ni approach gani inayotumia ambayo inakiuka misingi ya ndoa? na hiyo misingi ya sheria za dini au jmt/nch? Nieleweshe mkuu
Tatizo kubwa umeanza kumdharau kwa sababu ya:::: https://www.jamiiforums.com/mahusia...ra-katika-misingi-ya-dini-3.html#post14765525Jamani wadau,
Naomba msaada,
Nimepigwa na mume na kuumia vibaya.
Sheria iko vipi katika hili?
una mawazo mazuri ya kidume nadhani we ni(me),kwa hiyo sometimes mwanaume akija na mawazo ambayo ni less productive kwa familia yetu nikubaliane nayo?Msingi mkuu wa ndoa ni COMPROMISE. Ni lazima kwa wakati fulani wanandoa wakubali kumpromise misimamo yao kwasababu there is always a difference btn you no matter what. Approach yako ya lazima ushauri wako ukubaliwe ni dhahiri haupo tayari ku compromise. Pili, hatua unayosuggest kama mbadala ndio hiyo approach ninayoisema ni mbovu. Kila siku mtakuwa ni watu wa kilipiziana.
Shida inaanzia hapo ambapo wewe kwa tathmini yako unayaona mawazo ya mwenzio ni less productive na mwenzio haoni hivyo, in fact anaona ni productive. Bila mmoja wenu ku-compromise you won't make it, sana sana mnaibomoa familia.una mawazo mazuri ya kidume nadhani we ni(me),kwa hiyo sometimes mwanaume akija na mawazo ambayo ni less productive kwa familia yetu nikubaliane nayo?
.kwa mwanaume ni bora udharauriwe na mtoto wa miaka 15 wa kiume kuliko kudharauriwa na mwanamke.
Pole sana dada.
Wanaume wanaopiga wanawake wengi wao wana shida kwenye uanaume wao au aina ya malezi waliyopata. Kama sio ana ishu ambayo inampunguzia uanaume wake(kama vile matatizo ya nguvu za kiume,uume mdogo,kuonewa na wanaume wenzake physically);-->Wenye shida hizi huhisi kama vile ili ku-prove uanaume wao(male ego) ambao unakuwa umeshuka kwa kasi ya ajabu, basi ni lazima na muhimu wawanyanyase na kuwapiga viumbe ambao ni dhaifu kwao(wanawake, watoto); Na huwa wanakuwa wakali wakali muda wote bila sababu yoyote ya msingi.
Au utakuta something went wrong wakati wa malezi yake(malezi ya mzazi mmoja,mama yake kunyanyaswa na baba yake mbele yake alipokuwa mdogo, historia ya kuwa sexually abused alipokuwa mdogo, malezi ya kimila ambayo yanasisitiza katika kuwaona wanawake kama sio binadamu au kama vile watoto).
Ni ukale wa kizamani sana kupiga mwanamke karne hii(japokuwa nakubali asilimia 100 kuwa mara nyingine wanawake huwa wana tempt sana uwapige---lakini hii kwa mwanaume wa kawaida asie na shida kisaikolojia atajizuia, na akizidiwa sana atampiga mwanamke kofi moja au mawili; Na sio kufikia extent ya kumpiga hadi kumtoa ngeu)
Ulimfanya nini?
Umepigwa bila sababu yoyote?
achana na sheria we mvizie usiku kalala mwamshe ile akiitikia tu mdunde na marungu maeneo atakayo umia kirahisi .. ila mlango uwe wazi ukimbie asikukamate .. ila ujiandae kuachika
Msingi mkuu wa ndoa ni COMPROMISE. Ni lazima kwa wakati fulani wanandoa wakubali kumpromise misimamo yao kwasababu there is always a difference btn you no matter what. Approach yako ya lazima ushauri wako ukubaliwe ni dhahiri haupo tayari ku compromise. Pili, hatua unayosuggest kama mbadala ndio hiyo approach ninayoisema ni mbovu. Kila siku mtakuwa ni watu wa kilipiziana.
una mawazo mazuri ya kidume nadhani we ni(me),kwa hiyo sometimes mwanaume akija na mawazo ambayo ni less productive kwa familia yetu nikubaliane nayo?
polee dadaHakuna sababu YOYOTE Inayokupa haki kumpiga mtu nzima mwenzio.
polee dada
mna jeuri sana ndo maana mnatiwa vitasa na waume zenu,poza maumivuPole wewe. Usubiri uzae mabinti zako ndo wakapigwe huko . Mabinti zetu tukisikia wamepigwa sababu tutaijulia polisi, mwanaume akiwa na majeraha ya kutosha.
Wanawake ndio hawajapata malezi mabovu toka kwa mzazi mmojawapo?
Nilipooa nilibahatika kwenda na mke wangu kwao kijijini kuishi kwa muda mfupi. Mambo niliyoyaona huko ni siri yangu lakini nimeamua kuitoa leo. Baba mkwe alikuwa na wakati mgumu sana kwa vile mama mkwe alikuwa amwahodhi watoto na kumtelekeza baba mkwe. Kwa kifupi alikuwa anadharaulika kiasi kwamba nilitamani kukemea.
.
mna jeuri sana ndo maana mnatiwa vitasa na waume zenu,poza maumivu
.
Wanaume wanaopiga wanawake wengi wao wana shida kwenye uanaume wao au aina ya malezi waliyopata. Kama sio ana ishu ambayo inampunguzia uanaume wake(kama vile matatizo ya nguvu za kiume,uume mdogo,kuonewa na wanaume wenzake physically);-->Wenye shida hizi huhisi kama vile ili ku-prove uanaume wao(male ego) ambao unakuwa umeshuka kwa kasi ya ajabu, basi ni lazima na muhimu wawanyanyase na kuwapiga viumbe ambao ni dhaifu kwao(wanawake, watoto); Na huwa wanakuwa wakali wakali muda wote bila sababu yoyote ya msingi.
Au utakuta something went wrong wakati wa malezi yake(malezi ya mzazi mmoja,mama yake kunyanyaswa na baba yake mbele yake alipokuwa mdogo, historia ya kuwa sexually abused alipokuwa mdogo, malezi ya kimila ambayo yanasisitiza katika kuwaona wanawake kama sio binadamu au kama vile watoto).
Ni ukale wa kizamani sana kupiga mwanamke karne hii(japokuwa nakubali asilimia 100 kuwa mara nyingine wanawake huwa wana tempt sana uwapige---lakini hii kwa mwanaume wa kawaida asie na shida kisaikolojia atajizuia, na akizidiwa sana atampiga mwanamke kofi moja au mawili; Na sio kufikia extent ya kumpiga hadi kumtoa ngeu)
ndiyo maana yake .. wanawake wengi wanategeshaga tu wanapigwa .. mimi lazima nikuvizie nikulipize tuTunahitaji wanawake zaidi kama wewe.
The number of foolish women is too damn high. Kila kitu kuinamisha kichwa.
Ukinipiga utapigwa tu. Najua nitaishia ICU lakini na wewe utaishia kwa babu seya.
Ndio hivyo labda umejiandaa kuachana nae dadangu vinginevyo vumilianeni ndio maisha ya ndoa
kwahiyo unamaanisha kwa sababu naishi naye kimapenzi ndo nikubali unyanyasaji anaonifanyia?
Pole wewe. Usubiri uzae mabinti zako ndo wakapigwe huko . Mabinti zetu tukisikia wamepigwa sababu tutaijulia polisi, mwanaume akiwa na majeraha ya kutosha.