wetu kila saa na vipigo au kufokewa
mpaka tunawaweka shule za Bweni kuepuka gubu za wake zetu.
Vitabu vya DINI na hata Mila zetu zinataka kuwe na amani na akibisha yeye ni wa kwanza kula kichapo
 
mie huwa sina matata nipe maku tu nakuwa mdebwedo...ila jifanye kuninyima nyege zikinipanda nakuwa mbogo ukikatiza mbele yangu ni vichwa sinaga chamsalia yesu au mtume nikizidiwa na nyege kichwani...n
we ukifanya mchezo utakuwa mbakaji
 
ni approach gani inayotumia ambayo inakiuka misingi ya ndoa? na hiyo misingi ya sheria za dini au jmt/nch? Nieleweshe mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…