Sirdirashy
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 3,243
- 3,047
Km mazoea yake just inuka kimbia hakupendi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
achana na sheria we mvizie usiku kalala mwamshe ile akiitikia tu mdunde na marungu maeneo atakayo umia kirahisi .. ila mlango uwe wazi ukimbie asikukamate .. ila ujiandae kuachika
huyu mwanaume anadhani namdharau na hataki nimpinge wala kumrekebisha wala kumshauri kwa lolote analoamua sasa anapoleta hoja tujadili kwa ajili pale mimi ninapoonesha msimamo wangu kutokubaliana naye,mfano anataka kujenga nyumba ya wazaz wake kijijin sasa mimi sikubaliani naye sisi tunaishi town hatuna nyumba tunabanana kweny nyumba za kupanga nikamwambia tujenge ya kwetu then wazazi tutawaboreshea baadae nikampa option nyingine basi we nenda kawajengee wazazi wako na mimi naenda kuwajengea wazazi wazazi wangu tukimaliza program za huko vijijin tutajenga ya kwetu sasa hapo ndo anaona ninamdharau
ha ha haha nitakimbia huku nimebeba mafuta ya vaselinewewe misschagga unamfundisha mwenzio utukutu eehehh...! ngoja kwanza adundwe apunguze mdomodomo... km ni mimi ukinipiga nitakukimbiza usiku kucha nitakapo kushikia hapohapo nitakuto...mba mpaka uishiwe nguvu ndiyo turudi nyumbani.
kwa usema kweli watu wengine ni mtihani sana kuishi nao anataka apewe sifa na utukufu kama mungu
ndiyo mkuu .. sheria wanunuliwa hakuna hakiIs that your best answer?
bora hivyo yeye anavyonipiga kama ngoma siyo ukatili? au hayo ni mahaba ?Kumpiga mwenzako maeneo atakayoumia kwa urahisi ni ukatili kuliko wa IS.
Hakuna anayepigwa pasipo sababu ndio useme ulimfanya nn
ha ha haha nitakimbia huku nimebeba mafuta ya vaseline
achana na sheria we mvizie usiku kalala mwamshe ile akiitikia tu mdunde na marungu maeneo atakayo umia kirahisi .. ila mlango uwe wazi ukimbie asikukamate .. ila ujiandae kuachika
Hongera sana ndugu hiyo huduma adimu sana miaka hii
Hakuna Sheria ya namna hiyoHiyo ni kama kupigwa na mtu yeyote. Ni jinai inayopaswa kuripotiwa Polisi na baadaye mhusika apelekwe mahakamani. Acheni kuficha jinai kwenye kichaka cha ndoa
Jamani wadau,
Naomba msaada,
Nimepigwa na mume na kuumia vibaya.
Sheria iko vipi katika hili?
bora hivyo yeye anavyonipiga kama ngoma siyo ukatili? au hayo ni mahaba ?
we ukifanya mchezo utakuwa mbakajimie huwa sina matata nipe maku tu nakuwa mdebwedo...ila jifanye kuninyima nyege zikinipanda nakuwa mbogo ukikatiza mbele yangu ni vichwa sinaga chamsalia yesu au mtume nikizidiwa na nyege kichwani...n
labda kaa ananipa hela aiseeKwani hujasikiaga mahaba niue? Hahaa
labda kaa ananipa hela aisee
ni approach gani inayotumia ambayo inakiuka misingi ya ndoa? na hiyo misingi ya sheria za dini au jmt/nch? Nieleweshe mkuuKwa approach ya namna hii katika ndoa haukuwa tayari kuingia kwenye ndoa. Na sasa naanza kuona kwanini jamaa anakupiga. Sisemi kuwa ni halali yeye kukupiga lakini kuna approach unayoitumia inayokiuka misingi ya ndoa. Mie sio nabii ila nakuhakikishia ukikomaa na mtazamo wa namna hii furaha ndani ya ndoa utaisikia kama story tu toka kwa mashosti zako.
ndiyo maana yak .. we nipige nipe hela na kukuibia uniruhusu piaHaha ha haa yaani ndo nachokupendea kwenye pesa hutaniii