Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
pole sana, huyo mwanamke stress zake anataka kukushushia wewe. kwani mumewe ni mtoto mdogo mpaka umpeleke? na wewe acha urafiki na wanaume waliooa, hususan majirani haswa wenye ndoa zenye migogoro
Aisee ningekuwa mimi ningemvurunda mbaya dah...uje tu na kuanza
Duh! inasikitisha sana, sasa ina maana umekubali tuhuma hizo? huoni ingekuwa ni busara kwenda kwa rafiki yako na kujadili juu ya fedheha hiyo uliyofanyiwa na mkewe?
Mimi hapa sielewi kabisa, yaani mke anaweza kuamini kabisa kuwa mumewe ambaye ni mtu mzima na akili zake timamu kwamba anaweza kushawishiwa na watu au mtu fulani kufanya jambo bila utashi wake! basi huyo hafai kuitwa mume kwani akili zake ni za kushikiwa na haiyumkini inaweza ikatokea akashawishiwa kuwa shoga na akakubali...........
Muda huu nikiwa nangoja basi ili nirudi nyumbani kutoka kazini mara nikamuona mke wa jirani yangu akija huku akiwa amenuna na kukunja sura.
Alikuwa anatembea kwa mwendo wa kasi kuelekea upande nilioko.
Aliponifikia, akanikunja shati na kuanza kunipiga vibao, nikiwa katika hali ya mshangao, watu waliokuwepo kituoni wakamshika, ndipo alipoanza kuporomosha matusi "mwacheni nimshikishe adabu, anampeleka mume wangu kunywa pombe na kumtafutia wanawake".
Watu wakamkokota, na mi nikawa naondoka kiunyonge tena kwa aibu, nyuma nilisikia watu wakisema umemkomesha nguruwe akome.
Dah... Kumbe unaweza kusingiziwa hivihivi kwa makosa ambayo hujafanya.
Lakini tunaambiwa shukuruni kwa kila jambo
Duh! inasikitisha sana, sasa ina maana umekubali tuhuma hizo? huoni ingekuwa ni busara kwenda kwa rafiki yako na kujadili juu ya fedheha hiyo uliyofanyiwa na mkewe?
Mimi hapa sielewi kabisa, yaani mke anaweza kuamini kabisa kuwa mumewe ambaye ni mtu mzima na akili zake timamu kwamba anaweza kushawishiwa na watu au mtu fulani kufanya jambo bila utashi wake! basi huyo hafai kuitwa mume kwani akili zake ni za kushikiwa na haiyumkini inaweza ikatokea akashawishiwa kuwa shoga na akakubali...........
Muda huu nikiwa nangoja basi ili nirudi nyumbani kutoka kazini mara nikamuona mke wa jirani yangu akija huku akiwa amenuna na kukunja sura.
Alikuwa anatembea kwa mwendo wa kasi kuelekea upande nilioko.
Aliponifikia, akanikunja shati na kuanza kunipiga vibao, nikiwa katika hali ya mshangao, watu waliokuwepo kituoni wakamshika, ndipo alipoanza kuporomosha matusi "mwacheni nimshikishe adabu, anampeleka mume wangu kunywa pombe na kumtafutia wanawake".
Watu wakamkokota, na mi nikawa naondoka kiunyonge tena kwa aibu, nyuma nilisikia watu wakisema umemkomesha nguruwe akome.
Dah... Kumbe unaweza kusingiziwa hivihivi kwa makosa ambayo hujafanya.
Lakini tunaambiwa shukuruni kwa kila jambo
Muda huu nikiwa nangoja basi ili nirudi nyumbani kutoka kazini mara nikamuona mke wa jirani yangu akija huku akiwa amenuna na kukunja sura.
Alikuwa anatembea kwa mwendo wa kasi kuelekea upande nilioko.
Aliponifikia, akanikunja shati na kuanza kunipiga vibao, nikiwa katika hali ya mshangao, watu waliokuwepo kituoni wakamshika, ndipo alipoanza kuporomosha matusi "mwacheni nimshikishe adabu, anampeleka mume wangu kunywa pombe na kumtafutia wanawake".
Watu wakamkokota, na mi nikawa naondoka kiunyonge tena kwa aibu, nyuma nilisikia watu wakisema umemkomesha nguruwe akome.
Dah... Kumbe unaweza kusingiziwa hivihivi kwa makosa ambayo hujafanya.
Lakini tunaambiwa shukuruni kwa kila jambo
mkuu yamekukuta makubwa,kuna ukweli ndani yake?
Mkuu huyo mama amekumaindi tu anatafuta upenyo wa kukuingia.